-
Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura
Apr 22, 2016 10:45Burundi imewataka raia wa nchi za kigeni zilizosimamisha ushirikiano na serikali ya Bujumbura, kuondoka nchini humo.
-
Mogherini: Hakuna kinachozuia ushirikiano wa kibenki kati ya Ulaya na Iran
Apr 17, 2016 08:53Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa maagizo mapya ya kiutekelezaji kwa ajili ya kushirikiana benki za Ulaya na Iran yameandaliwa na kwamba hakuna kizuizi chochote kinachozuia kutekelezwa ushirikiano wa nchi za Ulaya na Iran.
-
Umoja wa Ulaya watangaza kuwa tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama nchini Libya
Apr 17, 2016 00:12Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa upo tayari kuchunguza utekelezaji wa jukumu la kiusalama huko Libya iwapo serikali ya nchi hiyo itataka jambo hilo.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu
Apr 16, 2016 03:00Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amewasili hapa mjini Tehran akiandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa wanasiasa, wawekezaji na wafanyabiashara wa Ulaya katika safari inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na EU.
-
EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni
Apr 05, 2016 03:13Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya
Apr 02, 2016 01:46Umoja wa Ulaya EU umeanza kutekeleza mpango wa kuwawekea vikwazo viongozi wa kisiasa wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya.
-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Mogherini: Mpango wa JCPOA uko katika mkondo sahihi
Mar 16, 2016 03:45Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametangaza katika ripoti aliyotoa baada ya kufanyika kikao cha mashauriano kati yake na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) upo katika mkondo sahihi.
-
Umoja wa Ulaya wasimamisha msaada wa moja kwa moja kwa serikali ya Burundi
Mar 14, 2016 12:50Umoja wa Ulaya umesimamisha msaada wa moja kwa moja wa kifedha kwa serikali ya Burundi baada ya kuthibitisha kuwa haijafanya juhudi za kutosha ili kupata suluhisho kwa mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo uliosababisha vifo vya watu zaidi ya 400.
-
Taasisi za kimataifa zakaribisha kuidhinishwa matokeo ya uchaguzi wa CAR
Mar 05, 2016 11:43Taasisi za kimataifa zimekaribisha hatua ya kuidhinishwa Rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.