Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakala

  • Iran: Wakaguzi wa IAEA wametimuliwa kutokana na mienendo ya uhasama

    Iran: Wakaguzi wa IAEA wametimuliwa kutokana na mienendo ya uhasama

    Oct 04, 2023 13:20

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) waliofukuzwa hapa nchini wanatoka katika nchi tatu za Ulaya; na kwamba walitumuliwa kutokana na mienendo yao ya kiuhasama na misimamo ya kisiasa dhidi ya Tehran.

  • Wabunge wa Iran: IAEA imepoteza itibari ya kiufundi

    Wabunge wa Iran: IAEA imepoteza itibari ya kiufundi

    Jun 13, 2022 10:58

    Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imesema hatua ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ya kupasisha azimio dhidi ya Iran imeonesha wazi kuwa taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa imepoteza itibari yake ya kiufundi.

  • Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa azimio la US, EU lililopasishwa na IAEA dhidi yetu

    Jun 09, 2022 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA cha kupasisha azimio dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili litatoa jibu mwafaka na madhubuti kwa hatua hiyo.

  • Mkurugenzi mkuu wa wakala wa IAEA kuitembelea Iran kesho

    Mkurugenzi mkuu wa wakala wa IAEA kuitembelea Iran kesho

    Mar 04, 2022 02:40

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) anatazamiwa kuitembelea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kesho Jumamosi kwa ziara rasmi ya kikazi.

  • Amir Abdullahiyan: Inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa IAEA

    Amir Abdullahiyan: Inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa IAEA

    Nov 25, 2021 08:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Spika wa Bunge la Iran: AEOI haitaikabidhi IAEA video za taarifa zake

    Spika wa Bunge la Iran: AEOI haitaikabidhi IAEA video za taarifa zake

    Jun 27, 2021 08:10

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) halitaukabidhi Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) video zilizonakili taarifa za taasisi hiyo ya Iran, kwa kuwa muhula uliokuwa umeainishwa umemalizika, wala haujarefushwa tena.

  • IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    Mar 17, 2021 06:33

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran ni 'magumu lakini yanatekelezeka' huku akizitaka pande husika za JCPOA kukumbatia muhula wa miezi mitatu ziliopewa na Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuyanusuru mapatano hayo.

  • Mkuu wa IAEA: Iran inataka kuona dunia yenye usalama na uthabiti

    Mkuu wa IAEA: Iran inataka kuona dunia yenye usalama na uthabiti

    Dec 17, 2020 07:38

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema hamu kubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuona usalama na uthabiti vinatawala duniani kote, na kwamba Tehran iko tayari kufanya mazungumzo amilifu na mataifa ambayo yapo tayari kufuata njia ya mazungumzo.

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA akiri mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA akiri mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Oct 11, 2020 07:55

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekiri kuwa, kinyume na inavyodaiwa na Marekani, mpango wa nyuklia wa Iran unafuatilia malengo ya amani.

  • Taarifa ya Bunge la Iran ya kulaani azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA

    Taarifa ya Bunge la Iran ya kulaani azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA

    Jun 22, 2020 07:13

    Wajumbe wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, jana Jumapili walitoa taarifa wakilaani azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran na kusema azimio hilo ni mfano mwingine wa ubaguzi katika muundo wa wakala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS