-
WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola
Aug 14, 2019 08:10Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kkuwa, Dawa mbili mpya zinazojaribiwa kwa wagonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeonyesha kuwa, zina uwezo mkubwa wa kutibu maradhi hayo.
-
Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri
Jul 25, 2019 02:40Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.
-
Viwiliwili vya wahajiri 79 waliozama baharini Tunisia vyapatikana
Jul 13, 2019 12:36Siku kumi zilizopita, mtumbwi mmoja uliokuwa umejaza wahajirii ulizama karibu na fukwe za Tunisia. Hadi hivi sasa miili 79 ya wahajirii hao imeshaopolewa kutoka baharini.
-
Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri
Jul 13, 2019 12:29Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani, kupinga sera hasi za utawala wa Rais Donald Trump dhidi ya wahajiri wanaozuiliwa katika vituo vya mpaka wa nchi hiyo, na pia dhidi ya mpango wa kuwakamata na kuwatimua nchi humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.
-
HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya
Jul 12, 2019 15:18Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.
-
Hilali Nyekundu: Walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia wamepindukia 70
Jul 12, 2019 15:01Shirika la Hilali Nyekundu la Tunisia limeripoti kuwa, idadi ya watu walioaga dunia katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya nchi hiyo siku chache zilizopita imeongezeka na kufikia watu 72.
-
Serikali ya Marekani yajiandaa kuwatimua wahajiri ambao hawajasajiliwa
Jul 12, 2019 02:24Serikali ya Marekani imeamua kuanzia wiki ijayo kutekeleza operesheni kubwa ya msako wa kuwakamata na kuwafukuza nchini humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.
-
UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani
Jul 09, 2019 08:19Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kukosoa vikali sera za wahajiri za utawala wa Rais Donald Trump, ameeleza kusikitishwa kwake na hali mbaya inayowakabili wahajiri na wakimbizi nchini Marekani.
-
Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia
Jul 05, 2019 02:34Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya Tunisia.
-
Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump
Jun 29, 2019 04:02Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.