-
Kongamano la kuwapinga Wazayuni wa Israel lafanyika nchini Marekani
Mar 03, 2018 12:46Jarida la Washington Report kwa kushirikiana na kitengo cha Mashariki ya Kati cha Taasisi ya Utafiti ya Marekani limetangaza habari ya kufanyika kongamano la kuipinga Israel mjini Washington.
-
Baada ya miaka 19 TV ya Al-Manar yaonyesha taswira ya kuangamizwa kamanda wa jeshi la Israel na Hizbullah
Mar 03, 2018 04:26Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimesema kuonyeshwa na kanali ya televisheni ya Al-Manar ya Lebanon taswira ya kuangamizwa kamanda mmoja wa jeshi la utawala huo miaka 19 iliyopita kunabeba ujumbe wa vita vya kinafsi na kisaikolojia vinavyoendeshwa na harakati ya Hizbullah dhidi ya Tel Aviv.
-
Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas
Mar 03, 2018 01:38Kamanda wa vikosi vya ardhini vya utawala haramu wa lsrael amekiri kwamba, jeshi la utawala huo limepoteza uwezo wake mkubwa mkabala wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya muqawama wa Palestina HAMAS.
-
Boroujerdi: Iran haina mahusiano yoyote ya kiuchumi, kimichezo na kisiasa na Israel
Mar 02, 2018 10:26Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Alaeddin Boroujerdi sambamba na kubainisha kwamba michezo ni sehemu ndogo ya mahusiano yaliyokatwa mapema kati ya Iran na Israel, amesema kuwa mfumo wa Iran ya Kiislamu kamwe hauna mahusiano ya kiuchumi na kisiasa na utawala huo bandia.
-
Hamas: Matamshi ya Haley yanadhihirisha uadui wa Marekani dhidi ya Wapalestina
Feb 21, 2018 11:07Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa matamshi yaliyotolewa na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Nikki Haley yamedhihirisha tena uadui wa serikali ya Washington dhidi ya watu wa Palestina.
-
Hizbullah yasisitiza tena kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa Wazayuni
Feb 20, 2018 00:52Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena imesisitiza kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa aina yoyote ile wa utawala haramu wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon.
-
Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia
Feb 19, 2018 12:12Mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano wakilitaka bunge la nchi hiyo lifanye haraka kupitisha sheria ambayo itatamka wazi kuwa ni uhalifu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel
-
Brigedia Jenerali Salami: Viongozi wa Marekani na Israel ni wasanii wenye vioja
Feb 19, 2018 04:36Naibu Kamanda Mkuu wa jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema katika radiamali yake kwa maonyesho ya kipropaganda ya Waziri Mkuu wa Israel katika mkutano wa usalama wa Munich Ujerumani kwamba, viongozi wa Marekani na Israel wamegeuka kuwa wasanii wenye vioja.
-
Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia
Feb 18, 2018 04:03Wananchi wa Tunisia wameandamana kuunga mkono rasimu ya sheria ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Velayati: Muqawama utawatimua Marekani, Wazayuni Euphrates Mashariki
Feb 17, 2018 13:41Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema harakati ya muqawama katika eneo itaitimua Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kutoka eneo la Mashariki mwa Mto Euphrates ambao unatiririka kutoka Uturuki na kupitia Syria hadi Iraq.