-
Afrika Kusini yasisitiza tena msimamo wake kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel, Gaza
Aug 10, 2025 05:52Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kwa mara nyingine tena amesisitiza kuhusu msimamo wa nchi hiyo katika faili la kesi ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusema: Afrika Kusini inaitaka Israel isimamishe vita haraka iwezekanavyo huko Gaza, iruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika eneo hilo, iache kulikalia kwa mabavu eneo hilo na iache kuiaadhibu jamii ya Wapalestina.
-
Venezuela yalaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2025 10:00Serikali ya Venezuela imepinga vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kuzidisha mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.
-
UEFA yamuenzi 'Pele wa Palestina' aliyeuliwa na jeshi la Israel Ghaza wakati anangojea chakula
Aug 09, 2025 04:11Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA, umemuenzi nahodha na nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Palestina Suleiman al-Obeid, ambaye aliuawa shahidi katika shambulizi la kinyama la utawala wa kizayuni wa Israel alipokuwa akisubiri msaada wa chakula huko Ghaza siku ya Jumatano.
-
Mbunge wa Hizbullah: Kukubali tupokonywe silaha ni sawa na kujinyonga
Aug 09, 2025 03:52Mbunge wa Lebanon kutoka mrengo wa kisiasa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchi hiyo Hizbullah amelipinga vikali dai la kuitaka harakati hiyo iweke chini silaha zake kufuatia shinikizo la Marekani kwa serikali la kuitaka iipokonye silaha harakati hiyo.
-
Israel yasaini makubaliano ya kihistoria ya kuiuzia Misri gesi yenye thamani ya dola bilioni 35
Aug 09, 2025 03:27Utawala wa kizayuni wa Israel umetangaza kusainiwa mkataba mkubwa utakaogharimu dola bilioni 35 wa kuiuzia Misri gesi asilia, unaotajwa kuwa ni "mkubwa zaidi katika historia ya Israel". Hayo yameelezwa na Eli Cohen, waziri wa nishati wa utawala huo ghasibu.
-
Serikali ya Chad yaomba waziri mkuu wa zamani apewe adhabu ya kifungo cha miaka 25 jela
Aug 09, 2025 03:27Serikali ya Chad imeiomba mahakama impe adhabu ya kifungo cha muda mrefu jela waziri mkuu wa zamani Succes Masra ambaye anakabiliwa na mashtaka yanayohusiana namachafuko mabaya yaliyozuka kusini mwa nchi hiyo mwezi Mei mwaka huu na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 08, 2025 22:59Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Netanyahu atishia kumtimua mkuu wa majeshi akikataa kutekeleza mpango wa kuivamiza Ghaza yote
Aug 07, 2025 01:00Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemtishia kumfukuza kazi mkuu wa majeshi Eyal Zamir, ikiwa ataukataa mpango uliopendekezwa wa kuukalia kijeshi Ukanda wote wa Ghaza. Hayo yameripotiwa na duru za karibu na Netanyahu mwenyewe.
-
Afrika yaanza kutengeneza dawa za kukabiliana na UKIMWI
Aug 05, 2025 04:17Nchi za Afrika zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara zimepiga hatua muhimu kuelekea kujitegemea zaidi katika masuala ya afya kupitia hatua ya hivi karibuni zaidi ya kutengeneza dawa za kukabiliana na Virusi Vya Ukimwi, (VVU).
-
Iran: Nchi jirani zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa kizayuni wa Israel
Aug 04, 2025 23:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini aliyonayo ya kukamilika mkataba wa amani kati ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia lakini amezitaka pia nchi majirani wa Iran zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa Kizayuni wa Israel.