-
Kushtakiwa viongozi wa utawala wa Kizayuni; takwa la pamoja la mataifa ya Kiislamu
Dec 17, 2025 12:43Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani jinai zinazoendelea kufanywa na Israel huko Ghaza na mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, na amezitaka nchi za ukanda huu na jamii ya kimataifa ichukue hatua kali za kukabiliana na tishio la mara kwa mara la utawala wa Kizayuni dhidi ya amani na utulivu wa eneo hili na dunia nzima kwa ujumla.
-
Azimio jipya la Baraza Kuu la UN; Msimamo wa kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2025 02:06Sambamba na Israel kukiuka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio jipya linaloitaka Tel Aviv kutekeleza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu eneo hilo la Palestina.
-
Kuongezeka idadi ya nchi zilizosusia Mashindano ya Eurovision kulalamikia kushirikishwa utawala wa Kizayuni
Dec 13, 2025 09:24Idadi ya nchi zilizosusia mashindano ya Eurovision zikipinga kushirikishwa utawala wa Kizayuni katika mashindano hayo, imeongezeka.
-
Ghana yajibu mapigo kwa Israel, yawatimua wazayuni watatu waliowasili nchini humo
Dec 11, 2025 06:10Serikali ya Ghana imewatimua kwa kuwarejesha walikotoka Waisraeli watatu, katika hatua ya kujibu mapigo na kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel baada ya hapo awali kulalamikia kunyanywaswa raia wake katika uwanja wa ndege wa Ben Gurion, mjini Tel Aviv.
-
Vita vya Kijasusi; Kadi ya Ushindi ya Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Dec 04, 2025 12:11Meya wa Bat Yam katikati ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, zilizopachikwa jina bandia la Israel, amekiri kuongezeka kwa ushawishi wa kijasusi wa Iran.
-
Changamoto mbili zinazoutesa utawala wa Kizayuni baada ya vita vya siku 12 dhidi ya Iran
Nov 30, 2025 09:49Katika ripoti yake ya hivi karibuni kabisa, tovuti ya Middle East Eye imefanya uchunguzi kuhusu changamoto zinazoikabili Tel Aviv baada ya vita vya kivamizi na kichokozi vya siku 12 ilivyovianzisha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel
Nov 27, 2025 10:17Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imefichua vipengele vipya vya athari za kutisha za vita vya Gaza. Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa vita vya utawala wa Kizayuni huko Gaza vimeunda shimo la kutisha na kwamba ujenzi mpya wa ukanda huu utahitaji kwa uchache dola bilioni 70 na muda wa miongo kadhaa, takwimu zinazodhihirisha wazi kina cha janga hili.
-
Kwa nini mkataba wa gesi kati ya Israel na Misri unakaribia kusambaratika?
Nov 25, 2025 10:22Hitilafu za kisiasa na kiusalama kati ya utawala ghasibu wa Israel na Misri zimechukua zimefikia katika uga wa kiuchumi, na sasa zimefikisha mkataba mkubwa zaidi wa gesi kati ya Tel Aviv na Cairo kwenye ukingo wa kusambaratika.
-
Kwa nini hati ya makubaliano ya kijeshi kati ya India na utawala wa Kizayuni ni hatua ya kuleta ukosefu wa utulivu Asia?
Nov 20, 2025 02:53India na utawala wa Kizayuni wa Israel zimepanua ushirikiano wao wa kijeshi na kiviwanda kwa kutiliana saini hati mpya ya maelewano na ushirikiano.
-
Chuo Kikuu cha Harvard: Gen Z wa Marekani wanaifadhilisha Hamas kuliko Israel
Nov 18, 2025 07:49Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa asilimia 60 ya Kizazi kipya, Gen-Z nchini Marekani wanapendelea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina "Hamas" kuliko utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.