Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Idadi ya mashahidi wa Palestina Gaza yapindukia 3500

    Idadi ya mashahidi wa Palestina Gaza yapindukia 3500

    Oct 19, 2023 11:17

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 3,500 wameuawa shahidi na wengine zaidi ya 13,000 kujeruhiwa kutokana na hujuma na mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Oct 19, 2023 07:20

    Jumatano, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikataa tena azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kufuatia upinzani wa Marekani. Marekani ilipinga azimio lililopendekezwa kwa Baraza la Usalama na Brazil, lililotaka kusitishwa mapigano ili kufikishwa misaada ya kibinadamu Ghaza.

  • Onyo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea jinai za Wazayuni

    Onyo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea jinai za Wazayuni

    Oct 18, 2023 04:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kusitishwa mashambulizi na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi Mkuu wa Iran: Jinai za Gaza zisiposimamishwa, hakuna atakayeweza kuwazuia Waislamu na Wanamuqawama

    Kiongozi Mkuu wa Iran: Jinai za Gaza zisiposimamishwa, hakuna atakayeweza kuwazuia Waislamu na Wanamuqawama

    Oct 17, 2023 08:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: wananchi wa mataifa ya Kiislamu na hata watu wasio Waislamu duniani wamekasirishwa sana na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala unaoikalia Quds kwa mabavu, na iwapo unyama na ushenzi huo utaendelea Waislamu duniani na vikosi vya Muqawama wataishiwa na subira na hakuna atakayeweza kuwazuia.

  • Balozi wa Israel atimuliwa Colombia kulalamikia jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza

    Balozi wa Israel atimuliwa Colombia kulalamikia jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza

    Oct 17, 2023 02:32

    Duru mbalimbali za habari zimetangaza usiku wa kuamkia leo Jumanne kwamba, nchi ya Colombia ya Amerika ya Latini imemtimua balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni kulalamikia jinai za utawala huo dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ghaza.

  • Mwandishi wa Israel: Wazayuni 1,815 wamengamizwa na Hamas

    Mwandishi wa Israel: Wazayuni 1,815 wamengamizwa na Hamas

    Oct 17, 2023 00:10

    Yossi Milman mwandishi habari mtajika Mzayuni ameandika katika ukurasa wake wa X, Twitter ya zamani, kwamba hadi sasa Wazayuni 1,815 wameuawa katika mashambulizi ya wanamapambano wa Hamas.

  • Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Oct 16, 2023 08:43

    Polisi ya Chicago imetangaza kuwa mkazi mmoja wa mji huo amemuua mvulana wa Kipalestina wa miaka 6 kwa kisu na kumjeruhi vibaya mama yake.

  • Rais wa Iran: Ikiwa mauaji ya watu wa Gaza hayatasitishwa, vita vitaenea

    Rais wa Iran: Ikiwa mauaji ya watu wa Gaza hayatasitishwa, vita vitaenea

    Oct 15, 2023 11:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rais wa Ufaransa kuwa, ikiwa jinai za utawala wa Kizayuni ikiwemo mauaji ya raia na kuuzingira Ukanda wa Ghaza hayatasitishwa, hali ya mambo itakuwa tete zaidi na vita vitaenea.

  • Ofisi ya Iran UN: Jinai za Israel zisipositishwa, huenda hali haitaweza kudhibitika tena

    Ofisi ya Iran UN: Jinai za Israel zisipositishwa, huenda hali haitaweza kudhibitika tena

    Oct 15, 2023 04:11

    Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuwa iwapo jinai na uhalifu wa kivita na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa kibaguzi wa apathaidi wa Israel hayatakomeshwa mara moja, huenda hali haitaweza kudhibitika tena.

  • Hizbullah yatoa taarifa kuhusu mashambulio makali iliyofanya dhidi ya ngome za Israel

    Hizbullah yatoa taarifa kuhusu mashambulio makali iliyofanya dhidi ya ngome za Israel

    Oct 14, 2023 23:03

    Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kutangaza kuwa imetoa kipigo kikali katika mashambulio iliyofanya dhidi ya ngombe za jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika katika mashamba ya Shabaa ya ardhi ya Lebanon inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS