-
Theresa May: Siasa za Uingereza, US za kuingilia masuala ya nchi nyingine zimefeli
Jan 27, 2017 04:42Waziri Mkuu wa Uingereza amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya nchi zinazojitawala na ametoa wito wa kukomeshwa suala hilo.
-
Wamagharibi: Uwezekano wa kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia ni mkubwa
Jan 07, 2017 23:42Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa kwenye nchi za Magharibi unaonesha kuwa, watu wengi wa nchi hizo wanaamini kwamba Vita vya Tatu vya Dunia vimekaribia na kwamba mapigano makali ya pande zote yanaijongelea dunia hivi sasa.
-
"Yumkini Marekani na Russia zikaingia vitani ndani ya siku 20 zijazo"
Jan 01, 2017 04:30Marekani ipo katika ncha ya kungia kwenye vita na Russia katika kipindi cha siku 20 zijazo.
-
Kuundwa kamati ya mazungumzo ya kitaifa; hatua moja mbele ya kurejesha amani na utulivu Sudan Kusini
Dec 24, 2016 00:16Kuendelea mgogoro nchini Sudan Kusini, kuongezeka machafuko na wahanga wa machafuko hayo kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine, kufanyika juhudi kieneo na kimataifa za kukomesha mauaji nchini humo, vimemfanya Rais Salva Kiir achukue hatua ya kuunda "Kamati ya Mazungumzo ya Kitaifa" kwa lengo la kuhitimisha mgogoro huo.
-
Iran kuwatibu waliojeruhiwa katika hujuma ya kinyama ya Saudia nchini Yemen
Oct 11, 2016 23:58Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema iko tayari kuwapokea na kuwatibu waliojeruhiwa hivi karibuni katika hujuma ya kikatili ya ndege za kivita za Saudia dhidi ya watu waliokuwa wamekusanyika katika mazishi nchini Yemen.
-
Watoto ni waathirika wa hujuma ya Saudia na waitifaki wake nchini Yemen
Oct 06, 2016 04:06Hujuma za ndege za kivita za Saudi Arabia na waitifake wake Yemen, mbali na kuwaua maelfu ya raia wa nchi hiyo na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola kwa miundo mbinu ya nchi hiyo, pia zimesababisha zaidi ya watoto milioni mbili Wayemen kukosa masomo.
-
UN yalaani hujuma za Saudia dhidi ya makazi ya raia magharibi mwa Yemen
Sep 23, 2016 10:46Umoja wa Mataifa umelaani hujuma ya ndege za Saudi dhidi ya makazi ya raia magharibi mwa Yemen na katika mkoa wa pwani wa Hudaydah ambapo idadi kubwa ya raia wameuawa.
-
Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen
Sep 15, 2016 03:08Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko
Sep 09, 2016 08:49Umoja wa Mataifa umesema kuwa, jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.
-
UNICEF: Watoto milioni 50 wamekimbia makwao duniani
Sep 07, 2016 09:02Karibu watoto milioni 50 duniani wamekimbia makazi yao, zaidi ya nusu ya idadi hiyo ikiwa ni kutokana na mizozo na mapigano kwenye nchi zao.