Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mwanazuoni wa Bahrain: Ni haramu kuwauzia ardhi Mayahudi

    Mwanazuoni wa Bahrain: Ni haramu kuwauzia ardhi Mayahudi

    Jan 07, 2023 03:40

    Imamu Sala ya Ijumaa katika mji wa Al-Diraz nchini Bahrain, amesema kuwauzia ardhi Wayahudi ni sawa na kuiuza nchi na ni haramu.

  • Wasiwasi wa kieneo na kimataifa kuhusu tabia ya ubaguzi wa rangi ya baraza jipya la mawaziri la Israel dhidi ya Wapalestina

    Wasiwasi wa kieneo na kimataifa kuhusu tabia ya ubaguzi wa rangi ya baraza jipya la mawaziri la Israel dhidi ya Wapalestina

    Jan 06, 2023 23:07

    Hatua ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa utawala haramu wa Israel, ya kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa imekabiliwa na radiamali kali ya kieneo na kimataifa, na ambayo imezipelekea nchi za China na Imarati kuomba kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kujadiliwa suala hilo.

  • Sisitizo la kulaaniwa kuvunjiwa heshima Msikiti wa Al-Aqsa

    Sisitizo la kulaaniwa kuvunjiwa heshima Msikiti wa Al-Aqsa

    Jan 05, 2023 06:44

    Nchi za Kiarabu na Kiislamu zimesisitiza ulazima wa kulaaniwa kitendo cha Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala ghasibu wa Israel cha kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa.

  • HAMAS: Viongozi wa nchi za Kiislamu amkeni kukiokoa Kibla cha Kwanza

    HAMAS: Viongozi wa nchi za Kiislamu amkeni kukiokoa Kibla cha Kwanza

    Jan 04, 2023 23:52

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amewatahadharisha viongozi wa nchi za Kiislamu kuhusuu njama za kila namna za serikali mpya ya kifashisti ya Israel na kuwataka waamke kukiokoa Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Israel yaonywa na kutakiwa iache chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Israel yaonywa na kutakiwa iache chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jan 04, 2023 04:03

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameuonya utawala haramu wa Israel na kuutaka uachane na chokochoko zake za kijeshi dhidi ya taifa hili ambazo zina lengo la kutekeleza sera zake za kishari katika eneo la Asia Magharibi.

  • Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jan 02, 2023 03:43

    Mkuu wa zamani wa idara ya intelijensia ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mkakati wa Tel Aviv dhidi ya Iran wa kutegemea vikwazo vikali vya kiuchumi na kuanzisha mpango wa kuzuia hujuma kupitia Marekani umeshindwa.

  • HAMAS yakosoa maazimio yasio na taathira yanayopitishwa na UN dhidi ya Israel

    HAMAS yakosoa maazimio yasio na taathira yanayopitishwa na UN dhidi ya Israel

    Dec 31, 2022 22:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeukosoa Umoja wa Mataifa kwa kupitisha maazimio kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni bila ya kufikiria njia za kivitendo za kuwezesha utekelezaji wake.

  • Mufti Mkuu wa Oman aunga mkono kususiwa utawala haramu wa Israel

    Mufti Mkuu wa Oman aunga mkono kususiwa utawala haramu wa Israel

    Dec 31, 2022 05:40

    Mufti Mkuu wa Oman ameunga mkono mpango wa Bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.

  • Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Kuanza kazi baraza la mawaziri la sita la Netanyahu katika mazingira ya mivutano katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Dec 30, 2022 22:41

    Benjamini Netanyahu amepata kura ya kuwa na imani naye kwenye Knesset, bunge la utawala haramu wa Israel, na hivyo kupata fursa nyingine ya kuongoza baraza la mawaziri la utawala huo.

  • Kan'ani: Palestina itabakia milele; kuangamia ni katika dhati na utambulisho wa Israel

    Kan'ani: Palestina itabakia milele; kuangamia ni katika dhati na utambulisho wa Israel

    Dec 30, 2022 09:03

    Msemaji wa Wizara vya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radiamali kwa madai yasiyo ya msingi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kuwa, hatua hiyo inafuatilia kujijengea utambulisho wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS