-
Ombi la Umoja wa Afrika la kukatwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Feb 25, 2023 08:38Nchi 55 wanachama wa Umoja wa Afrika zimetoa wito wa kuvunjwa uhusiano wao na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaja utawala huo kuwa ni dola la kikoloni.
-
Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami: Damu ya Mashahidi itailetea ushindi Palestina
Feb 25, 2023 03:39Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amepongeza mchango wa kijihadi wa Mashahidi wa ardhi hiyo katika kukabiliana na adui Mzayuni na akasema, damu za Mashahidi hao ndizo zitakazoiletea ushindi Palestina.
-
Wataalamu: Netanyahu 'hana ubavu' wa kukabiliana na wanamapambano wa Palestina
Feb 23, 2023 06:38Wataalamu mbalimbali wa kijeshi wa Israel wametoa maneno makali ya kumlaumu waziri mkuu mwenye misimamo ya kufurutu ada, Benjamin Netanyahu na kusema kuwa, hana uwezo wa kukabiliana na mashambulio ya makombora ya wanamapambano wa Palestina.
-
Nchi za Kiarabu zalaani mashambulizi ya wanajeshi wa Kizayuni huko Nablus
Feb 23, 2023 02:45Baadhi ya nchi za Kiarabu zimelaani jinai mpya iliyotekelezwa na Maghasibu wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika mji wa Nablus.
-
Wazayuni wapanga mashambulizi makubwa dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa wakati wa Pasaka
Feb 22, 2023 23:02Makundi na mashirika ya Kiyahudi yenye misimamo mikali yametoa wito kwa Wazayuni yakiwataka kuushambulia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem) kwa mnasaba wa Pasaka ya Kiyahudi (Passover au Pesach).
-
Taarifa rasmi ya Baraza la Usalama ya kulaani vitongoji vya walowezi
Feb 21, 2023 23:02Jumatatu ya tarehe 20 Februari Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha rasimu ya azimio linalolaani uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wazayuni waliojifanya kusaidia wahanga wa matetemeko Uturuki kumbe ni wezi!
Feb 20, 2023 22:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amefichua kuwa, timu ya utawala wa Kizayuni iliyojipeleka Uturuki kwa madai ya kusaidia wahanga wa mitetemeko ya ardhi, wameiba nyaraka za kihistoria ya Uturuki.
-
HAMAS yapongeza misimamo ya Umoja wa Afrika dhidi ya utawala haramu wa Israel
Feb 20, 2023 08:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza misimamo ya Umoja wa Afrika (AU) dhidi ya utawala haramu wa Israel na hatua yake ya kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina.
-
Iran: Mkutano wa usalama wa Munich umepoteza hadhi yake
Feb 20, 2023 08:25Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikai mkutano wa usalama wa Munich na kubainisha kwamba, hatua zilizochukuliwa na waandaaji wa mkutano huo zimetoa pigo kubwa kwa itibari na hadhi ya mkutano huo wa usalama.
-
Faisal al-Miqdad: Shambulio la Israel kwenye maeneo ya raia ni uhalifu dhidi ya ubinadamu
Feb 20, 2023 04:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema: "Shambulio la makombora lililofanywa Jumapili asubuhi na utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo ya raia ya Damascus na vitongoji vyake ni jinai dhidi ya binadamu."