-
IOM: Wahajiri 30 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Yemen
Jan 27, 2018 07:50Kwa akali wahajiri 30 wa Kiafrika wameripotiwa kufariki dunia baada ya kuzama maji katika pwani ya Yemen, wakati wakielekea Djibouti.
-
Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania
Jan 17, 2018 07:59Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.
-
Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri
Jan 12, 2018 14:02Asasi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimelaani matamshi machafu yaliyojaa chuki, kejeli na dharau yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akiashiria wahajiri kutoka nchi kadhaa duniani hususan za Afrika wanaoenda kutafuta hifadhi Marekani.
-
Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea
Jan 12, 2018 13:45Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.
-
Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean
Jan 10, 2018 15:56Jeshi la Majini la Libya limetangaza kuwa yumkini wahajiri 100 waliotoweka katika ajali ya boti katika Bahari ya Mediterranean wakiwa safarini kulekea Ulaya, wamekufa maji.
-
Wahajiri 25 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya
Jan 07, 2018 07:50Kwa akali wahajiri 25 wamekufa maji baada ya boti yao kuzama wakiwa katika safari ya kwenda Ulaya, katika bahari ya Mediterania, katika pwani ya Libya.
-
Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri
Jan 06, 2018 04:02Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.
-
Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika
Jan 04, 2018 13:46Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutekeleza mpango wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea
Dec 28, 2017 07:53Libya imewarejesha nchini kwao wahajiri haramu wapatao 142 raia wa Guinea, ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano wa wahamiaji haramu wanaozuiliwa katika vituo mbali mbali nchini humo.
-
Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea
Dec 27, 2017 07:23Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.