Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Wahajiri 25 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Wahajiri 25 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Jan 07, 2018 04:20

    Kwa akali wahajiri 25 wamekufa maji baada ya boti yao kuzama wakiwa katika safari ya kwenda Ulaya, katika bahari ya Mediterania, katika pwani ya Libya.

  • Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri

    Jan 06, 2018 00:32

    Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.

  • Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Jan 04, 2018 10:16

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutekeleza mpango wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea

    Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea

    Dec 28, 2017 04:23

    Libya imewarejesha nchini kwao wahajiri haramu wapatao 142 raia wa Guinea, ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano wa wahamiaji haramu wanaozuiliwa katika vituo mbali mbali nchini humo.

  • Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea

    Dec 27, 2017 03:53

    Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.

  • UN yafikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya

    UN yafikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya

    Dec 20, 2017 12:46

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa umoja huo umefikia uamuzi wa kuwaondoa wahajiri nchini Libya na kuwapeleka katika nchi ya tatu.

  • Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Dec 12, 2017 04:45

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.

  • AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    Dec 04, 2017 11:40

    Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.

  • Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Dec 02, 2017 08:59

    Viongozi wa Ulaya na Afrika wametoa taarifa ya pamoja katika Mkutano wa Tano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya huko Ivory Coast kuhusu mgogoro wa wahajiri barani Afrika na kusistiza udharura wa kupatiwa suluhisho la msingi suala hilo ikiwa ni pamoja na kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro uliopo hivi sasa huko Libya.

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 08:10

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS