-
Kuongezeka vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya na vigezo vya undumakuwili kuhusu uhuru wa kujieleza
Apr 18, 2022 11:13Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya mabavu dhidi ya Waislamu vimeongezeka katika miaka ya karibuni katika nchi za Ulaya. Kujitokeza na kuongezeka kwa harakati, vyama na watu wenye misimamo mikali wa mrengo wa kulia kumekuwa na nafasi kuu katika uwanja huo.
-
Iran yalaani wito wa kuchomwa moto Qur'ani nchini Sweden
Apr 18, 2022 02:27Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Sweden amesema: "Kuchoma moto Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni mfano wa wazi wa sera za chuki na hujuma ya kibaguzi dhidi ya Uislamu."
-
Le Pen awaahidi wapiga kura kupiga marufuku hijabu na kuchinja wanyama Kiislamu Ufaransa
Apr 14, 2022 02:24Mgombea urais wa Ufaransa kwa tikiti ya chama chenye siasa kali cha mrengo wa kuli, Marine Le Pen, amesema iwapo atashinda kiti cha urais, atapiga marufuku kuchinja wanyama kwa njia ya Kiislamu ya Kiyahudi, na vilevile vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.
-
Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu
Feb 17, 2022 08:04Mgombea uraisi wa Ufaransa wa chama cha kitaifa cha Rassemblement chenye siasa kali za mrengo wa kulia kwa mara nyingine ameeleza upinzani wake dhidi ya vazi la hijabu la wanawake wa Kiislamu.
-
Kushadidi chuki dhidi ya Uislamu na kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika ulimwengu wa Magharibi
Sep 15, 2021 02:32Kuenea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika ulimwengu wa Magharibi hivi sasa limegeuka na kuwa tatizo kubwa na la kijamii, tatizo ambalo limeibua na kushadidisha vitendo vya utumiaji mabavu katika jamii ya Magharibi.
-
Bunge la Ufaransa lapitisha muswada wa chuki dhidi ya Uislamu
Jul 26, 2021 02:37Bunge la Ufaransa Ijumaa lilipitisha muswada wenye chuki na ulio dhidi ya Uislamu uliopewa jina la eti 'mapambano dhidi ya wanaotaka kujitenga' licha ya kuwepo upinzani wa vyama kadhaa vya mrengo wa kushoto dhidi ya muswada huo.
-
Mauaji ya familia ya Kiislamu nchini Canada, nembo ya Islamophobia katika nchi za Magharibi
Jun 09, 2021 11:30Kufuatia mauaji ya kikatili ya familia moja ya Kiislamu kwenye mji wa London katika jimbo la Ontario nchini Canada, Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Justin Trudeau amesema anahidi kuwa, atachukua hatua zaidi za kukabiliana na makundi yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia.
-
Kupasishwa marufuku ya hijabu kwa wafanyakazi wa serikali katika Bunge la Ujerumani
May 12, 2021 00:44Baraza la Juu la Bunge la Ujerumani (Bundesrat) limepasisha sheria inayowapiga marufuku wafanyakazi wa serikali na polisi kuvaa vazi la hijabu.
-
Wasiwasi kuhusu vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Uswisi
Mar 11, 2021 00:48Kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi na hasa barani Ulaya katika miaka ya karibuni kumeibua matukio na radiamali tofauti.
-
Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu
Feb 17, 2021 08:04Bunge la Ufaransa jana Jumanne lilipitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.