-
"Wahajiri" 60 wapatikana wameaga dunia ndani ya lori Msumbiji
Mar 26, 2020 11:27Miili zaidi ya 60 imepatikana ndani ya lori la mizigo katika mkoa wa Tete, kaskazini magharibi mwa Msumbiji.
-
Wahajiri 400 wakamatwa wakijaribu kwenda Ulaya na kurejeshwa Libya
Mar 16, 2020 02:33Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema Gadi ya Pwani ya Libya imewakamata wahajiri 400 wakiwa safarini kuelekea Ulaya na kuwarejesha katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Seneti inayohodhiwa na Warepublican yamtoa hatiani Trump na kufumbia macho utumiaji wake mbaya wa madaraka
Feb 06, 2020 03:59Rais Donald Trump wa Marekani ametolewa hatiani dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili za kutumia vibaya madaraka kufuatia uamuzi uliopitishwa na Seneti ya nchi hiyo inayohodhiwa na chama chake cha Republican.
-
Hali ya kusikitisha na kushtua inayowakabili watoto na wanawake wahajiri nchini Ugiriki
Dec 28, 2019 12:52Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa maelfu ya wanawake na watoto wanakabiliwa na hali ya kusikitisha katika kisiwa kimoja huko Ugiriki.
-
Wahajiri 58 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Mauritania
Dec 06, 2019 02:52Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema makumi ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama karibu na pwani ya Mauritania, wakiwa safarini kuelekea Ulaya kutafuta maisha.
-
Sudan na Chad zapokea makumi ya wahajiri waliotimuliwa Libya
Nov 18, 2019 11:38Serikali ya Libya imewahamishia katika nchi za Sudan na Chad makumi ya wahamiaji haramu.
-
Watetezi wa haki za binadamu: Marekani si mahala salama kwa wakimbizi
Nov 05, 2019 12:19Watetezi wa haki za binadamu wamekosoa baadhi ya sheria ngumu za uhamiaji za Marekani na kutangaza kuwa nchi hiyo si salama na mahala pa amani kwa wakimbizi katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.
-
Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji
Nov 03, 2019 08:04Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.
-
Wahajiri wanane wakutwa ndani ya lori la friji wakisafirishwa kupelekwa Uingereza
Oct 28, 2019 08:03Wahajiri wanane kutoka Afghanistan wamekutwa ndani ya lori la friji lililokuwa likielekea Uingereza, wakati lori hilo lilipokaguliwa katika bandari ya Calais nchini Ufaransa. Hayo ni kwa mujibu wa ofisi ya mkuu wa mashtaka wa mji huo.
-
Wahajiri tisa wafariki dunia, 22 waokolewa baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Italia
Oct 07, 2019 19:04Watu wasiopungua tisa wamefariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama katika pwani ya kisiwa cha Lampedusa, kusini mwa Sicily nchini Italia.