Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu

    Jul 07, 2018 03:27

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.

  • Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Jul 03, 2018 15:37

    Wahajiri 63 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya, wakiwa katika jitihada za kuvuka bahari ya Mediterranean na kuingia barani Ulaya kutafuta maisha.

  • Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu

    Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu

    Jul 01, 2018 13:45

    Waziri Mkuu wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake inapinga mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuanzisha kambi za wahajiri haramu nchini humo.

  • Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jun 30, 2018 07:41

    Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.

  • Kuhamishiwa wahajiri katika jela zenye ulinzi mkali huko Marekani

    Kuhamishiwa wahajiri katika jela zenye ulinzi mkali huko Marekani

    Jun 25, 2018 14:33

    Televisheni ya CNN imefichua kuwa wahajiri nchini Marekani wamehamishiwa katika jela zenye ulinzi mkali.

  • Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Jun 24, 2018 07:39

    Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.

  • UNHCR: Wahajiri 220 waaga dunia katika pwani ya Libya

    UNHCR: Wahajiri 220 waaga dunia katika pwani ya Libya

    Jun 22, 2018 08:04

    Watu walionusurika kifo wameeleza kuwa wahajiri wenzao wasiopungua 220 wameaga dunia katika pwani ya Libya katika siku kadhaa za karibuni wakijaribu kuelekea Ulaya.

  • EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    Jun 22, 2018 04:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu Ulaya na Mediterania, (EuroMed Rights) limetahadharisha kuhusu ongezeko la ukatili na vitendo vya kutumia mabavu dhidi ya wahajiri katika nchi za Ulaya na limeutaka Umoja wa Ulaya (EU) kukabiliana na ubaguzi barani humo.

  • UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    Jun 18, 2018 15:24

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Marekani ikomeshe sera yake ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico.

  • Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Jun 18, 2018 12:11

    Kufichuliwa habari ya sera za kutenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico kumezusha wimbi kubwa la hasira na malalamiko makubwa ndani na nje ya Marekani dhidi ya siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS