-
Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel: "Hatuhitaji kufunzwa demokrasia na wauaji wa raia"
Aug 04, 2025 07:02Meya wa jiji la Athens nchini Ugiriki amemshambulia vikali balozi wa utawala wa kizayuni wa Israel nchini humo Noam Katz kwa kumwambia: "sisi hatuhitaji kupewa masomo kuhusu demokrasia na wale wanaoua raia".
-
Sanders: 60% ya Wamarekani wanapinga vita vya kinyama vya Netanyahu dhidi ya Wapalestina
Aug 03, 2025 03:39Bernie Sanders, Seneta wa kujitegemea anayewakilisha jimbo la Vermont nchini Marekani amesema: "asilimia 60 ya watu wa nchi hii wanapinga vita vya kinyama vya waziri mkuu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Kuongezeka matukio ya kujiua miongoni mwa askari wa Kizayuni; jeshi la Israel linasambaratika kutokea ndani
Aug 02, 2025 22:55Vitendo vya kujiuawa vitakuwa kuwa tishio na jinamizi kuu miongoni mwa wanajeshi wa Israel baada ya kumalizika vita vya Gaza.
-
Waziri wa Syria: Israel inalenga kuigawanya Syria vipande vipande, si kuwatetea Wadruze
Aug 02, 2025 07:46Waziri mmoja wa serikali ya mpito ya Syria amekosoa uingiliaji kijeshi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika matukio ya eneo la kusini mwa Syria na kusistiza kuwa, lengo hasa la Tel Aviv ni kuigawanya na kuivuruga nchi hiyo na si kutetea jamii za wachache za kikabila au za kidini za watu wa nchi hiyo.
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa
Aug 01, 2025 11:33Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.
-
Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel
Aug 01, 2025 09:57Gazeti la Ujerumani la Der Spiegel limeandika kuwa, zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri wa vyombo vya habari, utamaduni na sanaa wameitaka serikali ya Ujerumani kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel.
-
Jeshi la Yemen lashambulia ngome 3 za Israel kwa kutumia droni 5
Jul 31, 2025 08:47Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi matatu ya ndege zisizo na rubani (droni) katika maeneo matatu ya Israel.
-
Qalibaf: Adui mzayuni anataka kulilipizia kisasi taifa la Iran kwa vita vya kiuchumi na kisaikolojia
Jul 27, 2025 07:39Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameashiria umoja usio na kifani ulioonyeshwa na taifa la Iran katika siku 40 zilizopita, ambao ulitoa kichapo kikali kwa adui mzayuni, amesisitiza kuwa, hivi sasa adui anataka kulipiza kisasi zaidi ya alivyofanya huko nyuma dhidi ya wananchi shupavu na madhulumu wa Iran kupitia vita vya kiuchumi na opereseheni za kisaikolojia.
-
Msalaba Mwekundu: Viwango vyote vya kisheria na kimaadili vimekiukwa huko Gaza
Jul 26, 2025 23:06Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu amezungumzia hali mbaya ya inayoshuhudiwa sasa katika Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya jeshi la Israel na mzingiro mkubwa wa eneo hilo na kusisitiza kuwa, viwango vyote vya kisheria na kimaadili vimekiukwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran yalaani hatua ya Wazayuni, yaonya juu ya kuangamizwa kabisa Palestina
Jul 24, 2025 23:50Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imelaani hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, Knesset, ya kuidhinisha muswada unaoweka udhibiti wa utawala huo ghasibu katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.