-
UN yataka kuzidishwa misaada kwa wahajiri
Dec 08, 2018 08:16Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa imeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hatua ya kusitishwa operesheni ya uokoaji ya meli ya Aquarius na kutoa wito wa kuzidishwa misaada ya kuokoa wahajiri katika Bahari ya Mediterania.
-
Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao
Dec 06, 2018 14:50Shirika la habari la Associated Press limevujisha data za serikali ya Washington zinazoonesha kuwa, Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico ndani ya miezi michache iliyopita.
-
Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya
Dec 04, 2018 14:40Maiti 15 za wahajiri zimepatikana zikiwa ndani ya boti katika pwani ya Libya, katika bahari ya Mediterania.
-
Miili ya wahajiri 15 yapatikana ndani ya boti katika bahari ya Mediterania
Nov 25, 2018 08:15Maiti za wahajiri 15 wa Kiafrika zimepatikana na jeshi la majini la Morocco, zikiwa ndani ya boti iliyokuwa ikielea katika bahari ya Mediterania.
-
Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC
Nov 24, 2018 02:46Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.
-
Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya
Nov 15, 2018 03:33Makumi ya wahajiri wamejifungia kwenye shehena iliyoko ndani ya meli moja katika mji bandari wa Misrata kwa muda wa siku tano sasa baada ya kuokolewa, wakisisitiza kuwa Libya ni nchi hatari sana kwao.
-
Zaidi ya watu 2000 wamepoteza maisha 2018 wakijaribu kuvuka Mediterania
Nov 07, 2018 16:48Idadi ya watu waliopoteza maisha wakivuka bahari ya Mediteranea mwaka huu wakitafuta hifadhi Ulaya imepindukia 2000 baaada ya maiti 17 kupatikana kwenye ufukwe wa Hispania wiki hii.
-
Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico
Nov 02, 2018 07:24Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo watakaotumwa katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico huenda wakalazimika kuwapiga risasi wahajiri wanaotoka katika nchi za Amerika ya Kati na wanaotaka kuingia Marekani kupitia mpaka huo.
-
Makumi ya wajahiri wahofiwa kufa maji pwani ya Uturuki
Oct 10, 2018 14:19Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Uturuki ya Aegean.
-
Wahajiri 34 waaga dunia katika bahari ya Mediterania
Oct 03, 2018 07:21Wahajiri wasiopungua 34 wameaga dunia baada ya boti yao kupata hitilafu magharibi mwa bahari ya Mediterania, huku wengine 26 wakinusurika kifo. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Wahajiri la Umoja wa Mataifa.