Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 1,500 waokolewa katika bahari ya Mediterranean

    May 26, 2018 03:23

    Takriban wahajiri 1,500 wamenusuriwa wakiwa katika safari hatarishi katika bahari ya Mediterranean, kwenye operesheni zilizofanyika siku ya Alkhamisi na jana Ijumaa.

  • Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    Saudia kuwatimua wahajiri laki tano raia wa Ethiopia

    May 20, 2018 02:59

    Saudi Arabia imekubali ombi la Ethiopia la kuwaachia huru wahajiri wapatao elfu moja raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini imesisitiza kuwa itawafukuza nchini humo malaki ya wahajiri wengine wa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    Wahajiri wa Nigeria waishtaki Italia kwa kukanyaga haki zao

    May 08, 2018 22:28

    Kundi la wahajiri raia wa Nigeria ambao ni manusura wa ajali za boti zilizoshuhudiwa mwaka jana wameifungulia mashitaka serikali ya Italia kwa kukiuka haki zao za binadamu.

  • Ripoti: Miamala ya serikali ya Trump kwa wahajiri, ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu

    Ripoti: Miamala ya serikali ya Trump kwa wahajiri, ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu

    May 01, 2018 09:37

    Gazeti la Knoxville Daily la nchini Marekani limekosoa miamala ya serikali ya nchi hiyo kuwahusu wahajiri na kuweka wazi kwamba miamala hiyo ni ya shari, kidhalimu na isiyo ya kibinaadamu.

  • Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Ripoti: Wahajiri wa Kiafrika walioko US wamesoma kuliko Wamarekani wenyewe

    Apr 24, 2018 22:01

    Utafiti uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Pew umeonyesha kuwa, kuna mwanya mkubwa wa kiwango cha elimu kati ya wahajiri wa Kiafrika wanaoishi Marekani na raia wa asili wa nchi hiyo.

  • Wahajiri 11 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 11 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Libya

    Apr 23, 2018 03:15

    Kwa akali wahajiri 11 wa Kiafrika wameripotiwa kufariki dunia baada ya boti yao kuzama katika maji ya pwani ya magharibi mwa Libya, wakati wakiwa safarini kuelekea Ulaya.

  • HRW: Mamluki wa Imarati wanawabaka wahajiri wa Kiafrika Yemen

    HRW: Mamluki wa Imarati wanawabaka wahajiri wa Kiafrika Yemen

    Apr 18, 2018 03:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mamluki wanaofadhiliwa na kuungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu nchini Yemen wanawabaka na kuwalawiti wahajiri wa kike na kiume raia wa Afrika katika nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

  • Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Apr 03, 2018 21:59

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amebatilisha makubaliano kati ya Tel Aviv na Umoja wa Mataifa, kuhusu kupelekwa katika nchi za Magharibi wahajiri wa Kiafrika wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Algeria imewarejesha nyumbani wahajiri elfu 27 wa Kiafrika

    Algeria imewarejesha nyumbani wahajiri elfu 27 wa Kiafrika

    Mar 23, 2018 02:49

    Serikali ya Algeria imewarejesha katika nchi zao makumi ya maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waliokuwa wamemiminika katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri huko Niger

    Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri huko Niger

    Mar 17, 2018 23:02

    Kikao cha kimataifa cha kupambana na magendo ya wahajiri kimefanyika huko Niger kwa kuhudhuriwa na viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na wa nchi kadhaa za Ulaya. Mohammed Bazoum Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger amesema kwenye kikao hicho kuwa taathira za mapambano hayo zitaongezeka kwa kiasi kikubwa iwapo kutakuwepo mashirikiano ya kiusalama katika ngazi ya kitaifa na kieneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS