Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani

    UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani

    Jul 09, 2019 08:19

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kukosoa vikali sera za wahajiri za utawala wa Rais Donald Trump, ameeleza kusikitishwa kwake na hali mbaya inayowakabili wahajiri na wakimbizi nchini Marekani.

  • Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Jul 05, 2019 02:34

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya Tunisia.

  • Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Jun 29, 2019 04:02

    Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.

  • UN: Hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi sana + Video

    UN: Hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi sana + Video

    Jun 10, 2019 02:34

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi mkubwa.

  • Wahajiri 2 waaga dunia, 25 watoweka katika ajali ya boti Libya

    Wahajiri 2 waaga dunia, 25 watoweka katika ajali ya boti Libya

    Jun 03, 2019 06:21

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa wahajiri wawili wa Kiafrika wamekufa maji huku wengine 25 wakitoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterrania, wakiwa katika safari hatarishi ya kuelekea Ulaya.

  • Papa: Sera ya US ya kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao ni ukatili

    Papa: Sera ya US ya kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao ni ukatili

    May 29, 2019 08:16

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameitaja sera ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri kuwa ni ukatili.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiafrika waokolewa katika maji ya pwani ya Libya

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika waokolewa katika maji ya pwani ya Libya

    May 24, 2019 11:45

    Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza habari ya kuokoa mamia ya wahajiri wa Kiafrika katika operesheni mbili za leo Ijumaa nje kidogo ya mji mkuu Tripoli.

  • Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    May 11, 2019 03:00

    Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.

  • Wahamiaji 151 Waafrika waokolewa Morocco kwenye Bahari ya Mediterania

    Wahamiaji 151 Waafrika waokolewa Morocco kwenye Bahari ya Mediterania

    May 06, 2019 08:10

    Jeshi la majini la Morocco limetangaza kuwa limewaokoa wahamiaji haramu 151 kutoka nchi za kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika wakiwa katika bahari ya Mediterania walipokuwa wakijaribu kuingia barani Ulaya.

  • Wahajiri 16 wa Kiafrika waaga dunia katika ajali ya barabarani Morocco

    Wahajiri 16 wa Kiafrika waaga dunia katika ajali ya barabarani Morocco

    Apr 28, 2019 07:14

    Kwa akali wahajiri 16 wanaotoka katika nchi za eneo la chini ya Jangwa la Sahara wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika eneo la Melilla, kaskazini mwa Morocco.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS