-
Wahajiri 900 waokolewa, 7 wafa maji katika pwani ya Libya
Nov 02, 2017 04:40Miili saba ya wahajiri haramu imepatikana ndani ya boti ya plastiki karibu na pwani ya Libya, huku mamia ya wengine wakiokolewa kusini mwa bahari ya Mediterranean.
-
Wahajiri zaidi ya elfu 3 wakamatwa Libya
Oct 08, 2017 10:47Serikali ya Libya imewatia mbaroni maelfu ya wahajiri haramu katika mji wa Sabratha, kaskazini magharibi mwa nchi, ikiwa ni katika jitihada za kupambana na magendo ya binadamu.
-
Wahajiri 140 waokolewa baada ya boti zao kuzama Tunisia
Oct 01, 2017 11:45Jeshi la Majini la Tunisia limefanikiwa kuokoa wahajiri wapatao 140, baada ya boti zao kuzama kusini mashariki mwa nchi.
-
Jeshi la wanamaji Libya: Tumeokoa zaidi ya wahajiri 3000 ndani ya kipindi cha wiki moja
Sep 18, 2017 02:52Msemaji wa kikosi cha jeshi la wanamaji nchini Libya amesema kuwa, askari wa gadi ya pwani ya nchi hiyo wamefanikiwa kuokoa zaidi ya wahajiri haramu 3000 ndani ya kipindi cha wiki moja katika bahari ya Mediterranean.
-
Viwiliwili vya wahajiri 16 vyapatikani jangwani mashariki mwa Libya
Sep 06, 2017 02:40Vikosi vya usalama nchini Libya vimetangaza habari ya kupatikana miili 16 ya wahajiri katika eneo la jangwani, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Misri.
-
Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri
Aug 20, 2017 21:50Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.
-
UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi
Aug 14, 2017 23:26Wataalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa kitendo cha Marekani kuendelea kuwazuilia wahamiaji na raia wa kigeni wanaotafuta hifadhi nchini humo.
-
Maiti 8 za wahajiri zapatikana katika boti ya plastiki Libya
Aug 02, 2017 03:46Miili 8 ya wahajiri waliokuwa wakielekea barani Ulaya imepatikana ndani ya boti ya plastiki na wapiga mbizi wa shirika moja lisilo la serikali katika pwani ya Libya.
-
Juhudi za Italia za kuwepo katika pwani ya Libya kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri
Jul 30, 2017 03:16Italia imechukua uamuzi mpya wa kutuma kikosi cha Gadi ya Pwani ili kuwazuia wahajiri wanaotokea pwani ya Libya.
-
Makubaliano kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri haramu wa Afrika
Jul 25, 2017 22:36Katika kuendelea kukabiliana na wahajiri haramu, wawakilishi wa nchi 10 za Kiafrika, Ulaya na asasi nne za kieneo wamekubaliana kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri hao haramu kupitia Bahari ya Mediterania na kuimarisha ushirikiano ili kuwazuia wahajiri hao.