Pars Today
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameyataja mafanikio makubwa ya vijana wasomi wa nchi hii kuwa ni uthibitisho wa kuweko uwezo mkubwa wa kuendeleza diplomasia ya sayansi na ushirikiano katika uwanja wa teknolojia na nchi rafiki.
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.
Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana wa Kiislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo vya ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.
Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya vijana wa Marekani wanamtazama Donald Trump kama rais ambaye si halali, mpuuzi na asiyekuwa na haiba ya uongozi.
Polisi nchini Australia inachunguza madai ya liwati dhidi ya Mkuu wa Hazina ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani Vatican, Kadinali George Pell.
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.