-
Wahajiri 25 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya
Jan 07, 2018 04:20Kwa akali wahajiri 25 wamekufa maji baada ya boti yao kuzama wakiwa katika safari ya kwenda Ulaya, katika bahari ya Mediterania, katika pwani ya Libya.
-
Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri
Jan 06, 2018 00:32Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.
-
Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika
Jan 04, 2018 10:16Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutekeleza mpango wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea
Dec 28, 2017 04:23Libya imewarejesha nchini kwao wahajiri haramu wapatao 142 raia wa Guinea, ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano wa wahamiaji haramu wanaozuiliwa katika vituo mbali mbali nchini humo.
-
Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea
Dec 27, 2017 03:53Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.
-
UN yafikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya
Dec 20, 2017 12:46Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa umoja huo umefikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya na kuwapeleka katika nchi ya tatu.
-
Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya
Dec 12, 2017 04:45Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.
-
AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya
Dec 04, 2017 11:40Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.
-
Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri
Dec 02, 2017 08:59Viongozi wa Ulaya na Afrika wametoa taarifa ya pamoja katika Mkutano wa Tano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya huko Ivory Coast kuhusu mgogoro wa wahajiri barani Afrika na kusistiza udharura wa kupatiwa suluhisho la msingi suala hilo ikiwa ni pamoja na kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro uliopo hivi sasa huko Libya.
-
Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast
Nov 30, 2017 08:10Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.