Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Nov 15, 2018 00:03

    Makumi ya wahajiri wamejifungia kwenye shehena iliyoko ndani ya meli moja katika mji bandari wa Misrata kwa muda wa siku tano sasa baada ya kuokolewa, wakisisitiza kuwa Libya ni nchi hatari sana kwao.

  • Zaidi ya watu 2000 wamepoteza maisha 2018 wakijaribu kuvuka Mediterania

    Zaidi ya watu 2000 wamepoteza maisha 2018 wakijaribu kuvuka Mediterania

    Nov 07, 2018 13:18

    Idadi ya watu waliopoteza maisha wakivuka bahari ya Mediteranea mwaka huu wakitafuta hifadhi Ulaya imepindukia 2000 baaada ya maiti 17 kupatikana kwenye ufukwe wa Hispania wiki hii.

  • Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Nov 02, 2018 03:54

    Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo watakaotumwa katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico huenda wakalazimika kuwapiga risasi wahajiri wanaotoka katika nchi za Amerika ya Kati na wanaotaka kuingia Marekani kupitia mpaka huo.

  • Makumi ya wajahiri wahofiwa kufa maji pwani ya Uturuki

    Makumi ya wajahiri wahofiwa kufa maji pwani ya Uturuki

    Oct 10, 2018 10:49

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Uturuki ya Aegean.

  • Wahajiri 34 waaga dunia  katika bahari ya Mediterania

    Wahajiri 34 waaga dunia katika bahari ya Mediterania

    Oct 03, 2018 03:51

    Wahajiri wasiopungua 34 wameaga dunia baada ya boti yao kupata hitilafu magharibi mwa bahari ya Mediterania, huku wengine 26 wakinusurika kifo. Hayo ni kwa mujibu wa Shirika la Wahajiri la Umoja wa Mataifa.

  • Wahajiri 466 waokolewa katika Bahari ya Mediterrania

    Wahajiri 466 waokolewa katika Bahari ya Mediterrania

    Sep 30, 2018 23:08

    Idara ya Mabaharia wa Uhispania imetangaza kuwa, wahajiri 466 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani Ulaya wameokolewa wakiwa ndani ya boti kumi hafifu katika maji ya Uhispania.

  • Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania

    Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania

    Sep 24, 2018 04:38

    Jumuiya ya Misaada ya Uokoaji wa Baharini ya Hispania imetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 440 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani ulaya wameokolewa majini.

  • Morocco yazuia maelfu ya wahajiri haramu kutumia ardhi ya nchi hiyo

    Morocco yazuia maelfu ya wahajiri haramu kutumia ardhi ya nchi hiyo

    Sep 07, 2018 20:53

    Viongozi wa Morocco wametangaza kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi hivi sasa, serikali ya nchi hiyo imefanikiwa kuzuia wahajiri haramu 54 elfu kutumia ardhi ya nchi hiyo kuelekea barani Ulaya.

  • Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)

    Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)

    Aug 26, 2018 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ametangaza kuwa nchi hiyo imekata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya kufuatia kuendelea mivutano kati ya umoja huo na Italia kuhusu suala la wahajiri waliokwama katika meli ya gadi ya pwani ya Italia kwa jina la Diciotti (Dichuti).

  • Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya

    Umoja wa Mataifa wataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa wahajiri barani Ulaya

    Aug 25, 2018 09:20

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kutekeleza majukumu yao kuhusiana na wahajiri 150 wanaotangatanga katika meli ya Gadi ya Pwani ya Italia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS