Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa al-Aqswa

    Aug 27, 2018 10:23

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia Msikiti wa al-Aqswa wakiwa wanasaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Matamshi ya waziri wa Saudia ya kuitetea Israel yazidi kulaaniwa

    Matamshi ya waziri wa Saudia ya kuitetea Israel yazidi kulaaniwa

    Aug 23, 2018 10:35

    Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama na msemaji wa harakati ya Answarullah ya Yemen wamelaani vikali matamshi ya waziri wa wakfu wa utawala wa ukoo wa Aal Saud huko Saudi Arabia aliyeutetea na kuukingia kifua wazi wazi utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Mapambano na Israel yataendelea hadi Palestina ikombolewe kikamilifu

    Hamas: Mapambano na Israel yataendelea hadi Palestina ikombolewe kikamilifu

    Aug 20, 2018 09:40

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa, falsafa ya mapambano na utawala wa Kizayuni wa Israel imejengeka katika msingi wa kufikia lengo la ukombozi wa ardhi za Palestina na kuwatimua Wazayuni maghasibu kutoka ardhi takatifu za Kiislamu na Kikristo hasa mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa.

  • Tunisia yaizuia meli ya utawala haramu wa Israel isitie nanga katika bandari yake

    Tunisia yaizuia meli ya utawala haramu wa Israel isitie nanga katika bandari yake

    Aug 17, 2018 23:44

    Harakati ya Kimataifa ya Kuususia Utawala Haramu wa Israel, imesema kuwa serikali ya Tunisia ilikataa kuiruhusu meli moja ya utawala huo katili kutia nanga katika bandari ya nchi hiyo.

  • Israel yakiri kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wa Palestina katika vita vya siku 50 Gaza

    Israel yakiri kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wa Palestina katika vita vya siku 50 Gaza

    Aug 13, 2018 03:18

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imekiri kupitia uchunguzi uliofanyika kwamba iliwaua kwa makusudi watoto wanne wa familia moja ya Kipalestina katika vita vya siku 50 dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Utawala wa Kizayuni wakasirishwa na uamuzi wa Colombia wa kuitambua nchi ya Palestina

    Utawala wa Kizayuni wakasirishwa na uamuzi wa Colombia wa kuitambua nchi ya Palestina

    Aug 12, 2018 03:44

    Uhusiano wa kidiplomasia wa Colombia na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekumbwa na mgogoro kufuatia uamuzi wa serikali ya Colombia kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na yenye kujitawala.

  • Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Aug 07, 2018 10:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuhusu matamshi ya karibuni ya rais wa Marekani kuwa yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwamba: kutokana na sera za Marekani za kuendesha vita vikubwa vya kisaikolojia dhidi ya Iran hakuna dhamana wala imani yoyote juu ya serikali ya Marekani wala rais wa nchi hiyo.

  • Hizbullah: Israel imepatwa na kiwewe baada ya muqawama kufika mpaka wa Golan

    Hizbullah: Israel imepatwa na kiwewe baada ya muqawama kufika mpaka wa Golan

    Aug 06, 2018 08:39

    Mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikkh Nabil Qaouk ameashiria ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi wa genge la Daesh (ISIS) na kusisitiza kuwa, hivi sasa Israel imepatwa na kiwewe kufuatia mrengo wa muqawama kufika katika mpaka wa miinuko ya Golan.

  • Mwakilishi wa Kudumu wa Sweden UN: Hali ya mambo Ukanda wa Ghaza ni hatari

    Mwakilishi wa Kudumu wa Sweden UN: Hali ya mambo Ukanda wa Ghaza ni hatari

    Jul 31, 2018 23:40

    Mwakilishi wa Kudumu wa Sweden katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya mambo katika eneo la Ukanda wa Ghaza ni ya hatari.

  • Malaysia yaitaka dunia kupambana na utawala wa Kizayuni

    Malaysia yaitaka dunia kupambana na utawala wa Kizayuni

    Jul 24, 2018 03:26

    Serikali ya Malaysia imeitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka katika kukabiliana na sheria iliyopasishwa na utawala haramu wa Kizayuni juu ya kuundwa nchi ya Kiyuhudi katika ardhi za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS