Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani

    Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani

    Jun 20, 2016 00:54

    Wabunge nchini Italia wamepinga hatua ya Umoja wa Mataifa kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya nchi zinazoongoza katika ukatili na mauaji ya watoto duniani.

  • Ndege za kivita za Saudia  zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Jun 18, 2016 08:40

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.

  • Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani

    Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani

    Jun 04, 2016 00:08

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi Iran amesema, Tehran iko tayari kwa vita vigumu na Marekani.

  • Ansarullah yafichua mpango wa Saudia wa kuanzisha mashambulio makubwa ndani ya Yemen

    Ansarullah yafichua mpango wa Saudia wa kuanzisha mashambulio makubwa ndani ya Yemen

    May 03, 2016 12:00

    Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesema muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umejiandaa kufanya mashambulio makubwa katika maeneo mbalimbali ya Yemen.

  • Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran

    Maadhimisho ya kufeli Marekani jangwani Tabas, Iran

    Apr 24, 2016 10:27

    Leo kumefanyika maadhimisho ya kukumbuka kushindwa vibaya jeshi la Marekani katika jangwa la Tabas, mashariki mwa Iran.

  • Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi

    Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi

    Apr 12, 2016 11:38

    Watu watano wamepigwa risasi na kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu usiku kufuatia hujuma iliyofanyika katika soko moja mashariki mwa Burundi.

  • Marekani, nchi ambayo daima iko vitani

    Marekani, nchi ambayo daima iko vitani

    Apr 11, 2016 23:33

    Sera za kijeshi na za kupenda vita za Marekani zinakosolewa kote duniani na hivi sasa hata wakuu wa nchi hiyo wameanza kukosoa sera hizo.

  • Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Apr 11, 2016 08:09

    Rais Barack Obama wa Marekani amesema: "Kosa baya zaidi katika urais wangu ni kukosa mpango wowote kwa ajili ya zama za baada ya kumuangusha Muammar Gaddafi nchini Libya."

  • Matukio ya kisiasa na kiusalama ya Yemen

    Matukio ya kisiasa na kiusalama ya Yemen

    Mar 22, 2016 23:14

    Muhammad Abdus Salam, msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wamefikia maafikiano na Saudia kuhusu kuanza hatua za kujenga hali kuaminiana kwa shabaha ya kukomesha kikamilifu vita na mapigano nchini Yemen.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Mar 21, 2016 23:07

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS