-
Maandamano ya Paris Ufaransa ya kupinga ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu
Feb 15, 2021 12:26Mwenedo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya hususan nchini Ufaransa ungali unaendelea ambapo Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na mashinikizo makubwa.
-
Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu
Feb 15, 2021 07:52Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga sheria kali za kuwakandamiza Waislamu nchini humo yanaendelea hasa dhidi ya mpango mpya wa nchi hiyo ya kuwabana zaidi ya Waislamu.
-
Mashambulio yatokanayo na chuki dhidi ya Uislamu yamekithiri nchini Ujerumani
Feb 09, 2021 05:58Takwimu rasmi zilizotolewa nchini Ujerumani zinaonyesha kuwa, katika mwaka uliopita wa 2020 nchi hiyo ilishuhudia ongezeko kubwa la hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu na taasisi za Kiislamu.
-
Kuendelea vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Sweden
Nov 17, 2020 12:24Mwendesha Mashtaka wa Sweden amesema kuwa kuchomwa moto kitabu kitakatifu cha Qur'ani si hatia na hivyo kusimamisha uchunguzi uliokuwa ukiendelea juu ya kuvunjiwa heshima kitabu hicho kitakatifu cha Waislamu.
-
Kukosolewa vikali madai ya kuwepo uhuru wa kujieleza nchini Ufaransa
Nov 16, 2020 02:33Mwenendo wa chuki na kukejeliwa itikadi za Waislamu nchini Ufaransa umeshika kasi katika miaka ya karibuni, na katika uwanja huo kuchapishwa tena na jarida la Charlie Hebdo, vikatuni vinamvyodhalilisha Mtume Mtukufu wa Uislamu (saw) kumewakasirisha sana Waislamu.
-
Amnesty: Kwa undumakuwili ilionao, Ufaransa haiwezi kudai inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni
Nov 15, 2020 04:02Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limekosoa mtazamo wa kiundumakuwili wa serikali ya Ufaransa na kusisitiza kuwa, serikali hiyo haiwezi kudai kwamba inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni.
-
Watu kadhaa watiwa mbaroni Ujerumani kwa kupanga njama za kuwashambulia Waislamu
Nov 14, 2020 12:11Maafisa wa mahakama nchini Ujerumani wametangaza kuwa, watu kadhaa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kupanga mashambulio dhidi ya Waislamu na misikiti katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Juhudi za Ufaransa za kujaribu kupunguza hasira ya Waislamu duniani
Nov 10, 2020 02:39Uadui wa viongozi wa Ufaransa dhidi ya Uislamu, umeamsha hasira ya Waislamu katika pembe zote za dunia kadiri kwamba nchi nyingi za Kiislamu zimelaani msimamo huo wa Wafaransa, bali zimeanzisha harakati za kususia bidhaa zinazotengenezwa Ufaransa ili kuonyesha kuchukizwa kwao na uadui huo wa viongozi wa Paris.
-
Putin akosoa dini kuvunjiwa heshima kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza
Nov 07, 2020 02:29Kuongezeka vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Mtukufu (saw) nchini Ufaransa na kuungwa mkono vitendo hivyo na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kutetea uhuru wa kusema na kujieleza, ni jambo ambalo limeamsha hasira kubwa ya ulimwengu wa Kiislamu.
-
Kuvunjiwa heshima Mtume SAW na Magharibi; kulivyoanzia, sababu zake na msimamo wa Ulimwengu wa Kiislamu
Oct 31, 2020 08:04Kitendo cha jarida moja la Ufaransa na rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron cha kumvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW kimekabiliwa na wimbi kubwa la hisia za uchungu katika Ulimwengu wa Kiislamu.