-
"Umoja ndiyo njia bora ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu"
Jul 09, 2023 10:53Rais wa Uturuki amesema kuna haja kwa umma wa Kiislamu kuungana na kuwa na mshikamano, ili uweze kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vilivyoshtadi katika nchi za Magharibi.
-
Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui
Jun 30, 2023 03:25Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano mkabala wa njama za maadui na lobi za Kizayuni, zenye azma ya kuibua mifarakano na ukosefu wa uthabiti katika nchi hizo.
-
Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu
Jun 29, 2023 02:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu na pongezi za Idi viongozi mbalimbali wa nchi za Waislamuu kwa mnasaba wa maadhimisho ya sikukuu ya Idul Adh'ha.
-
Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India
Jun 16, 2023 02:28Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.
-
Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati
May 25, 2023 01:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mshikamano, umoja na mfungamano wa Waislamu kuwa ni jambo muhimu na la kistratijia.
-
Kulalamikia vikali Waislamu Kanada sheria mpya ya marufuku ya kusali shuleni
May 23, 2023 02:22Waislamu nchini Kanada wamelalamikia vikali marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Waislamu Canada walalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali
May 21, 2023 06:34Waislamu nchini Canada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark
Apr 02, 2023 03:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu
Mar 12, 2023 12:12Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
-
Waislamu Uingereza waandamana kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Jan 29, 2023 07:23Waislamu wa Uingereza wamekusanyika mbele ya uubalozi wa Sweden mjini London wakilaani kitendo kiovu cha nchi hiyo ya Ulaya cha kuruhusu kudhalilishwa na kuvunjiwa heshika kitabu kitakatifu cha Qur'ani.