Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Mar 01, 2019 04:43

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, imeunga mkono ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai ambazo zinatendwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Riyadh al-Maliki: Hali ya Palestina ni ya maafa makubwa

    Riyadh al-Maliki: Hali ya Palestina ni ya maafa makubwa

    Feb 28, 2019 04:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amesema hali ya mambo huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni ya maafa na ametaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kufuatilia ukiukaji haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kukiri Umoja wa Mataifa kwamba Israel inayasaidia magenge ya kigaidi

    Kukiri Umoja wa Mataifa kwamba Israel inayasaidia magenge ya kigaidi

    Feb 26, 2019 03:12

    Ofisi ya António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa imekiri kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel unayasaidia magenge ya kigaidi.

  • Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Feb 25, 2019 01:40

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, misimamo ya Marekani ni misimamo ya kidhalimu, kidikteta na inayokinzana na maslahi ya mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na hivyo haitaweza kubadili misimamo ya muqawama.

  • Wazayuni waanzisha vita vya kudumu vya kukiteka Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni waanzisha vita vya kudumu vya kukiteka Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Feb 19, 2019 23:23

    Mkuu wa Baraza la Taifa la Palestina ameashiria hatua za hivi karibuni za Wazayuni katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na kusema kuwa, utawala wa Kizayuni umeanzisha vita vya kudumu kwa shabaha ya kuugawa msikiti huo baina ya Waislamu na Wazayuni kwa mujibu wa wakati na eneo.

  • Mtangazaji wa televisheni Israel: Askari wa Israel ni dhihirisho la ukatili wa binaadamu

    Mtangazaji wa televisheni Israel: Askari wa Israel ni dhihirisho la ukatili wa binaadamu

    Feb 19, 2019 00:26

    Mtangazaji wa televisheni ya utawala haramu wa Kizayuni Israel amekiri kwamba askari wa utawala huo ni dhihirisho la ukatili wa binaadamu.

  • Poland yamwita balozi wa Israel kulalamikia madai bandia ya Netanyahu kuhusu Holocaust

    Poland yamwita balozi wa Israel kulalamikia madai bandia ya Netanyahu kuhusu Holocaust

    Feb 15, 2019 12:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Poland imemsaili balozi wa utawala haramu wa Israel mjini Warsaw kufuatia matamshi yasiyo na mashiko ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo kuhusiana na kadhia ya Holocaust.

  • Harakati ya Al-Wifaq: Utawala wa Bahrain na Israel zina maslahi ya pamoja

    Harakati ya Al-Wifaq: Utawala wa Bahrain na Israel zina maslahi ya pamoja

    Feb 14, 2019 04:39

    Harakati ya Al-Wifaq nchini Bahrain imetangaza kuwa, utawala wa kifamilia wa nchi hiyo wa Aal-Khalifa na utawala haramu wa Israel zina maslahi na manufaa ya pamoja.

  • Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka kwa 74% nchini Ufaransa

    Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka kwa 74% nchini Ufaransa

    Feb 12, 2019 23:02

    Serikali ya Ufaransa imesema vitendo na matamshi ya chuki dhidi ya Mayahudi wanaoishi katika nchi hiyo ya Ulaya yameongezeka kwa asilimia 74, rekodi ambayo haijawahi kushuhudiwa tena.

  • Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Feb 09, 2019 00:16

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS