-
Wahajiri 466 waokolewa katika Bahari ya Mediterrania
Oct 01, 2018 02:38Idara ya Mabaharia wa Uhispania imetangaza kuwa, wahajiri 466 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani Ulaya wameokolewa wakiwa ndani ya boti kumi hafifu katika maji ya Uhispania.
-
Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania
Sep 24, 2018 08:08Jumuiya ya Misaada ya Uokoaji wa Baharini ya Hispania imetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 440 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani ulaya wameokolewa majini.
-
Morocco yazuia maelfu ya wahajiri haramu kutumia ardhi ya nchi hiyo
Sep 08, 2018 01:23Viongozi wa Morocco wametangaza kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi hivi sasa, serikali ya nchi hiyo imefanikiwa kuzuia wahajiri haramu 54 elfu kutumia ardhi ya nchi hiyo kuelekea barani Ulaya.
-
Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)
Aug 26, 2018 07:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ametangaza kuwa nchi hiyo imekata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya kufuatia kuendelea mivutano kati ya umoja huo na Italia kuhusu suala la wahajiri waliokwama katika meli ya gadi ya pwani ya Italia kwa jina la Diciotti (Dichuti).
-
Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya
Aug 25, 2018 13:50Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kutekeleza majukumu yao kuhusiana na wahajiri 150 wanaotangatanga katika meli ya Gadi ya Pwani ya Italia.
-
Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini
Aug 22, 2018 14:25Serikali ya Italia imetaka kutatuliwa suala la mamia ya wahajiri haramu waliokwama melini katika kisiwa cha Sicilian mjini Catania na kusema kuwa, viongozi wa nchi za Ulaya wanapaswa kuutatua haraka mgogoro huo.
-
Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya
Aug 21, 2018 07:40Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.
-
Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia
Aug 19, 2018 15:18Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kupoteza maisha wahajiri wanne baada ya boti yao kuungua moto katika fukwe za Sfax, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waziri wa Sheria Marekani aamuru kutimuliwa haraka wahajiri
Aug 18, 2018 04:15Waziri wa Sheria wa Marekani ameendeleza siasa za serikali ya nchi hiyo ya kupiga vita wahajiri kwa kutoa amri ya kufukuzwa haraka wahajiri haramu nchini humo.
-
Wahajiri 8 wakiwemo watoto 6 waaga dunia kwenye kontena Libya
Jul 17, 2018 07:06Wahajiri wanane wakiwemo watoto sita wamepoteza maisha baada ya kuishiwa na hewa wakiwa ndani ya kasha la kusafirishia mizigo katika mji wa Zuwara ulioko katika pwani ya magharibi mwa Libya.