-
Shambulio la kigaidi katika Shirika la Mafuta la Venezuela
Jan 24, 2021 08:13Rais wa Venezuela ametangaza kuwa, shambulio la kigaidi limejiri katika bomba la mafuta la shirika la mafuta na gesi la serikali la Petroleus de Venezuela na kulaani shambulio hilo ambalo limesababisha moto mkubwa.
-
Maduro; Venezuela imemshinda Trump
Jan 21, 2021 11:39Rais wa Venezuela amekutaja kuondoka huko White House Rais wa zamani wa Marekani kuwa ushindi kwa nchi yake.
-
Mwangwi wa kubwagwa Trump, wapinzani wa Venezuela wapata pigo jipya
Jan 08, 2021 07:04Baada ya Donald Trump kubwagwa katika uchaguzi wa rais wa Novemba 3, 2020 huko Marekani, sasa wafuasi, mashabiki na vibaraka wake wa nje, nao wameanza kuonja makali ya kuwa vibaraka wa Marekani.
-
Maduro katika ujumbe wake kwa mwaka mpya wa Miladia; tutaimarisha zaidi uhusiano na Iran
Jan 03, 2021 06:36Katika kuanza mwaka mpya wa 2021 Miladia Rais wa Venezuela akiashiria suala la kuilinda ardhi ya nchi hiyo amesisitiza kuwa ataimarisha uhusiano na Iran, Russia, China, Cuba, Uturuki na India.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Venezuela
Dec 20, 2020 11:29Licha ya kufeli kwa sera za vikwazo za Marekani dhidi ya Venezuela, lakini viongozi wa Washington wangali wamekumbatia siasa hizo za mashinikizo na kuendelea kutekeleza siasa hizo zilizoshindwa na kugonga ukuta dhidi ya nchi hiyo ya Amerka ya Latini.
-
Sisitizo la Venezuela la kuimarisha uhusiano wa kistratijia na Iran
Nov 27, 2020 02:27Katika miezi michache iliyopita ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela umekuwa ukiimarika katika nyanja tofauti.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela asisitiza kuimarishwa uhusiano wa kistratejia na Iran
Nov 26, 2020 04:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesisitiza kuwa serikali za sasa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela zimeandaa nyanja za kupanua na kuimarisha uhusiano wao na kwamba nchi yake ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Iran.
-
Maduro: Guaido naye amembwaga Trump
Nov 09, 2020 12:01Rais wa Venezuela amesema kuwa katika kipindi cha miaka miwili ilimpatia serikali ya Donald Trump mwanasiasa aliyejitangaza kuwa rais wa Venezuela kiasi cha dola milioni 800 lakini hatimaye mwanasiasa huyo, Juan Guaido, pia amemsalitia Trump.
-
Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani
Nov 07, 2020 10:14Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.
-
Zarif: Ziara yangu Venezuela imekuwa na mafanikio makubwa
Nov 06, 2020 06:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kuhusu ziara yake nchini Venezuela akiashiria jinsi ziara yake hiyo ilivyofanyika kwa ufanisi mkubwa.