-
Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia
Dec 25, 2020 13:05Wahajiri wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea jana Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia.
-
Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya
Oct 26, 2020 11:40Wahajiri 11 akiwemo mwanamke mjamzito wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.
-
Wahajiri 8 wa Ethiopia wafariki katika pwani ya Djibouti
Oct 05, 2020 09:51Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema wahajiri wasiopungua 8 kutoka Ethiopia wamezama baharini na wengine 12 wametoweka baada ya wafanya magendo ya binadamu kuwarusha baharini karibu na Pwani ya Djibouti.
-
Raia 3 wa Ethiopia wafia katika kambi ya kuzuilia wahajiri Saudia
Oct 02, 2020 10:52Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza habari ya kupoteza maisha wahamiaji watatu wa Kiethiopia ambao walikuwa wanashikiliwa katika mazingira yasiyo ya kibinadamu nchini Saudi Arabia.
-
Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya
Sep 26, 2020 12:14Watu wasiopungua 16 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.
-
Ethiopia kuwarejesha nyumbani maelfu ya wahajiri kutoka Saudia kwa kuhofia maisha yao
Sep 18, 2020 10:40Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawarejesha nyumbani wahajiri karibu 2,000 kutoka Saudi Arabia katika wiki zijazo, kutokana na wasiwasi mkubwa wa jamii ya kimataifa juu ya hali mbaya inayoshuhudiwa katika kambi za wahamiaji nchini humo.
-
Mamia ya wahajiri wa Kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa Saudia
Aug 14, 2020 02:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa makumi ya wahajiri wa Kiethiopia waliokimbia vita kaskazini mwa Yemen wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa mpakani wa Saudi Arabia.
-
Wahajiri 40 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani mwa Mauritania
Aug 07, 2020 06:46Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, wahajiri 40 wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kughariki katika maji ya pwani mwa Mauritania.
-
UN yataka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya wahajiri 30 Libya
May 30, 2020 08:13Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya makumi ya wahajiri huko nchini Libya.
-
Uhusiano mzuri wa Iran na Afghanistan katika kivuli cha mawasiliano endelevu
May 29, 2020 09:23Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulika masuala ya sheria amesema kuwa, ili kuzuia magendo ya binaadamu na safari haramu, Tehran imetiliana saini makubaliano mapya na serikali ya Afghanistan.