Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbi

  • Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Apr 18, 2025 02:33

    Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni

    Aug 11, 2024 11:27

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taasisi za kimataifa zinashiriki katika jinai za utawala wa Kizayuni.

  • UNHCR: Idadi ya wakimbizi duniani imeongezeka na kufika milioni 120

    UNHCR: Idadi ya wakimbizi duniani imeongezeka na kufika milioni 120

    Jun 14, 2024 07:11

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, idadi ya wakimbizi duniani imefikia milioni 120.

  • Amnesty International yaitaka mahakama ya ICC kuchunguza jinai za Israel Rafah

    Amnesty International yaitaka mahakama ya ICC kuchunguza jinai za Israel Rafah

    May 27, 2024 11:57

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah katika Ukanda wa Gaza.

  • Kupingwa njama za Netanyahu za kutaka kususiwa shughuli za UNRWA ndani ya Baraza la Usalama

    Kupingwa njama za Netanyahu za kutaka kususiwa shughuli za UNRWA ndani ya Baraza la Usalama

    Apr 19, 2024 15:27

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao kujadili shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) kufutia maombi ya Algeria na Jordan.

  • Kimbunga Batsirai kusababisha watu 150,000 kupoteza makazi Madagascar

    Kimbunga Batsirai kusababisha watu 150,000 kupoteza makazi Madagascar

    Feb 05, 2022 04:42

    Huenda watu 150,000 wakakosa pahala pa kuishi kutokana athari za Kimbunga cha Batsirai kinachotazamiwa kukipiga kisiwa cha Madagascar leo Jumamosi.

  • Siku ya Wakimbizi; kuzidi kuwa kubwa mgogoro wa jamii ya wakimbizi duniani

    Siku ya Wakimbizi; kuzidi kuwa kubwa mgogoro wa jamii ya wakimbizi duniani

    Jun 22, 2021 08:05

    Tarehe 20 Juni katika kalenda ya Umoja wa Mataifa, ni Siku ya Wakimbizi ulimwenguni. Siku hiyo huadhimishwa kila mwaka kwa njia mbalimbali.

  • Idadi ya wakimbizi haijapungua licha ya kuweko sheria kali za corona duniani

    Idadi ya wakimbizi haijapungua licha ya kuweko sheria kali za corona duniani

    Jun 19, 2021 02:24

    Idadi ya wakimbizi duniani haijapungua licha ya sheria kali za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 zinazoendelea kuchukuliwa na nchi mbalimbali duniani.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    Feb 28, 2021 08:11

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti na kutahadharisha kuhusu kuendelea mapigano ya silaha na kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu vinavyofanywa na wanamgambo wanaobeba silaha na hivyo kusababisha mamilioni ya watu kuwa wakimbizi.

  • Guterres ataka kuzidishwa jitihada za kushughulikia tatizo la wakimbizi

    Guterres ataka kuzidishwa jitihada za kushughulikia tatizo la wakimbizi

    Feb 26, 2020 04:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuzidishwa jitihada za kukabiliana na tatiizo la uukimbizi kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS