-
Maandamano ya watu wa Bahrain kupinga mapatano na utawala wa Israel
Oct 19, 2020 04:13Wananchi wenye hasira nchini Bahrain wameandamana kupinga safari ya ujumbe wa Marekani-Kizayuni katika nchi yao kwa lengo la kutangaza rasmi mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Bahrain na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ammar Hakim: Iraq katu haitakuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel
Oct 18, 2020 04:46Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Mrengo wa Kitaifa wa al-Hikma wa Iraq amelaani vikali siasa za baadhi ya mataifa ya Kiarabu katika eneo la Asia Magharibi za kufanya mapatano na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, nchi yake katu haitafanya mapatano na utawala huo ghasibu.
-
Wabunge Waarabu wapinga uhusiano wa kawaida wa Imarati na Israel
Oct 15, 2020 23:08Muungano wa wabunge Waarabu katika bunge la utawala wa Kizayuni (Kneset) wamepinga makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Hamas: Imarati na Bahran ziipe Israel baadhi ya ardhi zao....
Oct 15, 2020 07:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa kama watawala wa Imarati na Bahrain wanaliona suala la kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel ni jambo la kawaida basi watoe baadhi ya ardhi za nchi zao kwa utawala huo haramu.
-
Mazungumzo ya Lebanon na Israel kuhusu mpaka; hitilafu za kimpaka na malengo ya kisiasa
Oct 15, 2020 06:40Duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya jumbe za mazungumzo za Lebanon na utawala haramu wa Israel ilifanyika jana Jumanne Oktoba 13 na yamepangwa kuendelea wiki mbili zijazo.
-
Ripoti: Wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Yemen ni wahanga wa mashambulizi ya Saudia
Oct 11, 2020 23:37Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu nchini Yemen imetangaza kuwa wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Kiyemeni wameuawa katika mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini humo.
-
Israel yaingiwa na kiwewe kuhusu kuanza Intifadha mpya Palestina
Oct 10, 2020 08:46Mkuu wa Idara ya Utafiti katika Shirika la Ujasusi katika Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (AMAN) amebainisha wasi wasi wake kuhusu kuanza Intifadha au mwamko mpya wa Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Harakati ya Fat'h ya Palestina yaamua kufuta mikataba yote na utawala wa Kizayuni
Oct 07, 2020 23:04Katibu wa Halmashauri Kuu ya Harakati ya Fat'h ya Palestina ametangaza uamuzi wa harakati hiyo wa kufuta makubaliano yake yote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wananchi wengi wa nchi za Kiarabu hawataki uhusiano na Wazayuni
Oct 07, 2020 23:02Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa katika nchi zaidi ya 10 za Kiarabu unaonesha kuwa sehemu kubwa kupindukia ya wananchi wa nchi hizo hawataki uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Waandishi wa habari wasiupe jukwaa utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 06, 2020 04:13Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewakosoa waandishi wa habari hususan katika nchi za Kiarabu kwa kumpa waziri wa vita wa Israel jukwaa la kuhubiri siasa na sera za utawala huo haramu.