-
Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki
Dec 28, 2019 12:52Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa maelfu ya wanawake na watoto wanakabiliwa na hali ya kusikitisha katika kisiwa kimoja huko Ugiriki.
-
Wahajiri 58 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Mauritania
Dec 06, 2019 02:52Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema makumi ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama karibu na pwani ya Mauritania, wakiwa safarini kuelekea Ulaya kutafuta maisha.
-
Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya
Nov 18, 2019 11:38Serikali ya Libya imewahamishia katika nchi za Sudan na Chad makumi ya wahamiaji haramu.
-
Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi
Nov 05, 2019 12:19Watetezi wa haki za binadamu wamekosoa baadhi ya sheria ngumu za uhamiaji za Marekani na kutangaza kuwa nchi hiyo si salama na mahala pa amani kwa wakimbizi katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.
-
Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji
Nov 03, 2019 08:04Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.
-
Wahajiri wanane wakutwa ndani ya lori la friji wakisafirishwa kupelekwa Uingereza
Oct 28, 2019 08:03Wahajiri wanane kutoka Afghanistan wamekutwa ndani ya lori la friji lililokuwa likielekea Uingereza, wakati lori hilo lilipokaguliwa katika bandari ya Calais nchini Ufaransa. Hayo ni kwa mujibu wa ofisi ya mkuu wa mashtaka wa mji huo.
-
Wahajiri tisa wafariki dunia, 22 waokolewa baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Italia
Oct 07, 2019 19:04Watu wasiopungua tisa wamefariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya kisiwa cha Lampedusa, kusini mwa Sicily nchini Italia.
-
Gadi ya pwani ya Libya yaokoa makumi ya wahajiri
Sep 30, 2019 02:36Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa wahajiri haramu wapatao 70 baada ya boti yao kuzama katika bahari ya Mediterania.
-
Wahariji 155 wa Kiafrika wamiminika kaskazini mwa Morocco
Aug 31, 2019 02:42Viongozi wa eneo la Ceuta linalodhibitiwa na Uhispania lililoka kaskasini mwa Morocco wametangaza kuwa kundi moja kubwa la wahajiri wa Kiafrika limeingia kwenye eneo hilo kinyume cha sheria.
-
HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia
Aug 17, 2019 03:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza wasiwasi wake kuhusu haki ya wahajiri wa Kiethiopia nchini Saudi Arabia na kukosoa ukiukwaji wa haki zao unaofanywa na maafisa wa nchi hiyo.