Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Jul 28, 2021 07:00

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, karibu wahajiri haramu elfu moja wamekufa maji tangu mwanzoni mwa mwaka huu katika maji ya Bahari ya Mediterania.

  • Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    May 28, 2021 12:19

    Watoto zaidi ya 4,300 ambao hawana wazazi wala wasimamizi na ambao waliingia nchini Marekani wakitokea Mexico wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha jimboni Texas.

  • Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Apr 27, 2021 12:58

    Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.

  • Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Apr 23, 2021 07:35

    Taarifa kutoka nchini Libya zinasema kuwa, mtumbwi mmoja uliokuwa umebeba watu 130 umezama karibu na fukwe za nchi hiyo.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Apr 13, 2021 07:00

    Wahajiri wasiopungua 34 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika mji wa bandari wa Obock, katika pwani ya Djibouti.

  • Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Mar 05, 2021 02:38

    Makumi ya wakimbizi na wahajiri wamekufa maji baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini nchini Djibouti.

  • Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Feb 11, 2021 12:27

    Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Dec 25, 2020 13:05

    Wahajiri wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea jana Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia.

  • Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Oct 26, 2020 11:40

    Wahajiri 11 akiwemo mwanamke mjamzito wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Wahajiri 8 wa Ethiopia wafariki katika pwani ya Djibouti

    Wahajiri 8 wa Ethiopia wafariki katika pwani ya Djibouti

    Oct 05, 2020 09:51

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri wasiopungua 8 kutoka Ethiopia wamezama baharini na wengine 12 wametoweka baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini karibu na Pwani ya Djibouti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS