Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri Milioni 2.5 walisafrishwa kimagendo mwaka 2016

    Wahajiri Milioni 2.5 walisafrishwa kimagendo mwaka 2016

    Jun 17, 2018 07:42

    Wahajiri wasiopungua 2.5 walisafirishwa kimagendo mwaka 2016 ambapo wafanya magendo ya binadamu waliohusika walipata faida ya dola bilioni saba za Kimarekani.

  • UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    Jun 08, 2018 06:53

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwawekea vikwazo vigogo sita wanaotuhumiwa kuhusika na biashara haramu ya magendo ya binadamu nchini Libya.

  • Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia

    Jun 03, 2018 14:58

    Wahajiri 35 haramu wamepoteza maisha baada boti yao kuzama baharini nchini Tunisia huku wengine 67 wakiokolewa katika oparesheni ya gadi ya pwani ya nchi hiyo.

  • Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti

    Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti

    Jun 02, 2018 04:10

    Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa kimataifa kuhusu faida za wahamiaji kwa nchi wanazotembelea na wanazotoka unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya Waafrika wanapenda kutembelea nchi za bara hilo kuliko kutoka nje ya Afrika.

  • UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    Jun 01, 2018 13:53

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 12 wameuawa kwa kupigwa risasi na wafanya magendo ya binadamu, walipokuwa wakijirabu kukimbia kambini nchini Libya.

  • Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    May 26, 2018 07:53

    Takriban wahajiri 1,500 wamenusuriwa wakiwa katika safari hatarishi katika bahari ya Mediterranean, kwenye operesheni zilizofanyika siku ya Alkhamisi na jana Ijumaa.

  • Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    May 20, 2018 07:29

    Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    May 09, 2018 02:58

    Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.

  • Ripoti: Miamala ya serikali ya Trump kwa wahajiri, ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu

    Ripoti: Miamala ya serikali ya Trump kwa wahajiri, ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu

    May 01, 2018 14:07

    Gazeti la Knoxville Daily la nchini Marekani limekosoa miamala ya serikali ya nchi hiyo kuwahusu wahajiri na kuweka wazi kwamba miamala hiyo ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu.

  • Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Apr 25, 2018 02:31

    Utafiti uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Pew umeonyesha kuwa, kuna mwanya mkubwa wa kiwango cha elimu kati ya wahajiri wa Kiafrika wanaoishi Marekani na raia wa asili wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS