-
Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington
Jan 21, 2025 10:58Wakati ambapo Donald Trump, rais mteule wa Marekani, ameapishwa rasmi Jumatatu, tarehe 20 Januari, maandamano dhidi ya sera zake tayari yameanza. Katika muktadha huu, maelfu ya Wamarekani, wengi wao wakiwa wanawake, wamekusanyika katika mitaa ya Washington kuandamana dhidi ya sera za Trump.
-
Tanzania yaithibitishia WHO kuwa mgonjwa mmoja wa Marburg amegunduliwa nchini humo
Jan 21, 2025 06:07Mtu mmoja ambaye alikuwa akiugua ugonjwa wa Marburg amegunduliwa nchini Tanzania.
-
Binti mhajiri Msierra Leone wa miaka 11 aokolewa baada ya kusalia baharini kwa siku 3
Dec 12, 2024 01:05Msichana mwenye umri wa miaka 11 kutoka Sierra Leone ameokolewa majani baada ya kusalia baharini kwa siku tatu. Binti huyo ndiyepeke yake ameenusurika katika ajali ya boti kwenye kisiwa cha Lampedusa nchini Italia.
-
Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu
Sep 12, 2024 23:35Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amesema kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo kukabiliana na safari hatarishi za wahamiaji baada ya mkasa wa karibuni kuua makumi ya watu.
-
Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani
Jul 20, 2024 02:40Imebainika kuwa, maelfu ya watoto wahajiri wamebakwa na kufanyiwa unyanyasaji na udhalilishaji wa kingono katika kambi na vituo vya 'kuwahifadhi' wahamiaji haramu nchini Marekani.
-
Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia
Jan 17, 2024 04:10Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha wakiwa katika safari ya baharini wakielekea Italia.
-
Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji
Oct 07, 2023 22:57Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.
-
IOM: Idadi ya wahamiaji wanawake wa Kiafrika kwenda nchi za Ghuba ya Uajemi yaongezeka
Aug 29, 2023 22:57Idadi ya wahajiri wa kike kutoka nchi za eneo la Pembe ya Afrika kuelekea nchi za Ghuba ya Uajemi imeripotiwa kuongezeka kwa kasi.
-
Papa Francis atoa mwito wa kushughuliwa hali ya wahamiaji barani Ulaya
Aug 14, 2023 00:29Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa mwito wa kushughuliwa hali ya wahamiaji barani Ulaya.
-
Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia
Aug 10, 2023 22:49Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.