Dec 30, 2019 07:28
Kituo cha Taarifa cha Baraza Kuu la Uongozi na Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu nchini Yemen kimetangaza kuwa, karibu watu milioni 4 wa nchi hiyo wamelazimika kuwa wakimbizi kufuatia mashambulio ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.