Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • HAMAS: Matamshi ya Mahmoud Abbas yanabainisha mtazamo wake binafsi

    HAMAS: Matamshi ya Mahmoud Abbas yanabainisha mtazamo wake binafsi

    Sep 22, 2018 13:14

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuhusu matamshi aliyotoa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuwa tayari kufanya mazungumzo na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwamba matamshi hayo yanaakisi mtazamo wake binafsi, wala hayawakilishi maoni ya wananchi wa Palestina.

  • Jordan yataka Israel ijiunge na mkataba wa NPT

    Jordan yataka Israel ijiunge na mkataba wa NPT

    Sep 21, 2018 23:34

    Dakta Khalid Toukan Mkuu wa Kamisheni ya Nishati ya Nyuklia ya Jordan ametaka utawala wa Kizayuni wa Israel ujiunge na mkataba unaopiga marufuku uenezaji na usambazaji wa silaha za nyuklia (NPT).

  • Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Hamas yaionya Israel isiendelee kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Sep 13, 2018 23:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya hatari ya kuendelea kuuvinjia heshima Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu na kusisitiza kuwa utawala huo dhalimu ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea.

  • Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon

    Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon

    Sep 11, 2018 20:49

    Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa uwezo wa makombora wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na nguvu yake ya kulenga kwa mapana katika maeneo mbalimbali ya Israel ni tishio kubwa sana.

  • Mkuu wa zamani wa Mossad akiri Israel haiwezi kukabiliana na teknolojia ya makombora ya Hizbullah

    Mkuu wa zamani wa Mossad akiri Israel haiwezi kukabiliana na teknolojia ya makombora ya Hizbullah

    Sep 08, 2018 21:51

    Naibu Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel, Mossad, amesema Harakati ya Hizbullah ya Lebanon hivi karibuni imepata mfumo mpya wa kuongoza makombora kwa kutegemea mfumo wa GPS na hivyo kubadilisha makombora yake kuwa yenye ustadi mkubwa.

  • Rais Rouhani: Iran haina adui yeyote zaidi ya Marekani, Israel na vibaraka wao

    Rais Rouhani: Iran haina adui yeyote zaidi ya Marekani, Israel na vibaraka wao

    Sep 08, 2018 03:45

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kubainisha kwamba, hii leo Iran haina adui mwengine yeyote isipokuwa Marekani, utawala wa Kizayuni na vibaraka wao, amesisitiza kwamba, taifa la Iran litawashinda maadui kwa mshikamano na umoja.

  • Haniya: HAMAS katu haitautambua utawala wa Kizayuni

    Haniya: HAMAS katu haitautambua utawala wa Kizayuni

    Sep 06, 2018 10:00

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Ukanda wa Gaza umeingia kwenye vita kamili vya kiusalama na kijeshi na shirika la intelijensia na usalama wa ndani la utawala wa Kizayuni Shabak.

  • Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria

    Sep 03, 2018 03:24

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, kukombolewa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria ambayo ni ngome ya mwisho ya magaidi katika nchi hiyo litakuwa pigo kubwa kwa Magharibi, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia.

  • Gazeti la Haaretz: Israel inashiriki katika mauaji ya Waislamu Warohingya

    Gazeti la Haaretz: Israel inashiriki katika mauaji ya Waislamu Warohingya

    Aug 31, 2018 23:39

    Gazeti la Haaretz la Israel limefichua kuwa, utawala haramu wa Israel umetiliana saini mikataba ya uuzaji silaha na serikali ya Myanmar na kwamba, umekuwa ukishiriki katika mauaji dhidi ya Waislamuu Warohingya katika jimbo la Rakhine.

  • Waingereza wapinga ushawishi wa lobi za Wazayuni katika siasa za London

    Waingereza wapinga ushawishi wa lobi za Wazayuni katika siasa za London

    Aug 27, 2018 23:01

    Zaidi ya Waingereza elfu kumi wamesaini waraka wakionesha upinzani wao dhidi ya lobi na makundi ya ushawishi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika siasa za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS