Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji Tunisia

    Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji Tunisia

    Apr 11, 2022 02:36

    Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Tunisia, wakijaribu kuelekea Italia.

  • Wahajiri wengine 90 wafa maji katika ajali Bahari ya Mediterania

    Wahajiri wengine 90 wafa maji katika ajali Bahari ya Mediterania

    Apr 04, 2022 10:58

    Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR amezitaka nchi za Ulaya kuwa na ukarimu na kuamiliana vyema na wakimbizi wengine, kama zinavyoamiliana na wakimbizi wa Ukraine.

  • Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Mar 25, 2022 02:30

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.

  • Maelfu ya wahajiri Waafghani wametelekezwa na Marekani makambini nchini Imarati

    Maelfu ya wahajiri Waafghani wametelekezwa na Marekani makambini nchini Imarati

    Mar 02, 2022 03:36

    Maelfu ya wahajiri Waafghani, ambao waliondolewa nchini mwao Afghanistan katika "Operesheni ya Uhamishaji" ya askari wa jeshi la Marekani wamebaki hawana mbele wala nyuma baada ya kupita karibu miezi saba tangu wahamishiwe katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.

  • Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Jan 22, 2022 02:39

    Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.

  • Wahajiri kadhaa wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Algeria

    Wahajiri kadhaa wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Algeria

    Oct 18, 2021 03:52

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imesema wahajiri wanne wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika Bahari ya Mediterania, huko pwani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN: Watoto, wanawake 1,000 wanaozuiliwa Libya wapo hatarini

    UN: Watoto, wanawake 1,000 wanaozuiliwa Libya wapo hatarini

    Oct 13, 2021 12:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetadharisha kuhusu hali mbaya inayowakabili watoto wadogo na wanawake wapatao elfu moja ambao ni miongoni mwa maelfu ya wahajiri wanaozuiliwa katika kambi za wakimbizi za kuogofya huko Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Oct 06, 2021 13:01

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema maiti 17 za wahajiri wanaoaminika kufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama zimepatikana katika pwani ya magharibi ya nchi hiyo.

  • Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Aug 24, 2021 07:47

    Shirika la Wahamiaji Duniani (IOM) limesema wahajiri 17 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.

  • Boti iliyobeba makumi ya wahajiri yatoweka baharini pwani ya Mauritania

    Boti iliyobeba makumi ya wahajiri yatoweka baharini pwani ya Mauritania

    Aug 18, 2021 12:50

    Watu 47 wakiwemo watoto wadogo watatu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupoteza mkondo na kutoweka, baada ya injini yake kufeli katika pwani ya Mauritania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS