Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vijana

  • Kwa nini kizazi kipya cha Wamarekani hakiipendi tena Israel?

    Kwa nini kizazi kipya cha Wamarekani hakiipendi tena Israel?

    Jul 31, 2025 05:39

    Kwa miongo kadhaa, kuiunga mkono Israel nchini Marekani haukuwa tu msimamo wa kisiasa bali pia sehemu ya utambulisho wa taifa kwa raia wengi. Katika duru za kisiasa, vyombo vya habari, na taasisi za elimu ya juu, uaminifu kwa Israel ulionekana kama thamani ya pamoja ya Wamarekani. Lakini hali hiyo sasa imebadilika, hasa miongoni mwa vijana wa kizazi kipya.

  • Amir-Abdollahian: Mafanikio ya vijana wasomi wa Iran yanaonesha uwezo mkubwa wa ushirikiano na nchi rafiki

    Amir-Abdollahian: Mafanikio ya vijana wasomi wa Iran yanaonesha uwezo mkubwa wa ushirikiano na nchi rafiki

    Jan 29, 2024 06:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameyataja mafanikio makubwa ya vijana wasomi wa nchi hii kuwa ni uthibitisho wa kuweko uwezo mkubwa wa kuendeleza diplomasia ya sayansi na ushirikiano katika uwanja wa teknolojia na nchi rafiki.

  • Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Kiongozi Muadhamu asifu nafasi ya vijana katika masuala muhimu ya nchi

    Feb 20, 2021 13:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Uchunguzi: Vijana wa Kiislamu nchini Uingereza wanabaguliwa katika kila sekta

    Uchunguzi: Vijana wa Kiislamu nchini Uingereza wanabaguliwa katika kila sekta

    Sep 07, 2017 14:25

    Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana wa Kiislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa wahanga wakubwa wa vitendo vya ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.

  • Utafiti: Vijana wengi Marekani wanasema Trump si rais halali

    Utafiti: Vijana wengi Marekani wanasema Trump si rais halali

    Mar 19, 2017 07:18

    Utafiti unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya vijana wa Marekani wanamtazama Donald Trump kama rais ambaye si halali, mpuuzi na asiyekuwa na haiba ya uongozi.

  • Msaidizi wa Papa Francis atuhumiwa kuwalawiti watoto

    Msaidizi wa Papa Francis atuhumiwa kuwalawiti watoto

    Jul 29, 2016 04:17

    Polisi nchini Australia inachunguza madai ya liwati dhidi ya Mkuu wa Hazina ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani Vatican, Kadinali George Pell.

  • Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani

    Ayatullah Khamenei: Iran haina haja ya kuwa na uhusiano na Marekani

    Jul 03, 2016 07:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.

  • Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Jun 17, 2016 04:44

    Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS