• Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Oct 24, 2023 06:33

    Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni si tu kwamba inatoa misaada ya kila aina ya silaha na fedha kwa ajili ya kuushambuliwa Ukanda wa Ghaza, bali pia inapinga vikali usitishwaji vita katika uvamizi huo wa umwagaji damu kwa visingizio vya uongo na visivyo na msingi.

  • Jihad Islami: Misimamo ya nchi za Kiarabu na Kiislamu ni dhaifu

    Jihad Islami: Misimamo ya nchi za Kiarabu na Kiislamu ni dhaifu

    Oct 23, 2023 22:49

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa misimamo dhaifu ya nchi za Kiarabu na Kiislamu inazidisha mateso na masaibu kwa watu wa Ghaza.

  • Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Oct 23, 2023 08:40

    Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 5,000 wameuawa shahidi na wengine zaidi ya 15,000 kujeruhiwa kutokana na hujuma na mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais wa Iran: Biden amekiri kwamba Israel ni utawala bandia

    Rais wa Iran: Biden amekiri kwamba Israel ni utawala bandia

    Oct 23, 2023 04:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais wa Marekani, Joe Biden, kuwa yanapinga maendeleo ya kisaisa na kijamii na demokrasia na ni dhidi ya binadamu na akasema: Matamshi ya hivi majuzi ya Rais wa Marekani ni kukiri bila hiari kwamba utawala ghasibu wa Israel ni utawala bandia.

  • Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Oct 23, 2023 01:04

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kushinikiza kujiuzulu waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.

  • Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Amir Abdollahian: Walimwengu wanashuhudia jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza

    Oct 22, 2023 11:30

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini kwamba: Hii leo dunia inashuhudia jinai zinazofanywa na utawala wa kibaguzi na muuaji wa watoto wachanga dhidi ya watu wa Gaza.

  • Vipimo viwili tofauti vya Ulaya kuhusu uhuru wa kujieleza; vitisho na adhabu kwa waungaji mkono wa Palestina

    Vipimo viwili tofauti vya Ulaya kuhusu uhuru wa kujieleza; vitisho na adhabu kwa waungaji mkono wa Palestina

    Oct 21, 2023 23:07

    Matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Israel hasa baada ya mashambulizi ya Kimbunga cha Al-Aqsa na jibu la kinyama la utawala wa Kizayuni, hasa mashambulizi ya kikatili ya utawala huo dhidi ya wanawake na watoto wa Ukanda wa Ghaza, yameibua radiamali kali ya jamii ya kimataifa dhidi ya utawala huo.

  • Misaada ya kwanza ya kibinadamu yaingia Ukanda wa Gaza

    Misaada ya kwanza ya kibinadamu yaingia Ukanda wa Gaza

    Oct 21, 2023 09:57

    Awamu ya kwanza ya misaada ya kibinadamu imeingia katikak ukanda wa Gaza huko Palestina na kuleta ahueni ya namna fulani kwa wananchi hao wanaokabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu.

  • Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden

    Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden

    Oct 20, 2023 22:54

    Biden ambaye awali alijiepusha kumwalika Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika Ikulu ya White House, ameshawishika kukubali hila za Netanyahu, ambapo amesimamisha shughuli zake zote huko Marekani na kuamua kumtembelea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika kilele cha uzee wake.

  • Wasiwasi wa kimataifa kuhusu mgogoro wa kibinadamu Ukanda wa Ghaza

    Wasiwasi wa kimataifa kuhusu mgogoro wa kibinadamu Ukanda wa Ghaza

    Oct 19, 2023 23:07

    Shambulio la utawala wa Kizayuni katika hospitali huko katika Ukanda wa Ghaza limelaaniwa na pande mbalimbali kimataifa.