-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yaonya upanuzi wa vitongoji vya walowezi Nablos
May 31, 2023 03:17Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya mamlaka ya ndani ya Palestina imeonya kuhusiana na upanuzi wa vitongojii vya walowezi wa Kizayuni huko Nablos, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Jebeli: Kuweza Muqawama wa Palestina kuushurutisha utawala wa Kizayuni ni ushindi mkubwa
May 30, 2023 03:10Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ameyapongeza makundi ya muqawama ya Palestina kwa ushindi wao mkubwa katika mapigano ya hivi karibuni na utawala haramu wa Kizayuni wa Israe ambayo yalimalizika tu baada ya Israel kukubali masharti yao.
-
Lobi mpya kuundwa katika bunge la Wazayuni kwa lengo la kuuhodhi msikiti wa Al-Aqsa
May 29, 2023 23:00Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti habari ya kuundwa "lobi mpya" ya Wazayuni katika Knesset (Bunge) la utawala huo ili kuudhibiti Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Idi ya muqawama; siku ya jinamizi kwa wavamizi
May 26, 2023 22:09Tarehe 25 Mei mwaka 2000, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulishindwa vibaya sana kwa kipigo kikali ulichopata kwa Muqawama wa Hizbullah ya Lebanon; na matokeo yake ukalazimika kurudi nyuma na kuondoka kimadhila kusini mwa nchi hiyo. Siku hiyo imekuwa maarufu nchini Lebanon kwa la jina la "Sikukuu ya Muqawama".
-
Wazayuni: Ni muujiza tu ndio utatuokoa mbele ya operesheni za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
May 25, 2023 06:07Kituo cha upashaji habari cha "al Mu'uti" cha Palestina kimetangaza kuwa, wanamapambano wa Palestina wamefanya operesheni 25 dhidi ya walowezi wa Kizayuni katika kipindi cha masaa 24 ya hadi ilipotangazwa habari hiyo na kuwakosesha usingizi kabisa walowezi hao ambao wanasema waziwazi kuwa ni muujiza tu ndio utaokoa maisha yao.
-
Wayemen wafanya maandamano makubwa katika Siku ya Kupambana na Uistikbari
May 24, 2023 07:25Wananchi wa Yemen leo Jumatano wamekusanyika katika maidani kuu ya mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a na katika miji mingine ya nchi hiyo kufanya maandamano makubwa kwa mnasaba wa Siku ya Kupambanan na Uistikbari yaani "Yaum Sarkha."
-
WHO yatakiwa kusaidia kuachiliwa huru mateka wa Kipalestina
May 21, 2023 10:09Kamati ya Wafungwa wa Kipalestina imelitaka Shirika la Afya Duniani (WHO) kuingilia kati na kuokoa roho za mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya kuogofya ya utawala vamizi wa Israel.
-
Baada ya miaka 56 askari wa Kizayuni azirejesha funguo alizoiba za Msikiti wa Al Aqsa
May 20, 2023 22:45Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".
-
Duru za Kizayuni zakiri ushindi mkubwa wa Rais Bashar al Assad wa Syria
May 20, 2023 07:41Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimekiri kwamba Rais Bashar al Assad wa Syria amepata ushindi mkubwa kwa kushiriki kwake katika Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League mjini Jeddah na kuonana kwake na mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia, Mohammad bin Salman.
-
Afisa wa zamani wa Kizayuni akiri utawala huo ulimuua mwandishi wa habari wa Palestina, Shireen Abu Akleh
May 20, 2023 03:22Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar imetangaza katika ripoti yake kwamba afisa mmoja wa ngazi ya juu katika ofisi ya waziri wa zamani wa ulinzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwa serikali ya Marekani kwamba Israel ilihusika na mauaji ya mwandishi wa habari wa Kipalestina "Shireen Abu Akleh" aliyepigwa risasi na wanajeshi wa utawala huo ghasibu.