Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon

    Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon

    Aug 20, 2019 08:50

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeingia kinyume cha sheria katika anga ya Lebanon hatua ambayo inakiuka azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Sanders: Misaada ya Marekani kwa Israel ikatwe kama haiwaruhusu wabunge Waislamu wa Kungresi kutembelea Quds

    Sanders: Misaada ya Marekani kwa Israel ikatwe kama haiwaruhusu wabunge Waislamu wa Kungresi kutembelea Quds

    Aug 18, 2019 06:56

    Seneta wa Marekani anayetarajiwa kuwania nafasi ya kugombea kiti cha rais katika uchaguzi ujao nchini humo hapo mwakani amesema kama Israel itaendelea kuwazuia wabunge wawili Waislamu wa Kongresi kuingia katika utawala huo na kutembelea Quds, haipaswi kupewa tena misaada ya Marekani.

  • Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Aug 17, 2019 03:32

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni

    Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni

    Aug 14, 2019 08:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ili kudhamini usalama na utulivu katika Ghuba ya Uajemi hakuna haja ya kuweko vikosi vya kieneo katika eneo hilo.

  • Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Aug 12, 2019 10:23

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.

  • Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Aug 11, 2019 22:14

    Walowezii zaidi ya 1700 wa Kiyahudi jana walivamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu katika siku ya Idul Adh'ha na kuwajeruhi makumi ya Waislamu waliokwenda eneo hilo takatifu kwa ajili ya kufanya ibada.

  • Shamkhani: Ngano ya kwamba

    Shamkhani: Ngano ya kwamba "Israel haishindwi" imefeli

    Aug 08, 2019 22:28

    Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa katika vita vya siku 33 vya Lebanon muqawama wa Kiislamu na harakati ya Hizbullah ya Lebanon ilifelisha ngano inayodai kwamba jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel halishindwi.

  • OIC yatahadharisha kuhusu kuendelea jinai za Israel huko Palestina

    OIC yatahadharisha kuhusu kuendelea jinai za Israel huko Palestina

    Aug 08, 2019 03:33

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetahadharisha kuhusiana na kuendelea hujuma na uvamizi wa wanajeshi wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni huko Quds inayokaliwa kwa mabavu hususan wito uliotolewa na Wazayuni wa kuvamiwa Msikiti wa al-Aqswa.

  • Mwanamichezo wa Iraq aliyekataa kupambana na Mzayuni katika mashindano ya Thailand alakiwa kishujaa

    Mwanamichezo wa Iraq aliyekataa kupambana na Mzayuni katika mashindano ya Thailand alakiwa kishujaa

    Aug 07, 2019 23:31

    Ali al-Kanani, mwanamichezo wa Kiiraqi wa mchezo wa Ndondi za Kiki (Kickboxing), ambaye alikataa kupambana na mwanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya mchezo huo yaliyofanyika nchini Thailand, amelakiwa kishujaa na wananchi wa Iraq alipowasili uwanja wa ndege wa kimatiafa wa Baghdad.

  • Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Aug 02, 2019 09:27

    Ujumbe ulioandikwa na mhadhiri mmoja mtetezi wa utawala wa Aal Saud katika ukurasa wa kijamii wa Twitter kwamba msikiti wa Al Aqsa hauna utukufu wowote umeamsha hasira na kushambuliwa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii ya intaneti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS