Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Dec 15, 2018 07:01

    Jeshi la Nigeria limesimamisha shughuli za Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) katika eneo la kaskazini mashariki kwa nchi, kwa tuhuma kuwa maafisa wake wanawapa mafunzo na kushirikiana na majasusi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Hraram.

  • Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Dec 13, 2018 15:31

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, kutokana machafuko na mapigano ya miaka mitano huko Sudan Kusini, hatima ya watoto 15,000 haijulikana kutokana na kutoweka au kukutengana na wazazi wao.

  • UNICEF: Watoto milioni nane Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni

    UNICEF: Watoto milioni nane Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni

    Dec 06, 2018 13:49

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kwamba, watoto zaidi ya milioni nane nchini Yemen wanataabika kutokana na hali mbaya ya lishe duni.

  • Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Dec 01, 2018 02:46

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema thuluthi mbili ya watoto wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura haraka iwezekenavyo.

  • UNICEF: Karibu mabarubaru 80 kuangamia kwa Ukimwi kila siku

    UNICEF: Karibu mabarubaru 80 kuangamia kwa Ukimwi kila siku

    Nov 30, 2018 07:16

    Vijana wadogo yaani barubaru 76 wanakadiriwa kuwa watafariki dunia kila siku ulimwenguni kote kati ya mwaka huu na 2030 iwapo uwekezaji sahihi hautafanyika kuzuia Virusi Vya Ukimwi, VVU miongoni mwa tabaka hilo la wanadamu.

  • UNICEF: Uhai wa zaidi ya watoto milioni moja uko hatarini Mashariki ya Kati

    UNICEF: Uhai wa zaidi ya watoto milioni moja uko hatarini Mashariki ya Kati

    Nov 29, 2018 07:44

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kwamba, maisha na uhai wa watoto zaidi ya milioni moja katika eneo la Mashariki ya Kati uko hatarini wakati huu wa kuwadia msimu wa baridi.

  • UNICEF: Watoto 870 wameuawa mashariki mwa Syria katika kipindi cha miezi 9 iliyopita

    UNICEF: Watoto 870 wameuawa mashariki mwa Syria katika kipindi cha miezi 9 iliyopita

    Nov 18, 2018 02:44

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umesema kuwa, katika kipindi cha miezi 9 iliyopita, watoto 870 wameuawa mashariki mwa Syria.

  • UNICEF: Mtoto mmoja wa Yemen hufariki dunia kila baada ya dakika 10

    UNICEF: Mtoto mmoja wa Yemen hufariki dunia kila baada ya dakika 10

    Nov 17, 2018 06:36

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto sita wa Yemen hufariki dunia kila baada ya saa moja nchini Yemen.

  • Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha

    Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha "Muamala wa Karne"

    Sep 14, 2018 23:58

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen ni kibiashara inayotumiwa na Marekani ili kuendeleza njama mpya ya Washington na Wazayuni ya "Muamala wa Karne" dhidi ya Palestina.

  • UNICEF yatoa indhari: Kizazi cha Waislamu Warohingya wa Myanmar kinakabiliwa na hatari ya kutoweka

    UNICEF yatoa indhari: Kizazi cha Waislamu Warohingya wa Myanmar kinakabiliwa na hatari ya kutoweka

    Aug 23, 2018 15:00

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetahadharisha kuwa kizazi cha Waislamu Warohingya walioko nchini Myanmar na kwenye kambi za wakimbizi kwenye mpaka wa Bangladesh kinakabiliwa na hatari ya kutoweka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS