-
UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao
Jun 18, 2018 10:54Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Marekani ikomeshe sera yake ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico.
-
Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu
Jun 18, 2018 07:41Kufichuliwa habari ya sera za kutenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico kumezusha wimbi kubwa la hasira na malalamiko makubwa ndani na nje ya Marekani dhidi ya siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Wahajiri Milioni 2.5 walisafrishwa kimagendo mwaka 2016
Jun 17, 2018 03:12Wahajiri wasiopungua 2.5 walisafirishwa kimagendo mwaka 2016 ambapo wafanya magendo ya binadamu waliohusika walipata faida ya dola bilioni saba za Kimarekani.
-
UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya
Jun 08, 2018 02:23Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwawekea vikwazo vigogo sita wanaotuhumiwa kuhusika na biashara haramu ya magendo ya binadamu nchini Libya.
-
Wahajiri haramu 35 wafariki baada ya boti yao kuzama baharini Tunisia
Jun 03, 2018 10:28Wahajiri 35 haramu wamepoteza maisha baada boti yao kuzama baharini nchini Tunisia huku wengine 67 wakiokolewa katika oparesheni ya gadi ya pwani ya nchi hiyo.
-
Waafrika wengi hutembelea zaidi bara hilo kuliko kutoka nje yake – Ripoti
Jun 01, 2018 23:40Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa kimataifa kuhusu faida za wahamiaji kwa nchi wanazotembelea na wanazotoka unaonesha kuwa, asilimia kubwa ya Waafrika wanapenda kutembelea nchi za bara hilo kuliko kutoka nje ya Afrika.
-
UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya
Jun 01, 2018 09:23Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 12 wameuawa kwa kupigwa risasi na wafanya magendo ya binadamu, walipokuwa wakijirabu kukimbia kambini nchini Libya.
-
Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean
May 26, 2018 03:23Takriban wahajiri 1,500 wamenusuriwa wakiwa katika safari hatarishi katika bahari ya Mediterranean, kwenye operesheni zilizofanyika siku ya Alkhamisi na jana Ijumaa.
-
Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia
May 20, 2018 02:59Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao
May 08, 2018 22:28Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.