Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF: Kila mwaka watoto 66 elfu wa Yemen wanafariki dunia kwa maradhi yanayozuilika

    UNICEF: Kila mwaka watoto 66 elfu wa Yemen wanafariki dunia kwa maradhi yanayozuilika

    Aug 16, 2018 07:27

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umesema kuwa, watoto 66 elfu wenye umri wa chini ya miaka mitano wanafariki dunia nchini Yemen kila mwaka kutokana na maradhi yanayozuilika.

  • UNICEF: Saudia iache kushambulia miundombinu ya Yemen

    UNICEF: Saudia iache kushambulia miundombinu ya Yemen

    Aug 02, 2018 02:28

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef, umeutaka utawala wa Aal-Saud, ukomeshe mashambulizi yake dhidi ya miundombinu ya Yemen.

  • Indhari ya Unicef kuhusu hali ya mgogoro huko Yemen

    Indhari ya Unicef kuhusu hali ya mgogoro huko Yemen

    Jul 19, 2018 03:06

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza kuwa kuendelea mapigano huko Yemen kunazifanya ngumu shughuli za utoaji misaada ya kibinadamu nchini humo.

  • UN: Watoto milioni 30 wamepoteza makao kutokana na vita

    UN: Watoto milioni 30 wamepoteza makao kutokana na vita

    Jun 20, 2018 02:43

    Takribani watoto milioni 30 wampoteza makao yao duniani kutokana na vita na sasa wanahitaji ulinzi pamoja na suluhu endelevu kwa ajili ya mustakbali wao.

  • UNICEF: Watoto wengi waliokuwa jeshini Sudan Kusini wameachiliwa huru

    UNICEF: Watoto wengi waliokuwa jeshini Sudan Kusini wameachiliwa huru

    Apr 20, 2018 07:21

    Watoto zaidi ya 200 waliokuwa wamesajiliwa kama wanajeshi katika makundi ya wapiganaji nchini Sudan Kusini wameachiliwa huru.

  • Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto nchini Syria

    Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto nchini Syria

    Mar 15, 2018 03:25

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetahadharisha kuhusu hali mbaya inayowakabili watoto huko Syria.

  • Pakistan, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Afghanistan ni nchi hatari zaidi kuzaliwa mtoto

    Pakistan, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Afghanistan ni nchi hatari zaidi kuzaliwa mtoto

    Feb 21, 2018 03:13

    Idadi kubwa ya watoto wanapoteza maisha punde wanapozaliwa katika maeneo ya kati na magharibi mwa Afrika licha ya kuwa afya ya mtoto imeboreka kiujumla duniani, imesema Idara ya Umoja wa Mataifa ya Kuhudumia Watoto, UNICEF.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusu kutumiwa watoto kama askari vitani

    UNICEF yatahadharisha kuhusu kutumiwa watoto kama askari vitani

    Feb 13, 2018 02:59

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusiana na suala la kutumiwa watoto kama askari vitani katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Feb 12, 2018 14:28

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mtoto mmoja wa Kiiraqi kati ya wanne nchini humo anaishi katika hali ya umaskini na kwamba Wairaqi wengine milioni nne wanahitaji msaada ikiwa ni natija ya kujiri vita vya kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq.

  • Unicef: Makumi ya watoto wameuawa Mashariki ya Kati tangu Januari mwaka huu

    Unicef: Makumi ya watoto wameuawa Mashariki ya Kati tangu Januari mwaka huu

    Feb 06, 2018 07:44

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto wasiopungua 87 wameuawa katika eneo la Mashariki ya Kati katika mwezi mmoja uliopita katika mapigano yanayotokea kwenye nchi za eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS