Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Oct 06, 2021 13:01

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema maiti 17 za wahajiri wanaoaminika kufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama zimepatikana katika pwani ya magharibi ya nchi hiyo.

  • Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya

    Aug 24, 2021 07:47

    Shirika la Wahamiaji Duniani (IOM) limesema wahajiri 17 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.

  • Boti iliyobeba makumi ya wahajiri yatoweka baharini pwani ya Mauritania

    Boti iliyobeba makumi ya wahajiri yatoweka baharini pwani ya Mauritania

    Aug 18, 2021 12:50

    Watu 47 wakiwemo watoto wadogo watatu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupoteza mkondo na kutoweka, baada ya injini yake kufeli katika pwani ya Mauritania.

  • Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Jul 28, 2021 07:00

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, karibu wahajiri haramu elfu moja wamekufa maji tangu mwanzoni mwa mwaka huu katika maji ya Bahari ya Mediterania.

  • Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    May 28, 2021 12:19

    Watoto zaidi ya 4,300 ambao hawana wazazi wala wasimamizi na ambao waliingia nchini Marekani wakitokea Mexico wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha jimboni Texas.

  • Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Apr 27, 2021 12:58

    Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.

  • Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Apr 23, 2021 07:35

    Taarifa kutoka nchini Libya zinasema kuwa, mtumbwi mmoja uliokuwa umebeba watu 130 umezama karibu na fukwe za nchi hiyo.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Apr 13, 2021 07:00

    Wahajiri wasiopungua 34 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika mji wa bandari wa Obock, katika pwani ya Djibouti.

  • Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Mar 05, 2021 02:38

    Makumi ya wakimbizi na wahajiri wamekufa maji baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini nchini Djibouti.

  • Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Feb 11, 2021 12:27

    Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS