-
Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya
Oct 06, 2021 13:01Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema maiti 17 za wahajiri wanaoaminika kufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama zimepatikana katika pwani ya magharibi ya nchi hiyo.
-
Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya
Aug 24, 2021 07:47Shirika la Wahamiaji Duniani (IOM) limesema wahajiri 17 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.
-
Boti iliyobeba makumi ya wahajiri yatoweka baharini pwani ya Mauritania
Aug 18, 2021 12:50Watu 47 wakiwemo watoto wadogo watatu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kupoteza mkondo na kutoweka, baada ya injini yake kufeli katika pwani ya Mauritania.
-
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania
Jul 28, 2021 07:00Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, karibu wahajiri haramu elfu moja wamekufa maji tangu mwanzoni mwa mwaka huu katika maji ya Bahari ya Mediterania.
-
Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani
May 28, 2021 12:19Watoto zaidi ya 4,300 ambao hawana wazazi wala wasimamizi na ambao waliingia nchini Marekani wakitokea Mexico wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha jimboni Texas.
-
Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania
Apr 27, 2021 12:58Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.
-
Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya
Apr 23, 2021 07:35Taarifa kutoka nchini Libya zinasema kuwa, mtumbwi mmoja uliokuwa umebeba watu 130 umezama karibu na fukwe za nchi hiyo.
-
Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti
Apr 13, 2021 07:00Wahajiri wasiopungua 34 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika mji wa bandari wa Obock, katika pwani ya Djibouti.
-
Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti
Mar 05, 2021 02:38Makumi ya wakimbizi na wahajiri wamekufa maji baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini nchini Djibouti.
-
Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo
Feb 11, 2021 12:27Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.