Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania

    Apr 27, 2021 08:28

    Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.

  • Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Wahajiri 130 wahofiwa kufariki dunia baada ya mtumbwi wao kuzama nchini Libya

    Apr 23, 2021 03:05

    Taarifa kutoka nchini Libya zinasema kuwa, mtumbwi mmoja uliokuwa umebeba watu 130 umezama karibu na fukwe za nchi hiyo.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Djibouti

    Apr 13, 2021 02:30

    Wahajiri wasiopungua 34 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika mji wa bandari wa Obock, katika pwani ya Djibouti.

  • Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Wahajiri 20 waaga dunia baada ya kugharikishwa baharini Djibouti

    Mar 04, 2021 23:08

    Makumi ya wakimbizi na wahajiri wamekufa maji baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini nchini Djibouti.

  • Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Feb 11, 2021 08:57

    Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Dec 25, 2020 09:35

    Wahajiri wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea jana Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia.

  • Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Oct 26, 2020 08:10

    Wahajiri 11 akiwemo mwanamke mjamzito wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Wahajiri 8 wa Ethiopia wafariki katika pwani ya Djibouti

    Wahajiri 8 wa Ethiopia wafariki katika pwani ya Djibouti

    Oct 05, 2020 06:21

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri wasiopungua 8 kutoka Ethiopia wamezama baharini na wengine 12 wametoweka baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini karibu na Pwani ya Djibouti.

  • Raia 3 wa Ethiopia wafia katika kambi ya kuzuilia wahajiri Saudia

    Raia 3 wa Ethiopia wafia katika kambi ya kuzuilia wahajiri Saudia

    Oct 02, 2020 07:22

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza habari ya kupoteza maisha wahamiaji watatu wa Kiethiopia ambao walikuwa wanashikiliwa katika mazingira yasiyo ya kibinadamu nchini Saudi Arabia.

  • Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Sep 26, 2020 08:44

    Watu wasiopungua 16 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS