-
UN yafikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya
Dec 20, 2017 16:16Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa umoja huo umefikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya na kuwapeleka katika nchi ya tatu.
-
Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya
Dec 12, 2017 08:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.
-
AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya
Dec 04, 2017 15:10Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.
-
Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri
Dec 02, 2017 12:29Viongozi wa Ulaya na Afrika wametoa taarifa ya pamoja katika Mkutano wa Tano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya huko Ivory Coast kuhusu mgogoro wa wahajiri barani Afrika na kusistiza udharura wa kupatiwa suluhisho la msingi suala hilo ikiwa ni pamoja na kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro uliopo hivi sasa huko Libya.
-
Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast
Nov 30, 2017 11:40Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.
-
Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast
Nov 30, 2017 08:08Kikao cha tano cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya kilianza rasmi hapo jana katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.
-
IOM: Wahajiri zaidi ya elfu 3 wameaga dunia mwaka huu katika Bahari ya Mediterania
Nov 29, 2017 08:17Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri zaidi ya elfu tatu wamefariki dunia au kutoweka katika maji ya Bahari ya Mediterania wakiwa katika safari hatarishi za kuelekea barani Ulaya, tangu mwanzoni mwa huu hadi sasa.
-
IOM: Bahari ya Mediterania ndiyo mpaka unaoua idadi kubwa zaidi ya watu duniani
Nov 26, 2017 03:43Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, kuanzia mwaka 2000 hadi sasa zaidi ya watu elfu 33 waliokuwa katika jitihada za kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania wamepoteza maisha.
-
AU: Ulaya unahusika katika matatizo yanayolikumba bara la Afrika
Nov 24, 2017 04:19Mwenyekiti wa hivi sasa wa Umoja wa Afrika, Rais Alpha Condé wa Guinea Conakry amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unahusika katika sehemu ya matatizo yanayolikabili bara la Afrika.
-
Hali mbaya ya wahajiri wa Afrika nchini Libya
Nov 20, 2017 11:23Sambamba na kuendelea hali mbaya ya wakimbizi na wahajiri wa Kiafrika nchini Libya, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutuhumu Umoja wa Ulaya kwamba, unapuuza hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri wa Kiafrika.