-
UN yasikitishwa na hali mbaya inayowakabili wahajiri nchini Marekani
Jul 09, 2019 08:19Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kukosoa vikali sera za wahajiri za utawala wa Rais Donald Trump, ameeleza kusikitishwa kwake na hali mbaya inayowakabili wahajiri na wakimbizi nchini Marekani.
-
Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia
Jul 05, 2019 02:34Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya Tunisia.
-
Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump
Jun 29, 2019 04:02Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.
-
UN: Hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi sana + Video
Jun 10, 2019 02:34Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya wahajiri nchini Libya inatia wasiwasi mkubwa.
-
Wahajiri 2 waaga dunia, 25 watoweka katika ajali ya boti Libya
Jun 03, 2019 06:21Umoja wa Mataifa umesema kuwa wahajiri wawili wa Kiafrika wamekufa maji huku wengine 25 wakitoweka baada ya boti yao kuzama katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterrania, wakiwa katika safari hatarishi ya kuelekea Ulaya.
-
Papa: Sera ya US ya kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao ni ukatili
May 29, 2019 08:16Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameitaja sera ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri kuwa ni ukatili.
-
Mamia ya wahajiri wa Kiafrika waokolewa katika maji ya pwani ya Libya
May 24, 2019 11:45Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza habari ya kuokoa mamia ya wahajiri wa Kiafrika katika operesheni mbili za leo Ijumaa nje kidogo ya mji mkuu Tripoli.
-
Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia
May 11, 2019 03:00Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.
-
Wahamiaji 151 Waafrika waokolewa Morocco kwenye Bahari ya Mediterania
May 06, 2019 08:10Jeshi la majini la Morocco limetangaza kuwa limewaokoa wahamiaji haramu 151 kutoka nchi za kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika wakiwa katika bahari ya Mediterania walipokuwa wakijaribu kuingia barani Ulaya.
-
Wahajiri 16 wa Kiafrika waaga dunia katika ajali ya barabarani Morocco
Apr 28, 2019 07:14Kwa akali wahajiri 16 wanaotoka katika nchi za eneo la chini ya Jangwa la Sahara wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika eneo la Melilla, kaskazini mwa Morocco.