Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Raia 3 wa Ethiopia wafia katika kambi ya kuzuilia wahajiri Saudia

    Raia 3 wa Ethiopia wafia katika kambi ya kuzuilia wahajiri Saudia

    Oct 02, 2020 10:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza habari ya kupoteza maisha wahamiaji watatu wa Kiethiopia ambao walikuwa wanashikiliwa katika mazingira yasiyo ya kibinadamu nchini Saudi Arabia.

  • Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Sep 26, 2020 12:14

    Watu wasiopungua 16 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Ethiopia kuwarejesha nyumbani maelfu ya wahajiri kutoka Saudia kwa kuhofia maisha yao

    Ethiopia kuwarejesha nyumbani maelfu ya wahajiri kutoka Saudia kwa kuhofia maisha yao

    Sep 18, 2020 10:40

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawarejesha nyumbani wahajiri karibu 2,000 kutoka Saudi Arabia katika wiki zijazo, kutokana na wasiwasi mkubwa wa jamii ya kimataifa juu ya hali mbaya inayoshuhudiwa katika kambi za wahamiaji nchini humo.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa Saudia

    Mamia ya wahajiri wa Kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa Saudia

    Aug 14, 2020 02:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa makumi ya wahajiri wa Kiethiopia waliokimbia vita kaskazini mwa Yemen wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa mpakani wa Saudi Arabia.

  • Wahajiri 40 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani mwa Mauritania

    Wahajiri 40 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani mwa Mauritania

    Aug 07, 2020 06:46

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, wahajiri 40 wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kughariki katika maji ya pwani mwa Mauritania.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya wahajiri 30 Libya

    UN yataka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya wahajiri 30 Libya

    May 30, 2020 08:13

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri huko nchini Libya.

  • Uhusiano mzuri wa Iran na Afghanistan katika kivuli cha mawasiliano endelevu

    Uhusiano mzuri wa Iran na Afghanistan katika kivuli cha mawasiliano endelevu

    May 29, 2020 09:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulika masuala ya sheria amesema kuwa, ili kuzuia magendo ya binaadamu na safari haramu, Tehran imetiliana saini makubaliano mapya na serikali ya Afghanistan.

  • "Wahajiri" 60 wapatikana wameaga dunia ndani ya lori Msumbiji

    Mar 26, 2020 11:27

    Miili zaidi ya 60 imepatikana ndani ya lori la mizigo katika mkoa wa Tete, kaskazini magharibi mwa Msumbiji.

  • Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Mar 16, 2020 02:33

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema Gadi ya Pwani ya Libya imewakamata wahajiri 400 wakiwa safarini kuelekea Ulaya na kuwarejesha katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Seneti inayohodhiwa na Warepublican yamtoa hatiani Trump na kufumbia macho utumiaji wake mbaya wa madaraka

    Seneti inayohodhiwa na Warepublican yamtoa hatiani Trump na kufumbia macho utumiaji wake mbaya wa madaraka

    Feb 06, 2020 03:59

    Rais Donald Trump wa Marekani ametolewa hatiani dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili za kutumia vibaya madaraka kufuatia uamuzi uliopitishwa na Seneti ya nchi hiyo inayohodhiwa na chama chake cha Republican.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS