Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • Unicef: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi  Sudan Kusini

    Unicef: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi Sudan Kusini

    Aug 19, 2016 16:16

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema unatiwa wasiwasi na kujiunga watoto na makundi yenye silaha huko Sudan Kusini.

  • UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    Jul 20, 2016 07:26

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa, watoto 49,000 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa na utapiamlo nchini Nigeria.

  • Unicef: Watoto wakimbizi wanakabiliwa na hatari nchini Italia

    Unicef: Watoto wakimbizi wanakabiliwa na hatari nchini Italia

    Jun 15, 2016 15:35

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umeeleza kuwa watoto wengi walionusurika kifo wakiwa katika safari ngumu kwenye bahari ya Mediterania wakitokea Libya kuelekea Italia hawakuongozana na watu wazima; na hivyo kuwafanya watoto hao kuwa katika mazingira ya kuweza kukabiliwa na vitendo vya unyanyasaji na kutumiwa kama watumwa.

  • UNICEF: Watoto milioni 87 duniani wanajua vita tu

    UNICEF: Watoto milioni 87 duniani wanajua vita tu

    Mar 25, 2016 15:52

    Zaidi ya watoto milioni 86.7 wa chini ya umri wa miaka saba wameishi maisha yao yote katika maeneo ya vita na kuhatarisha ukuaji wa ubongo wao.

  • Unicef: Athari hasi za vita zinaathiri ukuaji wa watoto milioni 87

    Unicef: Athari hasi za vita zinaathiri ukuaji wa watoto milioni 87

    Mar 24, 2016 15:09

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umeeleza kuwa watoto karibu milioni 87 walio na umri chini ya miaka saba walioko katika maeneo mbalimbali duniani yaliyoathiriwa na vita, wanaishi katika mazingira ambayo yanaaathiri vikali ukuaji wao wa kiakili.

  • UNICEF: Theluthi moja ya watoto wa Syria wamezaliwa kipindi cha vita

    UNICEF: Theluthi moja ya watoto wa Syria wamezaliwa kipindi cha vita

    Mar 15, 2016 03:01

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umesema kila mtoto mmoja kati ya watatu nchini Syria amezaliwa katika kipindi cha vita,huku nchi hiyo ikiingia katika mwaka wa sita wa mapigano yaliyotokana na uasi unaoungwa mkono na madola ya kigeni.

  • UNICEF yaonya kuhusu lishe duni kwa watoto wa Afrika

    UNICEF yaonya kuhusu lishe duni kwa watoto wa Afrika

    Feb 18, 2016 02:11

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema kuwa, kuna watoto milioni moja wana lishe duni barani Afrika

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS