Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • UN yataka kuzidishwa misaada kwa wahajiri

    UN yataka kuzidishwa misaada kwa wahajiri

    Dec 08, 2018 08:16

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa imeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hatua ya kusitishwa operesheni ya uokoaji ya meli ya Aquarius na kutoa wito wa kuzidishwa misaada ya kuokoa wahajiri katika Bahari ya Mediterania.

  • Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Dec 06, 2018 14:50

    Shirika la habari la Associated Press limevujisha data za serikali ya Washington zinazoonesha kuwa, Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico ndani ya miezi michache iliyopita.

  • Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Kiu na njaa yaua wahajiri 15 ndani ya boti, pwani ya Libya

    Dec 04, 2018 14:40

    Maiti 15 za wahajiri zimepatikana zikiwa ndani ya boti katika pwani ya Libya, katika bahari ya Mediterania.

  • Miili ya wahajiri 15 yapatikana ndani ya boti katika bahari ya Mediterania

    Miili ya wahajiri 15 yapatikana ndani ya boti katika bahari ya Mediterania

    Nov 25, 2018 08:15

    Maiti za wahajiri 15 wa Kiafrika zimepatikana na jeshi la majini la Morocco, zikiwa ndani ya boti iliyokuwa ikielea katika bahari ya Mediterania.

  • Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC

    Nov 24, 2018 02:46

    Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.

  • Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Nov 15, 2018 03:33

    Makumi ya wahajiri wamejifungia kwenye shehena iliyoko ndani ya meli moja katika mji bandari wa Misrata kwa muda wa siku tano sasa baada ya kuokolewa, wakisisitiza kuwa Libya ni nchi hatari sana kwao.

  • Zaidi ya watu 2000 wamepoteza maisha 2018 wakijaribu kuvuka Mediterania

    Zaidi ya watu 2000 wamepoteza maisha 2018 wakijaribu kuvuka Mediterania

    Nov 07, 2018 16:48

    Idadi ya watu waliopoteza maisha wakivuka bahari ya Mediteranea mwaka huu wakitafuta hifadhi Ulaya imepindukia 2000 baaada ya maiti 17 kupatikana kwenye ufukwe wa Hispania wiki hii.

  • Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Nov 02, 2018 07:24

    Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo watakaotumwa katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico huenda wakalazimika kuwapiga risasi wahajiri wanaotoka katika nchi za Amerika ya Kati na wanaotaka kuingia Marekani kupitia mpaka huo.

  • Makumi ya wajahiri wahofiwa kufa maji pwani ya Uturuki

    Makumi ya wajahiri wahofiwa kufa maji pwani ya Uturuki

    Oct 10, 2018 14:19

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Uturuki ya Aegean.

  • Wahajiri 34 waaga dunia  katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri 34 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Oct 03, 2018 07:21

    Wahajiri wasiopungua 34 wameaga dunia baada ya boti yao kupata hitilafu magharibi mwa bahari ya Mediterania, huku wengine 26 wakinusurika kifo. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Wahajiri la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS