Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • IOM: Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa soka Yemen

    IOM: Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa soka Yemen

    Apr 26, 2019 14:26

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, maelfu ya wahajiri wa Kiafrika wanazuiliwa katika uwanja wa mpira wa miguu katika mji wa Aden kusini mwa Yemen ambao unadhibitiwa na vikosi vya Imarati (UAE) na Saudi Arabia.

  • Papa azikosoa nchi zinazojenga ukuta ili kuwafungia nje wahajiri

    Papa azikosoa nchi zinazojenga ukuta ili kuwafungia nje wahajiri

    Apr 01, 2019 15:06

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewakosoa vikali viongozi wanaojenga ukuta katika mpaka wa nchi zao eti kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri.

  • Wahajiri haramu zaidi ya 100 watiwa mbaroni nchini Libya

    Wahajiri haramu zaidi ya 100 watiwa mbaroni nchini Libya

    Mar 30, 2019 02:19

    Kambi moja ya jeshi la Libya imetangaza kuwa wahajiri haramu zaidi ya 100 wametiwa mbaroni katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi hiyo.

  • Venezuala: Marekani inafanya njama chafu za kuwapatia silaha wahajiri wa nchi hiyo nje ya nchi

    Venezuala: Marekani inafanya njama chafu za kuwapatia silaha wahajiri wa nchi hiyo nje ya nchi

    Mar 01, 2019 15:30

    Mwakilishi wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hivi sasa Marekani inawapa silaha wahajiri wa nchi hiyo ili waunde kundi la wanamgambo kwa lengo la kuishambulia Venezuela.

  • Maelfu ya watoto wahajiri wanaozuiliwa nchini Marekani wanabakwa

    Maelfu ya watoto wahajiri wanaozuiliwa nchini Marekani wanabakwa

    Feb 27, 2019 08:07

    Wizara ya Afya ya Marekani imepokea malalamiko zaidi ya 4,500 yanayohusu kudhalilishwa kingono watoto wahajiri wanaozuiliwa nchini humo.

  • Wahajiri 30 wafa maji baada ya boti kuzama pwani ya Djibouti

    Wahajiri 30 wafa maji baada ya boti kuzama pwani ya Djibouti

    Jan 30, 2019 14:34

    Maiti 30 zimepatikana zikielea majini baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya Djibouti.

  • Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Jan 20, 2019 07:52

    Wahajiri zaidi ya 100 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Libya.

  • Wahajiri waendelea kuwa wahanga wa sera za kuwapiga vita wahamiaji za Trump

    Wahajiri waendelea kuwa wahanga wa sera za kuwapiga vita wahamiaji za Trump

    Jan 19, 2019 06:39

    Sera za kupiga vita wahajiri za Rais Donald Trump wa Marekani zimeendelea kutesa na kuwatia mashakani mamia ya watu baada ya polisi wa mpakani wa jimbo la New Mexico huko kusini magharibi mwa Marekani kuwatia nguvuni zaidi ya wahajiri 340 katika kituo cha mpakani cha Antelope Wells.

  • UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    Jan 03, 2019 15:12

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema wahajiri wapatao 2,262 walifariki dunia katika Bahari ya Mediterania mwaka uliomalizika wa 2018, na kwamba idadi ya wahajiri wanaokufa maji katika safari hizo hatarishi imepungua kwa zaidi ya asilimia 25.

  • AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    Dec 19, 2018 02:51

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amezikosoa vikali nchi kadhaa za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS