Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Austria yataka kutumwa Afrika askari wa EU kuzuia wimbi la wahajiri

    Jun 24, 2018 03:09

    Waziri wa Ulinzi wa Austria, Mario Kunasek ametoa mwito wa kutumwa askari wa Gadi ya Mpakani ya Umoja wa Ulaya katika nchi za Afrika 'zinazoafiki pendekezo hilo' ili kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi hizo kueleke Ulaya.

  • UNHCR: Wahajiri 220 waaga dunia katika pwani ya Libya

    UNHCR: Wahajiri 220 waaga dunia katika pwani ya Libya

    Jun 22, 2018 03:34

    Watu walionusurika kifo wameeleza kuwa wahajiri wenzao wasiopungua 220 wameaga dunia katika pwani ya Libya katika siku kadhaa za karibuni wakijaribu kuelekea Ulaya.

  • EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    Jun 22, 2018 00:22

    Shirika la kutetea haki za binadamu Ulaya na Mediterania, (EuroMed Rights) limetahadharisha kuhusu ongezeko la ukatili na vitendo vya kutumia mabavu dhidi ya wahajiri katika nchi za Ulaya na limeutaka Umoja wa Ulaya (EU) kukabiliana na ubaguzi barani humo.

  • UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    Jun 18, 2018 10:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Marekani ikomeshe sera yake ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico.

  • Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Jun 18, 2018 07:41

    Kufichuliwa habari ya sera za kutenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico kumezusha wimbi kubwa la hasira na malalamiko makubwa ndani na nje ya Marekani dhidi ya siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Wahajiri Milioni 2.5 walisafrishwa kimagendo mwaka 2016

    Wahajiri Milioni 2.5 walisafrishwa kimagendo mwaka 2016

    Jun 17, 2018 03:12

    Wahajiri wasiopungua 2.5 walisafirishwa kimagendo mwaka 2016 ambapo wafanya magendo ya binadamu waliohusika walipata faida ya dola bilioni saba za Kimarekani.

  • UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    Jun 08, 2018 02:23

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwawekea vikwazo vigogo sita wanaotuhumiwa kuhusika na biashara haramu ya magendo ya binadamu nchini Libya.

  • Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Jun 03, 2018 10:28

    Wahajiri 35 haramu wamepoteza maisha baada boti yao kuzama baharini nchini Tunisia huku wengine 67 wakiokolewa katika oparesheni ya gadi ya pwani ya nchi hiyo.

  • Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti

    Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti

    Jun 01, 2018 23:40

    Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa kimataifa kuhusu faida za wahamiaji kwa nchi wanazotembelea na wanazotoka unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya Waafrika wanapenda kutembelea nchi za bara hilo kuliko kutoka nje ya Afrika.

  • UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    Jun 01, 2018 09:23

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 12 wameuawa kwa kupigwa risasi na wafanya magendo ya binadamu, walipokuwa wakijirabu kukimbia kambini nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS