Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri 30 wafa maji baada ya boti kuzama pwani ya Djibouti

    Wahajiri 30 wafa maji baada ya boti kuzama pwani ya Djibouti

    Jan 30, 2019 11:04

    Maiti 30 zimepatikana zikielea majini baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya Djibouti.

  • Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 117 wahofiwa kufa maji katika pwani ya Libya

    Jan 20, 2019 04:22

    Wahajiri zaidi ya 100 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Libya.

  • Wahajiri waendelea kuwa wahanga wa sera za kuwapiga vita wahamiaji za Trump

    Wahajiri waendelea kuwa wahanga wa sera za kuwapiga vita wahamiaji za Trump

    Jan 19, 2019 03:09

    Sera za kupiga vita wahajiri za Rais Donald Trump wa Marekani zimeendelea kutesa na kuwatia mashakani mamia ya watu baada ya polisi wa mpakani wa jimbo la New Mexico huko kusini magharibi mwa Marekani kuwatia nguvuni zaidi ya wahajiri 340 katika kituo cha mpakani cha Antelope Wells.

  • UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    Jan 03, 2019 11:42

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema wahajiri wapatao 2,262 walifariki dunia katika Bahari ya Mediterania mwaka uliomalizika wa 2018, na kwamba idadi ya wahajiri wanaokufa maji katika safari hizo hatarishi imepungua kwa zaidi ya asilimia 25.

  • AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    Dec 18, 2018 23:21

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amezikosoa vikali nchi kadhaa za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri.

  • UN yataka kuzidishwa misaada kwa wahajiri

    UN yataka kuzidishwa misaada kwa wahajiri

    Dec 08, 2018 04:46

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa imeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hatua ya kusitishwa operesheni ya uokoaji ya meli ya Aquarius na kutoa wito wa kuzidishwa misaada ya kuokoa wahajiri katika Bahari ya Mediterania.

  • Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Dec 06, 2018 11:20

    Shirika la habari la Associated Press limevujisha data za serikali ya Washington zinazoonesha kuwa, Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico ndani ya miezi michache iliyopita.

  • Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Dec 04, 2018 11:10

    Maiti 15 za wahajiri zimepatikana zikiwa ndani ya boti katika pwani ya Libya, katika bahari ya Mediterania.

  • Miili ya wahajiri 15 yapatikana ndani ya boti katika bahari ya Mediterania

    Miili ya wahajiri 15 yapatikana ndani ya boti katika bahari ya Mediterania

    Nov 25, 2018 04:45

    Maiti za wahajiri 15 wa Kiafrika zimepatikana na jeshi la majini la Morocco, zikiwa ndani ya boti iliyokuwa ikielea katika bahari ya Mediterania.

  • Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nov 23, 2018 23:16

    Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS