Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Papa Francis atoa mwito wa kushughuliwa hali ya wahamiaji barani Ulaya

    Papa Francis atoa mwito wa kushughuliwa hali ya wahamiaji barani Ulaya

    Aug 14, 2023 03:59

    Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa mwito wa kushughuliwa hali ya wahamiaji barani Ulaya.

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Aug 11, 2023 02:19

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Aug 08, 2023 07:32

    Wahajiri wasiopungua 11 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.

  • Wahajiri 300 kutoka Senegal wahofiwa kufa maji wakielekea Uhispania

    Wahajiri 300 kutoka Senegal wahofiwa kufa maji wakielekea Uhispania

    Jul 11, 2023 07:14

    Mamia ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti tatu walizokuwa wakisafiria kuelekea Uhispania kutoweka baharini.

  • Kutokana na hali mbaya ya uchumi, Uturuki yawatia mbaroni na kuwahamisha mamia ya wahamaji

    Kutokana na hali mbaya ya uchumi, Uturuki yawatia mbaroni na kuwahamisha mamia ya wahamaji

    Jul 08, 2023 03:24

    Vikosi vya usalama nchini Uturuki vimewakamata mamia ya wahamiaji na kuwarejesha nchi walikotoka.

  • Wanaharakati walaumu sera za uhamiaji za Ulaya kwa vifo vya wahajiri

    Wanaharakati walaumu sera za uhamiaji za Ulaya kwa vifo vya wahajiri

    Jun 26, 2023 09:55

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamekosoa sera za uhamiaji za Ulaya, huku vifo vya wahajiri wanaosafiri kwenda Ulaya hasa kupitia baharini vikiongezeka.

  • Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Mar 30, 2023 02:15

    Wakati wimbi kubwa la wakimbizi linaendelea kumiminika Libya wakiwa na matumaini ya kuvuka bahari na kufika Ulaya, nchi hiyo ya Afrika sasa imekuwa Jahanamu kwa wakimbizi na wahamiaji, kiasi kwamba wengi wao wananyanyaswa kimwili na kiakili na hata kuuawa.

  • 29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    Mar 27, 2023 11:35

    Gadi ya Kitaifa ya Ulinzi wa Pwani ya Tunisia imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 29 kati ya 34 wa Kiafrika waliotoweka Ijumaa iliyopita baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuelekea Ulaya kuzama baharini karibu na pwani ya Tunisia.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mar 05, 2023 10:39

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika wamerejea katika nchi zao wakitokea Tunisia, siku chache baada ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo kutoa matamshi yaliyoonekana kuwa dhidi ya wahamiaji nchini humo.

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani nchini Chad

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani nchini Chad

    Dec 14, 2022 11:11

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza habari ya kugunduliwa maiti za wahamiaji 27 zikiwemo za watoto wanne katika jangwa moja nchini Chad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS