-
UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu
Jul 07, 2018 03:27Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.
-
Wahajiri 63 wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya
Jul 03, 2018 15:37Wahajiri 63 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya, wakiwa katika jitihada za kuvuka bahari ya Mediterranean na kuingia barani Ulaya kutafuta maisha.
-
Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu
Jul 01, 2018 13:45Waziri Mkuu wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake inapinga mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuanzisha kambi za wahajiri haramu nchini humo.
-
Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya
Jun 30, 2018 07:41Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.
-
Kuhamishiwa wahajiri katika jela zenye ulinzi mkali huko Marekani
Jun 25, 2018 14:33Televisheni ya CNN imefichua kuwa wahajiri nchini Marekani wamehamishiwa katika jela zenye ulinzi mkali.
-
Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri
Jun 24, 2018 07:39Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.
-
UNHCR: Wahajiri 220 waaga dunia katika pwani ya Libya
Jun 22, 2018 08:04Watu walionusurika kifo wameeleza kuwa wahajiri wenzao wasiopungua 220 wameaga dunia katika pwani ya Libya katika siku kadhaa za karibuni wakijaribu kuelekea Ulaya.
-
EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya
Jun 22, 2018 04:52Shirika la kutetea haki za binadamu Ulaya na Mediterania, (EuroMed Rights) limetahadharisha kuhusu ongezeko la ukatili na vitendo vya kutumia mabavu dhidi ya wahajiri katika nchi za Ulaya na limeutaka Umoja wa Ulaya (EU) kukabiliana na ubaguzi barani humo.
-
UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao
Jun 18, 2018 15:24Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Marekani ikomeshe sera yake ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico.
-
Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu
Jun 18, 2018 12:11Kufichuliwa habari ya sera za kutenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico kumezusha wimbi kubwa la hasira na malalamiko makubwa ndani na nje ya Marekani dhidi ya siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.