-
Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani
Jun 20, 2016 00:54Wabunge nchini Italia wamepinga hatua ya Umoja wa Mataifa kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya nchi zinazoongoza katika ukatili na mauaji ya watoto duniani.
-
Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen
Jun 18, 2016 08:40Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.
-
Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani
Jun 04, 2016 00:08Kamanda mwandamizi wa kijeshi Iran amesema, Tehran iko tayari kwa vita vigumu na Marekani.
-
Ansarullah yafichua mpango wa Saudia wa kuanzisha mashambulio makubwa ndani ya Yemen
May 03, 2016 12:00Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umejiandaa kufanya mashambulio makubwa katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran
Apr 24, 2016 10:27Leo kumefanyika maadhimisho ya kukumbuka kushindwa vibaya jeshi la Marekani katika jangwa la Tabas, mashariki mwa Iran.
-
Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi
Apr 12, 2016 11:38Watu watano wamepigwa risasi na kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu usiku kufuatia hujuma iliyofanyika katika soko moja mashariki mwa Burundi.
-
Marekani, nchi ambayo daima iko vitani
Apr 11, 2016 23:33Sera za kijeshi na za kupenda vita za Marekani zinakosolewa kote duniani na hivi sasa hata wakuu wa nchi hiyo wameanza kukosoa sera hizo.
-
Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya
Apr 11, 2016 08:09Rais Barack Obama wa Marekani amesema: "Kosa baya zaidi katika urais wangu ni kukosa mpango wowote kwa ajili ya zama za baada ya kumuangusha Muammar Gaddafi nchini Libya."
-
Matukio ya kisiasa na kiusalama ya Yemen
Mar 22, 2016 23:14Muhammad Abdus Salam, msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wamefikia maafikiano na Saudia kuhusu kuanza hatua za kujenga hali kuaminiana kwa shabaha ya kukomesha kikamilifu vita na mapigano nchini Yemen.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel
Mar 21, 2016 23:07Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.