-
Utawala wa Israel unashirikiana na Saudia katika kuwaua watu wa Yemen
May 25, 2018 09:25Ndege za kivita za Utawala wa Kizayuni wa Israel aina ya F-35 zinashiriki katika hujuma inayoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.
-
Tahadhari yatolewa kuhusu hatari ya kujipenyeza zaidi Wazayuni barani Afrika
May 24, 2018 03:06Waziri wa zamani wa masuala ya kidini wa Senegal ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujipenyeza Wazayuni barani Afrika.
-
Berri achaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge la Lebanon, ataka dunia iizuie Israel
May 23, 2018 09:49Nabih Berri amechaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge la Lebanon ambalo limekutana leo baada ya uchaguzi uliofanyika Mei 6.
-
Amoli Larijani: Marekani haiwezi kuficha jinai za utawala wa Kizayuni
May 21, 2018 23:12Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa Marekani inahusika na jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni na kwamba maafa hayo yametendwa kufuatia baraka za Marekani kwa utawala huo.
-
Israel yapinga kuundwa kamati ya kimataifa ya kuchunguza jinai za Gaza
May 19, 2018 21:53Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala haramu wa Israel imepinga vikali uamuzi wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wa kutaka wachunguzi wa kimataifa wa jinai za vita wapelekwe haraka Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa Israel.
-
Arab League yajitutumua, yataka kufanyika uchunguzi kuhusu jinai za Mazayuni
May 17, 2018 23:45Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametaka kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai za hivi karibuni za utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina zaidi ya 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na jeshi la Israel katika maandamano ya leo
May 14, 2018 08:50Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza
-
HAMAS: Kuvamiwa msikiti wa Al Aqsa na walowezi wa Kizayuni kumefanywa kwa uungaji mkono wa Marekani
May 13, 2018 22:36Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, uvamizi uliofanywa walowezi wa Kizayuni katika msikiti wa Al Aqsa hapo jana ni namna fulani ya utoaji vitisho unaofanywa na utawala wa Kizayuni kwa uungaji mkono wa Marekani.
-
Al-Wefaq ya Bahrain: Hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kujipendekeza kwa Israel inatia aibu
May 12, 2018 22:18Harakati ya Kitaifa ya Al-Wefaq ya nchini Bahrain imesema kuwa, matamshi ya Khalid bin Ahmed Al Khalifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni, ni ya kufedhehesha na anatakiwa kuliomba radhi taifa sambamba na kujiuzulu.
-
Israel yakiri udhaifu wake kwamba haina uwezo wa kuingia vitani kwa sasa
May 11, 2018 03:19Waziri wa Vita wa Utawala Haramu wa Israel, amekiri kwamba utawala huo hauna maandalizi ya kukabiliana na migogoro inayotokana na vita kwa sasa.