Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Misri yakataa pendekezo la Wazayuni la kuitawala Gaza kwa miaka 8

    Misri yakataa pendekezo la Wazayuni la kuitawala Gaza kwa miaka 8

    Feb 26, 2025 06:40

    Cairo imekataa pendekezo la maafisa wa utawala za Kizayuni wa Isarel wanaotaka serikali ya Misri isimamia mamlaka ya Ukanda wa Gaza kwa miaka 8 hadi 15.

  • Watoto wachanga watano wafariki Ghaza kutokana na mgando wa baridi kali

    Watoto wachanga watano wafariki Ghaza kutokana na mgando wa baridi kali

    Feb 25, 2025 10:59

    Watoto wachanga watano wamefariki dunia katika Ukanda wa Ghaza kutokana na mgando wa baridi kali katika eneo hilo lililowekewa mzingiro na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzuiwa kuingizwa misaada ya kibinadamu ikiwemo ya vifaa vya huduma za tiba.

  • Kuendelea mashambulizi na jinai za Wazayuni kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi

    Kuendelea mashambulizi na jinai za Wazayuni kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi

    Feb 25, 2025 02:28

    wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Afrika Kusini: Usitishaji vita Gaza sharti ulete amani ya kudumu

    Afrika Kusini: Usitishaji vita Gaza sharti ulete amani ya kudumu

    Feb 21, 2025 02:50

    Rais wa Afrika Kusini amesema usitishaji wa mapigano katika Ukanda wa Gaza unapasa kuleta uadilifu na amani ya kudumu katika eneo hilo.

  • Matakwa ya mashirika ya haki za binadamu ya kutopatiwa Israel vipuri vya ndege za kivita za F-35

    Matakwa ya mashirika ya haki za binadamu ya kutopatiwa Israel vipuri vya ndege za kivita za F-35

    Feb 21, 2025 02:23

    Muungano wa Kimataifa wa mashirika 232 ya kutetea haki za binadamu umezitaka nchi mbalimbali zinazohusika katika uundaji za ndege za kivita aina ya F-35 kuacha kuipatia Israel vipuri vya ndege hizo.

  • Errea nayo yabatilisha mkataba wake na Shirikisho la Soka la utawala wa Kizayuni

    Errea nayo yabatilisha mkataba wake na Shirikisho la Soka la utawala wa Kizayuni

    Feb 20, 2025 07:38

    Kampuni nyingine ya udhamini wa vifaa vya michezo ya Ulaya imefuta mkataba wake na Shirikisho la Soka la utawala wa Kizayuni wa Israel na hivyo kutoa pigo jingine kwa utawala huo haramu.

  • Kuendelea kushtakiwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Kuendelea kushtakiwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Feb 20, 2025 02:34

    Gideon Sa’ar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala vamizi wa Israel ameshtakiwa kwa kutenda jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon

    Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon

    Feb 19, 2025 06:54

    Marekani na Ufaransa zimeripotiwa kuwa zimependekeza mamluki wanaoitwa wakandarasi binafsi wapelekwe kusini mwa Lebanon katika jitihada za kuushawishi utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe kikamilifu majeshi yake nchini humo.

  • Jumuiya ya mateka wa Palestina: Mateka 58 wamekufa shahidi katika muda wa miezi sita iliyopita

    Jumuiya ya mateka wa Palestina: Mateka 58 wamekufa shahidi katika muda wa miezi sita iliyopita

    Feb 18, 2025 13:43

    Mkuu wa Jumuiya ya mateka wa Palestina amesema, kuna hatari nyingi zinatishia maisha ya mateka wa Kipalestina, na kwamba katika kipindi cha miezi sita iliyopita, mateka 58 wamekufa shahidi wakiwa ndani ya jela za utawala wa Kizayuni.

  • Jeshi la Israel laendelea kukalia maeneo ya ardhi ya Lebanon licha ya muhula wa kuondoka kumalizika

    Jeshi la Israel laendelea kukalia maeneo ya ardhi ya Lebanon licha ya muhula wa kuondoka kumalizika

    Feb 18, 2025 13:42

    Muhula wa mwisho uliokuwa umetolewa kwa askari wote wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka kusini mwa Lebanon chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa kati ya utawala huo na harakati ya Hizbullah ulimalizika leo Jumanne, huku Israel ikitangaza kuwa itaendelea kubaki katika "maeneo matano ya kimkakati" ya ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS