Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • "Wahajiri" 60 wapatikana wameaga dunia ndani ya lori Msumbiji

    Mar 26, 2020 11:27

    Miili zaidi ya 60 imepatikana ndani ya lori la mizigo katika mkoa wa Tete, kaskazini magharibi mwa Msumbiji.

  • Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya

    Mar 16, 2020 02:33

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema Gadi ya Pwani ya Libya imewakamata wahajiri 400 wakiwa safarini kuelekea Ulaya na kuwarejesha katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Seneti inayohodhiwa na Warepublican yamtoa hatiani Trump na kufumbia macho utumiaji wake mbaya wa madaraka

    Seneti inayohodhiwa na Warepublican yamtoa hatiani Trump na kufumbia macho utumiaji wake mbaya wa madaraka

    Feb 06, 2020 03:59

    Rais Donald Trump wa Marekani ametolewa hatiani dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili za kutumia vibaya madaraka kufuatia uamuzi uliopitishwa na Seneti ya nchi hiyo inayohodhiwa na chama chake cha Republican.

  • Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki

    Dec 28, 2019 12:52

    Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa maelfu ya wanawake na watoto wanakabiliwa na hali ya kusikitisha katika kisiwa kimoja huko Ugiriki.

  • Wahajiri 58 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Mauritania

    Wahajiri 58 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Mauritania

    Dec 06, 2019 02:52

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema makumi ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama karibu na pwani ya Mauritania, wakiwa safarini kuelekea Ulaya kutafuta maisha.

  • Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya

    Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya

    Nov 18, 2019 11:38

    Serikali ya Libya imewahamishia katika nchi za Sudan na Chad makumi ya wahamiaji haramu.

  • Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi

    Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi

    Nov 05, 2019 12:19

    Watetezi wa haki za binadamu wamekosoa baadhi ya sheria ngumu za uhamiaji za Marekani na kutangaza kuwa nchi hiyo si salama na mahala pa amani kwa wakimbizi katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.

  • Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji

    Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji

    Nov 03, 2019 08:04

    Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.

  • Wahajiri wanane wakutwa ndani ya lori la friji wakisafirishwa kupelekwa Uingereza

    Wahajiri wanane wakutwa ndani ya lori la friji wakisafirishwa kupelekwa Uingereza

    Oct 28, 2019 08:03

    Wahajiri wanane kutoka Afghanistan wamekutwa ndani ya lori la friji lililokuwa likielekea Uingereza, wakati lori hilo lilipokaguliwa katika bandari ya Calais nchini Ufaransa. Hayo ni kwa mujibu wa ofisi ya mkuu wa mashtaka wa mji huo.

  • Wahajiri tisa wafariki dunia, 22 waokolewa baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Italia

    Wahajiri tisa wafariki dunia, 22 waokolewa baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Italia

    Oct 07, 2019 19:04

    Watu wasiopungua tisa wamefariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya kisiwa cha Lampedusa, kusini mwa Sicily nchini Italia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS