Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Khalifa Haftar anajaribu kueneza wigo wa kimataifa wa mgogoro wa Libya

    Khalifa Haftar anajaribu kueneza wigo wa kimataifa wa mgogoro wa Libya

    Jan 01, 2020 04:22

    Baada ya kupinduliwa utawala wa Muammar Gaddafi huko Libya mwaka 2011, nchi hiyo ilitumbukia katika vita vya ndani na hivi sasa kuna serikali mbili hasimu, moja ya mashariki na nyingine ya magharibi mwa nchi hiyo ambapo vikosi vya pande hizo mbili vinaendelea kupigana,

  • Uturuki yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi wake Libya kuisaidia serikali ya Sarraj

    Uturuki yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi wake Libya kuisaidia serikali ya Sarraj

    Dec 23, 2019 03:44

    Makamu wa Rais wa Uturuki Fuat Oktay ametangaza kuwa, 'iwapo serikali ya muafaka wa kitaifa Libya itawasilisha ombi rasmi, Uturuki iko tayari kutuma wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.

  • Kikosi cha Haftar chateka nyara meli ya Uturuki pwani mwa Libya

    Kikosi cha Haftar chateka nyara meli ya Uturuki pwani mwa Libya

    Dec 22, 2019 08:07

    Kikosi cha linalojiita jeshi la taifa la Libya chini ya uongozi wa Jenerali Khalifa Haftar kimeteka nyara meli ya Uturuki katika maji ya Bahari ya Mediterania na kuipeleka katika bandari ya Ra's Al Hilal huko mashariki mwa Libya.

  • Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Rais Putin wa Russia ataka kuhitimishwa mgogoro wa Libya

    Dec 19, 2019 09:25

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema angependa kuona mgogoro wa Libya unapatiwa ufumbuzi na mazungumzo baina ya pande mbili hasimu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika yanaanza.

  • Uturuki kujibu mapigo kwa kutambua kuuliwa wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni 'mauaji ya kimbari'

    Uturuki kujibu mapigo kwa kutambua kuuliwa wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni 'mauaji ya kimbari'

    Dec 17, 2019 09:11

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, nchi yake itachukua hatua ya kuyatambua mauaji ya mamilioni ya wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni "mauaji ya kimbari" ili kujibu mapigo kwa hatua ya karibuni iliyochukuliwa na serikali ya Washington ya kuyaelezea mauaji ya halaiki ya Waarmenia yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Uturuki wa Dola la Othmaniya kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Serikali ya muda ya Libya yaeleza wasiwasi wake kuhusu mapatano ya Sarraj na Erdogan

    Serikali ya muda ya Libya yaeleza wasiwasi wake kuhusu mapatano ya Sarraj na Erdogan

    Dec 08, 2019 23:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda yenye makao yake mashariki mwa Libya amesema kuwa wanatiwa wasiwasi na mapatano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo yenye makao makuu yake mjini Tripoli, na Uturuki.

  • Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki

    Dec 06, 2019 23:16

    Serikali ya Ugiriki imemtimua balozi wa Libya mjini Athens, kufuatia kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.

  •  Marekani yaendeleza jitihada za kuishinikiza Uturuki iache kununua ngao ya makombora ya S-400

    Marekani yaendeleza jitihada za kuishinikiza Uturuki iache kununua ngao ya makombora ya S-400

    Dec 05, 2019 03:53

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa Washington ingali inaendelea kufanya mazungumzo na kuishinikiza Ankara ili iachane na mpango wake wa kutaka kununua ngao ya makombora ya S-400 kutoka Russia.

  • Kuongozeka mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na Uturuki kuhusiana na shirika la NATO

    Kuongozeka mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na Uturuki kuhusiana na shirika la NATO

    Nov 30, 2019 23:34

    Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusu udhaifu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na kufananisha hali ya shirika hilo la kifo cha ubongo yamekabiliwa kwa hisia kali na baadhi ya wanachama wa jumuiya hiyo ikiwemo Uturuki. Matamshi hayo yameuzusha mivutano ya kisiasa baina ya Paris na Ankara.

  • Jeshi la Syria latungua ndege isiyo na rubani ya Uturuki

    Jeshi la Syria latungua ndege isiyo na rubani ya Uturuki

    Nov 29, 2019 08:08

    Vyombo vya habari nchini Syria vimetangaza kwamba, jeshi la nchi hiyo limetungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la Uturuki katika viunga vya mji wa Qamishli, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS