Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Maelfu ya wahajiri wamepigwa na kudhalilishwa katika mipaka ya EU

    Maelfu ya wahajiri wamepigwa na kudhalilishwa katika mipaka ya EU

    Dec 10, 2022 02:22

    Ripoti mpya iliyotolewa na shirika moja la kutetea haki za binadamu imefichua kuwa, maelfu ya wahajiri walipewa kichapo cha mbwa, baadhi wakadhalilishwa na wengine wakazuiliwa kinyume cha sheria kabla ya kurejeshwa waliokotoka na askari wa mipaka ya nchi za Umoja wa Ulaya.

  • Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Nov 14, 2022 11:07

    Mamlaka za Morocco zimetangaza kuwa zimezima majaribio ya makumi ya maelfu ya wahamiaji haramu waliojaribu kuvuka bahari ya Mediterania kuelekea Ulaya.

  • Maiti 8 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini ya Tunisia

    Maiti 8 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini ya Tunisia

    Oct 11, 2022 11:51

    Wavuvi wa Tunisia wameopoa miili ya wahajiri wanane waliokufa maji katika pwani ya mji wa Zarzis, kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Aug 13, 2022 11:24

    Maiti 20 za wahajiri haramu zimepatikana katika jangwa lililoko baina ya Libya na Sudan.

  • Makumi ya wahajiri wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Makumi ya wahajiri wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Aug 10, 2022 11:22

    Makumi ya wahajiri wanahofia kuaga dunia baada ya boti yao kuzama wakijaribu kuelekea Italia.

  • Maiti 20 za wahajiri zapatikana jangwani nchini Libya

    Maiti 20 za wahajiri zapatikana jangwani nchini Libya

    Jun 30, 2022 07:52

    Maiti 20 za wahajiri walioripotiwa kutoweka katika jangwa nchini Libya karibu na mpaka wa Chad, zimepatikana kusini mashariki mwa nchi.

  • Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania

    Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania

    Jun 25, 2022 11:47

    Serikali ya Morocco imesema wahajiri 18 wamepoteza maisha, huku makumi ya wengine pamoja na askari polisi wakijeruhiwa katika mkanyagano wa kujaribu kuingia katika maeneo ya Melilla na Ceuta yanayodhibitiwa na Uhispania.

  • Wasiwasi wa Shirika la Haki za Wahamiaji kuhusu hali ya wafanyakazi wa kigeni katika magereza ya Saudi Arabia

    Wasiwasi wa Shirika la Haki za Wahamiaji kuhusu hali ya wafanyakazi wa kigeni katika magereza ya Saudi Arabia

    May 02, 2022 04:09

    Shirika la Haki za Wahamiaji limeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kusikitisha ya wafanyakazi wa kigeni wanaozuiliwa katika magereza ya Saudia.

  • Wahajiri 35 wahofiwa kufa maji Libya baada ya boti yao kupinduka

    Wahajiri 35 wahofiwa kufa maji Libya baada ya boti yao kupinduka

    Apr 17, 2022 08:02

    Umoja wa Mataifa umesema unahofia kuwa makumi ya wahajiri wameaga dunia baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Bahari ya Mediterrania, pwani ya Libya.

  • Watu wanne waaga dunia baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Watu wanne waaga dunia baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya

    Apr 12, 2022 10:23

    Kwa akali watu wanne wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Bahari ya Mediterrania, pwani ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS