-
IOM: Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa soka Yemen
Apr 26, 2019 14:26Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa mpira wa miguu katika mji wa Aden kusini mwa Yemen ambao unadhibitiwa na vikosi vya Imarati (UAE) na Saudi Arabia.
-
Papa azikosoa nchi zinazojenga ukuta ili kuwafungia nje wahajiri
Apr 01, 2019 15:06Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewakosoa vikali viongozi wanaojenga ukuta katika mpaka wa nchi zao eti kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri.
-
Wahajiri haramu zaidi ya 100 watiwa mbaroni nchini Libya
Mar 30, 2019 02:19Kambi moja ya jeshi la Libya imetangaza kuwa wahajiri haramu zaidi ya 100 wametiwa mbaroni katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi hiyo.
-
Venezuala: Marekani inafanya njama chafu za kuwapatia silaha wahajiri wa nchi hiyo nje ya nchi
Mar 01, 2019 15:30Mwakilishi wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hivi sasa Marekani inawapa silaha wahajiri wa nchi hiyo ili waunde kundi la wanamgambo kwa lengo la kuishambulia Venezuela.
-
Maelfu ya watoto wahajiri wanaozuiliwa nchini Marekani wanabakwa
Feb 27, 2019 08:07Wizara ya Afya ya Marekani imepokea malalamiko zaidi ya 4,500 yanayohusu kudhalilishwa kingono watoto wahajiri wanaozuiliwa nchini humo.
-
Wahajiri 30 wafa maji baada ya boti kuzama pwani ya Djibouti
Jan 30, 2019 14:34Maiti 30 zimepatikana zikielea majini baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya Djibouti.
-
Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya
Jan 20, 2019 07:52Wahajiri zaidi ya 100 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Libya.
-
Wahajiri waendelea kuwa wahanga wa sera za kuwapiga vita wahamiaji za Trump
Jan 19, 2019 06:39Sera za kupiga vita wahajiri za Rais Donald Trump wa Marekani zimeendelea kutesa na kuwatia mashakani mamia ya watu baada ya polisi wa mpakani wa jimbo la New Mexico huko kusini magharibi mwa Marekani kuwatia nguvuni zaidi ya wahajiri 340 katika kituo cha mpakani cha Antelope Wells.
-
UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua
Jan 03, 2019 15:12Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema wahajiri wapatao 2,262 walifariki dunia katika Bahari ya Mediterania mwaka uliomalizika wa 2018, na kwamba idadi ya wahajiri wanaokufa maji katika safari hizo hatarishi imepungua kwa zaidi ya asilimia 25.
-
AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri
Dec 19, 2018 02:51Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amezikosoa vikali nchi kadhaa za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri.