Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini

    Italia yataka kutatuliwa haraka mgogoro wa wahajiri haramu waliokwama melini

    Aug 22, 2018 09:55

    Serikali ya Italia imetaka kutatuliwa suala la mamia ya wahajiri haramu waliokwama melini katika kisiwa cha Sicilian mjini Catania na kusema kuwa, viongozi wa nchi za Ulaya wanapaswa kuutatua haraka mgogoro huo.

  • Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Aug 21, 2018 03:10

    Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.

  • Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Wahajiri wanne wapoteza maisha baada ya boti kuwaka moto Tunisia

    Aug 19, 2018 10:48

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza habari ya kupoteza maisha wahajiri wanne baada ya boti yao kuungua moto katika fukwe za Sfax, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waziri wa Sheria Marekani aamuru kutimuliwa haraka wahajiri

    Waziri wa Sheria Marekani aamuru kutimuliwa haraka wahajiri

    Aug 17, 2018 23:45

    Waziri wa Sheria wa Marekani ameendeleza siasa za serikali ya nchi hiyo ya kupiga vita wahajiri kwa kutoa amri ya kufukuzwa haraka wahajiri haramu nchini humo.

  • Wahajiri 8 wakiwemo watoto 6 waaga dunia kwenye kontena Libya

    Wahajiri 8 wakiwemo watoto 6 waaga dunia kwenye kontena Libya

    Jul 17, 2018 02:36

    Wahajiri wanane wakiwemo watoto sita wamepoteza maisha baada ya kuishiwa na hewa wakiwa ndani ya kasha la kusafirishia mizigo katika mji wa Zuwara ulioko katika pwani ya magharibi mwa Libya.

  • UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    Jul 06, 2018 22:57

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.

  • Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Jul 03, 2018 11:07

    Wahajiri 63 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya, wakiwa katika jitihada za kuvuka bahari ya Mediterranean na kuingia barani Ulaya kutafuta maisha.

  • Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu

    Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu

    Jul 01, 2018 09:15

    Waziri Mkuu wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake inapinga mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuanzisha kambi za wahajiri haramu nchini humo.

  • Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jun 30, 2018 03:11

    Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.

  • Kuhamishiwa wahajiri katika jela zenye ulinzi mkali huko Marekani

    Kuhamishiwa wahajiri katika jela zenye ulinzi mkali huko Marekani

    Jun 25, 2018 10:03

    Televisheni ya CNN imefichua kuwa wahajiri nchini Marekani wamehamishiwa katika jela zenye ulinzi mkali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS