-
Taasisi ya Rand Corporation: Marekani itashindwa katika vita baina yake na Russia na China
Dec 10, 2017 11:12Utafiti mpya uliofanywa na taasisi ya Rand Corporation unaonyesha kuwa iwapo kutatokea vita na mapigano ya kijeshi Marekani ndiyo itakayopata hasara kubwa mkabala na Russia na China.
-
Mamilioni Yemen yamkini wakafariki kutokana na mzingiro uliowekwa na Saudia
Nov 20, 2017 10:55Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Dunaini, WFP, limeonya kuwa mamilioni ya watu wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya mauti kufuatia mzingiro uliowekwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na hivyo kuzuia misaada kuwafikia wanaohitajia.
-
Korea Kaskazini: Vita ya nyuklia vinaweza kutokea wakati wowote ule
Oct 19, 2017 00:33Mwakilishi wa kamisheni kuu ya Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ni suala linalowezekana sana kutokea kwa vita vya nyuklia katika Rasi ya Korea, kutokana na kuendelea maneva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini katika eneo hilo.
-
Marekani, Israel na Saudia zinapanga njama ya kuizingira Hizbullah
Oct 09, 2017 23:38Gazeti moja la nchini Lebanon la al-Akhbar limeandika kuwa, hivi sasa Marekani, Saudia na Israel zinapanga njama kwa ajili ya kuidhibiti harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ili kuizuia isiweze kutumia uwezo wake katika vita vijavyo vya kuainisha hatima.
-
Mamilioni ya wapiganaji wa kujitolea Korea Kaskazini wajiweka tayari kupambana na Marekani
Aug 12, 2017 23:18Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba karibu watu milioni 3.5 wa kujitolea wametangaza utayarifu wao kwa ajili ya kupambana na Marekani vitani.
-
Kuongezeka umasikini Israel, matokeo ya siasa za kupenda vita za baraza la mawaziri la Netanyahu
Jun 01, 2017 03:38Katika hali ambayo vituo vya utafiti vimeelezea kuwepo ongezeko la umasikini huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, bado linaendelea na siasa zake za kupenda vita.
-
The Guardian: Hakuna anayeweza kudhibiti tabia za kimabavu za Trump
Apr 14, 2017 22:00Gazeti la The Guradian linalochapishwa Uingereza limekosoa shambulio la kombora la Marekani dhidi ya Syria na udondoshaji wake wa bomu la 'mama wa mabomu yote' nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa "hakuna mtu awezaye kumdhibiti Rais Donald Trump wa Marekani."
-
Wamarekani waandamana kupinga mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Syria
Apr 08, 2017 11:21Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga sera za kupenda vita na ubabe za serikali ya Rais mpya wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Kwa mara ya kwanza, ICC kuwalipa fidia wahanga wa jinai za kivita Kongo
Mar 24, 2017 12:01Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ( ICC) leo Ijumaa imeamuru kuwa kila mmoja kati ya wahanga 297 wa Germain Katanga, mbabe wa zamani wa kivita wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alipwe fidia ya dola 250 kutokana na mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa kijijini kwao mwaka 2003.
-
Mapambano ya wasimamia amani wa UN na wanamgambo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 28, 2017 10:16Mapigano na mashambulio ya makundi ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yangali yanaendelea kushuhudiwa.