Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 04:38

    Kikao cha tano cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya kilianza rasmi hapo jana katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • IOM: Wahajiri zaidi ya elfu 3 wameaga dunia mwaka huu katika Bahari ya Mediterania

    IOM: Wahajiri zaidi ya elfu 3 wameaga dunia mwaka huu katika Bahari ya Mediterania

    Nov 29, 2017 04:47

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri zaidi ya elfu tatu wamefariki dunia au kutoweka katika maji ya Bahari ya Mediterania wakiwa katika safari hatarishi za kuelekea barani Ulaya, tangu mwanzoni mwa huu hadi sasa.

  • IOM: Bahari ya Mediterania ndiyo mpaka unaoua idadi kubwa zaidi ya watu duniani

    IOM: Bahari ya Mediterania ndiyo mpaka unaoua idadi kubwa zaidi ya watu duniani

    Nov 26, 2017 00:13

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, kuanzia mwaka 2000 hadi sasa zaidi ya watu elfu 33 waliokuwa katika jitihada za kuelekea Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania wamepoteza maisha.

  • AU: Ulaya unahusika katika matatizo yanayolikumba bara la Afrika

    AU: Ulaya unahusika katika matatizo yanayolikumba bara la Afrika

    Nov 24, 2017 00:49

    Mwenyekiti wa hivi sasa wa Umoja wa Afrika, Rais Alpha Condé wa Guinea Conakry amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unahusika katika sehemu ya matatizo yanayolikabili bara la Afrika.

  • Hali mbaya ya wahajiri wa Afrika nchini Libya

    Hali mbaya ya wahajiri wa Afrika nchini Libya

    Nov 20, 2017 07:53

    Sambamba na kuendelea hali mbaya ya wakimbizi na wahajiri wa Kiafrika nchini Libya, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutuhumu Umoja wa Ulaya kwamba, unapuuza hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri wa Kiafrika.

  • Libya yaanzisha uchunguzi kuhusu biashara ya utumwa

    Libya yaanzisha uchunguzi kuhusu biashara ya utumwa

    Nov 19, 2017 23:18

    Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa wameanzisha uchunguzi kuhusu suala la kushikiliwa na kuuzwa wahajiri kama watumwa karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Wahajiri 73 wapoteza maisha katika fukwe za Libya

    Wahajiri 73 wapoteza maisha katika fukwe za Libya

    Nov 08, 2017 04:17

    Wahajiri 73 wamekufa maji katika bahari ya Mediterranean wakati walipokuwa wanajaribu kuzifikia fukwe za Italia kutokea Libya.

  • Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya kutafuta maisha

    Wahajiri wa Kiafrika wazidi kufa maji wakielekea Ulaya kutafuta maisha

    Nov 07, 2017 04:50

    Kwa akali wahajiri watano wa Kiafrika wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterranean, magharibi mwa pwani ya Libya.

  • Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Angola yawatimua maelfu ya wahamiaji haramu wa Kongo DR

    Nov 05, 2017 23:16

    Serikali ya Angola imewafukuza nchini humo maelfu ya wahamiaji haramu raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700

    Nov 04, 2017 04:18

    Askari wa gadi ya pwani nchini Italia wametangaza kwamba Ijumaa ya jana waliwaokoa wahajiri 700 katika bahari ya Mediterranea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS