-
Iran: Mchakato wa kufuatilia jinai za Wazayuni kwenye duru za kimetaifa, umeanza
Oct 28, 2023 11:03Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya sheria za kimataifa amesema kuwa, mchakato wa kufuatilia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza umeanza katika taasisi za kimataifa.
-
Kupasishwa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Ghaza
Oct 28, 2023 08:39Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio lililopendekezwa na nchi za Kiarabu na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kibinadamu haraka iwezekanavyo huko Ghaza.
-
Wapalestina 100 wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya Israel huko Ghaza
Oct 28, 2023 04:03Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
-
Atwan: Wanamuqawama wa Ghaza wameigeuza historia juu chini kwa utawala wa ghasibu
Oct 28, 2023 00:24Mhariri wa gazeti la Rai al Yaum amesema kuwa kinyume na dhana ya viongozi wa utawala ghasibu unaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu, wanamapambano huko Ukanda wa Ghaza wameugeuza mwenendo wa historia kwa utawala huo.
-
Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Oct 27, 2023 03:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeshindwa kupasisha azimio Katika hali ambayo wananchi wa Ukanda wa Ghaza bado wanakabiliwa na mashambulizi ya kinyama na ya kutisha ya utawala wa Kizayuni ambapo utawala huo unazuia kufikishwa misaada ya dharura katika eneo hilo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Marekani ni mshirika katika uhalifu wa Israel
Oct 26, 2023 04:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia dhulma inayokabiliwa na subira na ukakamavu wa wananchi wa Gaza dhidi ya jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: Safari za mara kwa mara za marais wa Marekani na nchi nyingine za shari na dhalimu kama Uingereza, Ufaransa na Ujerumani huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni jaribio la kuzuia kusambaratika utawala huo ghasibu.
-
Kan'ani: Waungaji mkono wa Israel ni washirika wa jinai za utawala wa Kizayuni
Oct 25, 2023 22:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kila anayeuunga mkono utawala wa Kizayuni anashiriki kikamilifu kwenye jinai za Israel na hawezi kamwe kujivua nazo.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala mbovu wa Israel unalipiza kisasi dhidi ya watu wanaodhulumiwa wa Palestina
Oct 25, 2023 11:56Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wa Israel uliojeruhiwa na kudhoofika, unalipiza kisasi kwa kipigo barabara cha wapiganaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Ebrahim Raisi: Jinai za Wazayuni ni sura halisi ya ubaguzi na ukoloni wa Magharibi
Oct 25, 2023 11:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaja jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa jinai hizo kuwa ni sura halisi ya ubaguzi wa rangi na ukoloni wa nchi za Magharibi.
-
Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza
Oct 25, 2023 04:19Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?