-
Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon
Aug 20, 2019 08:50Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeingia kinyume cha sheria katika anga ya Lebanon hatua ambayo inakiuka azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Sanders: Misaada ya Marekani kwa Israel ikatwe kama haiwaruhusu wabunge Waislamu wa Kungresi kutembelea Quds
Aug 18, 2019 06:56Seneta wa Marekani anayetarajiwa kuwania nafasi ya kugombea kiti cha rais katika uchaguzi ujao nchini humo hapo mwakani amesema kama Israel itaendelea kuwazuia wabunge wawili Waislamu wa Kongresi kuingia katika utawala huo na kutembelea Quds, haipaswi kupewa tena misaada ya Marekani.
-
Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi
Aug 17, 2019 03:32Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni
Aug 14, 2019 08:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ili kudhamini usalama na utulivu katika Ghuba ya Uajemi hakuna haja ya kuweko vikosi vya kieneo katika eneo hilo.
-
Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa
Aug 12, 2019 10:23Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.
-
Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu
Aug 11, 2019 22:14Walowezii zaidi ya 1700 wa Kiyahudi jana walivamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu katika siku ya Idul Adh'ha na kuwajeruhi makumi ya Waislamu waliokwenda eneo hilo takatifu kwa ajili ya kufanya ibada.
-
Shamkhani: Ngano ya kwamba "Israel haishindwi" imefeli
Aug 08, 2019 22:28Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa katika vita vya siku 33 vya Lebanon muqawama wa Kiislamu na harakati ya Hizbullah ya Lebanon ilifelisha ngano inayodai kwamba jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel halishindwi.
-
OIC yatahadharisha kuhusu kuendelea jinai za Israel huko Palestina
Aug 08, 2019 03:33Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetahadharisha kuhusiana na kuendelea hujuma na uvamizi wa wanajeshi wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni huko Quds inayokaliwa kwa mabavu hususan wito uliotolewa na Wazayuni wa kuvamiwa Msikiti wa al-Aqswa.
-
Mwanamichezo wa Iraq aliyekataa kupambana na Mzayuni katika mashindano ya Thailand alakiwa kishujaa
Aug 07, 2019 23:31Ali al-Kanani, mwanamichezo wa Kiiraqi wa mchezo wa Ndondi za Kiki (Kickboxing), ambaye alikataa kupambana na mwanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya mchezo huo yaliyofanyika nchini Thailand, amelakiwa kishujaa na wananchi wa Iraq alipowasili uwanja wa ndege wa kimatiafa wa Baghdad.
-
Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa
Aug 02, 2019 09:27Ujumbe ulioandikwa na mhadhiri mmoja mtetezi wa utawala wa Aal Saud katika ukurasa wa kijamii wa Twitter kwamba msikiti wa Al Aqsa hauna utukufu wowote umeamsha hasira na kushambuliwa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii ya intaneti.