Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Hujuma dhidi ya Waislamu, misikiti Ujerumani zimeongezeka tokea Oktoba 7

    Hujuma dhidi ya Waislamu, misikiti Ujerumani zimeongezeka tokea Oktoba 7

    Jan 19, 2024 07:35

    Hisia za chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu na matukufu yao zimeripotiwa kuongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Ujerumani, tangu utawala haramu wa Israel ulipoanzisha mashambulio yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7 mwaka uliopita 2023.

  • Waislamu Marekani waapa

    Waislamu Marekani waapa "kumdampu" Biden katika uchaguzi wa 2024 kwa sababu ya uungaji mkono wake kwa mauaji ya Israel

    Dec 04, 2023 02:59

    Waislamu katika majimbo muhimu ya Marekani wamezindua kampeni ya #AbandonBiden kutokana na kukataa kwa rais huyo wa Merekani kutoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya kinyama ya Israel huko Ukanda wa Gaza.

  • Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Dec 01, 2023 02:29

    Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.

  • Polisi ya Ujerumani yavamia vituo 54 vya Kiislamu

    Polisi ya Ujerumani yavamia vituo 54 vya Kiislamu

    Nov 18, 2023 03:49

    Jeshi la polisi la Ujerumani juzi Alkhamisi lilishambulia vituo zaidi ya 50 vya Waislamu kikiwemo Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH); huku mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • 40% ya wanaume Waislamu Ujerumani wanakabiliwa na ubaguzi

    40% ya wanaume Waislamu Ujerumani wanakabiliwa na ubaguzi

    Nov 08, 2023 06:09

    Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Kiongozi Mkuu wa Iran: Jinai za Gaza zisiposimamishwa, hakuna atakayeweza kuwazuia Waislamu na Wanamuqawama

    Kiongozi Mkuu wa Iran: Jinai za Gaza zisiposimamishwa, hakuna atakayeweza kuwazuia Waislamu na Wanamuqawama

    Oct 17, 2023 12:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: wananchi wa mataifa ya Kiislamu na hata watu wasio Waislamu duniani wamekasirishwa sana na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala unaoikalia Quds kwa mabavu, na iwapo unyama na ushenzi huo utaendelea Waislamu duniani na vikosi vya Muqawama wataishiwa na subira na hakuna atakayeweza kuwazuia.

  • Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina

    Oct 16, 2023 12:13

    Polisi ya Chicago imetangaza kuwa mkazi mmoja wa mji huo amemuua mvulana wa Kipalestina wa miaka 6 kwa kisu na kumjeruhi vibaya mama yake.

  • Mkutano wa Kimataifa wataka hatua zichukuliwe kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Mkutano wa Kimataifa wataka hatua zichukuliwe kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Oct 03, 2023 02:45

    Mkutano wa kimataifa kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umefanyika nchini Qatar huku mmoja wa waandalizi wake akitoa wito wa kufanyika juhudi za pamoja za kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na athari zake "haribifu".

  • Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya

    Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya

    Sep 21, 2023 03:49

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, wamelaani vikali vitendo vya kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya, na hotuba zinazochochea ouvu, chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Waislamu Marekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

    Waislamu Marekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

    Sep 19, 2023 13:38

    Kundi la kuwatetea Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumiaji wa orodha ya siri ambayo aghalabu inalenga Waislamu pekee kwa uchunguzi wanaposafiri kwa ndege.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS