Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Jeshi la Libya lawapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku 9 wawe wameshatoka nchini humo

    Jeshi la Libya lawapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku 9 wawe wameshatoka nchini humo

    Mar 09, 2018 00:15

    Jeshi la taifa la Libya jana (Alkhamisi) liliwapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku tisa wahakikishe wameshaondoka katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Mar 07, 2018 01:27

    Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.

  • Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Feb 23, 2018 11:42

    Kufuatia hatua ya utawala haramu wa Kizayuni ya kuwatimua kwa nguvu wahajiri wa Kiafrika katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel, mamia ya wahajiri hao wamekuwa wakifanya maandamano mtawalia mjini Tel Aviv kulalamikia hatua ya utawala huo ya kuwaweka jela wahajiri wenzao.

  • UN: Wahajiri 22 wa Ethiopia watoweka baada ya kuzamishwa baharini

    UN: Wahajiri 22 wa Ethiopia watoweka baada ya kuzamishwa baharini

    Feb 09, 2018 22:06

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri 22 raia wa Ethiopia wanahofiwa kufa maji baada ya kutupwa baharini, katika pwani ya Yemen.

  • Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco

    Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco

    Feb 04, 2018 13:05

    Serikali ya Uhispania imetangaza habari ya kupatikana kwa makumi ya maiti za wahajiri katika maji ya pwani ya Morocco.

  • IOM: Wahajiri 30 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Yemen

    IOM: Wahajiri 30 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Yemen

    Jan 27, 2018 04:20

    Kwa akali wahajiri 30 wa Kiafrika wameripotiwa kufariki dunia baada ya kuzama maji katika pwani ya Yemen, wakati wakielekea Djibouti.

  • Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania

    Jan 17, 2018 04:29

    Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.

  • Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri

    Dunia yaghadhabishwa na maneno machafu ya Trump dhidi ya wahajiri

    Jan 12, 2018 10:32

    Asasi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimelaani matamshi machafu yaliyojaa chuki, kejeli na dharau yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akiashiria wahajiri kutoka nchi kadhaa duniani hususan za Afrika wanaoenda kutafuta hifadhi Marekani.

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 10:15

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Jan 10, 2018 12:26

    Jeshi la Majini la Libya limetangaza kuwa yumkini wahajiri 100 waliotoweka katika ajali ya boti katika Bahari ya Mediterranean wakiwa safarini kulekea Ulaya, wamekufa maji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS