Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola

    WHO: Dawa mbili zilizoko kwenye majaribio zimeonyesha uwezekano mkubwa kutibu Ebola

    Aug 14, 2019 08:10

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kkuwa, Dawa mbili mpya zinazojaribiwa kwa wagonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeonyesha kuwa, zina uwezo mkubwa wa kutibu maradhi hayo.

  • Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Rais wa zamani wa Gambia atuhumiwa kufanya mauaji dhidi ya wahajiri

    Jul 25, 2019 02:40

    Rais wa zamani wa Gambia ametuhumiwa kwamba mwaka 2005 alitoa amri ya kutekelezwa mauaji ya umati dhidi ya wahajiri 30 pamoja na mwandishi mmoja wa habari.

  • Viwiliwili vya wahajiri 79 waliozama baharini Tunisia vyapatikana

    Viwiliwili vya wahajiri 79 waliozama baharini Tunisia vyapatikana

    Jul 13, 2019 12:36

    Siku kumi zilizopita, mtumbwi mmoja uliokuwa umejaza wahajirii ulizama karibu na fukwe za Tunisia. Hadi hivi sasa miili 79 ya wahajirii hao imeshaopolewa kutoka baharini.

  • Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Jul 13, 2019 12:29

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani, kupinga sera hasi za utawala wa Rais Donald Trump dhidi ya wahajiri wanaozuiliwa katika vituo vya mpaka wa nchi hiyo, na pia dhidi ya mpango wa kuwakamata na kuwatimua nchi humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.

  • HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    Jul 12, 2019 15:18

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.

  • Hilali Nyekundu: Walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia wamepindukia 70

    Hilali Nyekundu: Walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia wamepindukia 70

    Jul 12, 2019 15:01

    Shirika la Hilali Nyekundu la Tunisia limeripoti kuwa, idadi ya watu walioaga dunia katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya nchi hiyo siku chache zilizopita imeongezeka na kufikia watu 72.

  • Serikali ya Marekani yajiandaa kuwatimua wahajiri ambao hawajasajiliwa

    Serikali ya Marekani yajiandaa kuwatimua wahajiri ambao hawajasajiliwa

    Jul 12, 2019 02:24

    Serikali ya Marekani imeamua kuanzia wiki ijayo kutekeleza operesheni kubwa ya msako wa kuwakamata na kuwafukuza nchini humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.

  • UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani

    UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani

    Jul 09, 2019 08:19

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kukosoa vikali sera za wahajiri za utawala wa Rais Donald Trump, ameeleza kusikitishwa kwake na hali mbaya inayowakabili wahajiri na wakimbizi nchini Marekani.

  • Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Jul 05, 2019 02:34

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya Tunisia.

  • Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Jun 29, 2019 04:02

    Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS