-
Mwandishi wa gazeti la kizayuni la Haaretz: HAMAS haijasambaratika na imefikia malengo yake
Oct 11, 2025 09:09Mwandishi mashuhuri wa gazeti la kizayuni la Haaretz Chaim Levinson amesema, japokuwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepoteza hatamu za uongozi wa Ukanda wa Ghaza, lakini imefanikiwa kufikia malengo yake mawili makuu.
-
Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani
Oct 09, 2025 03:10Kuanza vita vya Gaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa mnamo Oktoba 7, 2023 ulikuwa mwanzo wa mabadiliko katika sera za ndani na za kigeni za Misri.
-
Mpango wa Trump wa vipengele 20, tapatapa ya kuuokoa utawala wa kizayuni usishindwe katika vita vya Ghaza
Oct 01, 2025 09:28Makundi ya Muqawama katika eneo hili la Asia Magharibi yakiwemo ya Jihadul-Islami ya Palestina na Ansarullah ya Yemen yameuelezea mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya Ghaza kuwa ni jaribio la kutapatapa la kuuokoa utawala wa kizayuni wa Israel usishindwe katika vita vya mauaji ya kimbari ulivyoanzisha dhidi ya eneo hilo la Palestina uliloliwekea mzingiro.
-
Je, uzoefu wa kupambana na ubaguzi wa rangi unaweza kuulazimisha utawala wa Kizayuni kuondoka Ghaza?
Sep 30, 2025 02:23Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano makubwa na ya kihistoria hivi karibuni wakitaka kuvunjwa kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na kibiashara wa nchi hiyo na utawala dhalimu na wa ubaguzi wa rangi wa Israel.
-
Kutengwa kimataifa, natija ya mgogoro wa utawala wa Kizayuni katika eneo
Sep 24, 2025 02:12Benyamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, amekiri kwamba utawala huu unaishi katika aina fulani ya kutengwa kimataifa.
-
Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?
Sep 20, 2025 09:49Mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Qatar yamezidisha mivutano kati ya Uturuki na Israel na kuibua uwezekano wa kutokea makabiliano ya moja kwa moja kati ya Ankara na Tel Aviv.
-
Jinai kwa kinga; je, utawala wa Kizayuni unakanyaga vipi sheria za vita?
Sep 19, 2025 02:33Katika taarifa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali shambulio la jeshi la utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia karibu na hospitali ya Shafa, magharibi mwa Gaza na kulitaja kuwa jinai kubwa ya kivita.
-
Umoja wa nchi za Kiislamu, njia mwafaka ya kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 17, 2025 06:03Marais Abdel Fattah Al-Sisi wa Misri na Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamesisitiza kuwa, kuimarishwa umoja na mafungamano baina ya nchi za Kiislamu ndiyo njia mwafaka zaidi ya kukabiliana na kukariri na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
-
Al Mayadeen: Rasimu ya taarifa ya kikao cha Doha itakuwa ya kurudia kuulaani tu utawala wa kizayuni
Sep 15, 2025 07:03Rasimu ya mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi za Kiarabu na Kiislamu unaofanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha inaonyesha kuwa, taarifa itakayotolewa mwishoni mwa kikao hicho itakuwa ni ya kulaani tu vitendo vya utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini maelfu ya Wazayuni wanataka kusimamishwa vita vya Gaza?
Sep 10, 2025 13:37Maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano ya kumpinga Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni na kutaka kusitishwa mara moja vita vya Ukanda wa Gaza na kukombolewa mateka wa Kizayuni.